Inachojulikana kwa ushahidi wa wanazuoni wa kale wanasema uislamu ulianzishwa na mapadre watano walioasi ukatoliki wakipinga suala la kutoruhusiwa kuoa,ndio wao waliondika Quran kwa kuiga Yaliyomo kwenye biblia thus QURAN na Biblia yapo mafundisho yanafanana walichoweka ni kutofautisha kidogo mfano Yesu wakamuita Issa bin Marium,Yona- yunus,Ayubu- yakubu, nk.
Iwe Wanazuoni wa Kikristo au Muhammadi.
Inaonesha kuna ukweli fulani aliyeandika Qurani ili kuifanya iwe Original from God basi lazima wayafanishe matukio na Wahusika wa kwenye Biblia.
Ila hawakuwa makini, ukisoma kwa ndani utaona kila Nabii waliye mwelezea wamepotosha maelezo yake kwa kiasi kikubwa sana.
Mfano lengo ya Yesu Kristo kuja duniani ni kuhubiri Injiri, kuteswa, kufa msalabani, kufufuka na kupaa Mbinguni hii ndio formula kuu ya Ukombozi wa Mwanadamu.
Mambo haya yametabiriwa na Manabii wa ktk Biblia kabla ya Yesu kuzaliwa.
Isaya ameandika kuhusu Mateso ya Yesu.
Tena ndiye aliyesema "kwa kupigwa kwake sisi tumepona "
Yesu mwenyewe alitamka mala nyingi tu kuwa inampasa akamatwe, ateswe, asulubiwe, AFE msalabani na siku ya tatu afufuke na kupaa Mbinguni.
Kufanana majina sio hoja.
Hata watu wengi tu wanafanana majina na tarehe za kuzaliwa lakini sio mtu mmoja.
Kuwa mtu mmoja ni kuwa na matukio na tabia sawa, na sio majina sawa.
Yesu hakuwawahi kuongea akiwa mtoto mchanga. Alikuwa na tabia kama za watu wa kawaida za ukuaji.
Mfano mzuri zaidi ni kutoka kwa Wayahudi wenyewe wanao mjua Yesu.
Wanakiri kuwa Yesu alipitia mateso kifo na ufufuo.
Maneno ya Manabii wa Kale, ya Yesu Mwenyewe na ya Ndugu zake Wayahudi yanafanana sawa kabisa.
Ila maneno ya Qurani yanatofautisha sasa hapa nani aaminike kuhusu matukio ya Yesu.
Qurani kuna mahali inasema ushahidi wa watu watatu ni bora kuliko wa mtu mmoja.
Yaani tuache kuwaamini Manabii wa Kale, Yesu mwenyewe na Ndugu zake Wayahudi tuje kumwamini Muhamadi ?
Awe ndio chanzo pekee cha historia ya Yesu Kristo ?