Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Unaweza kuwataja wengine?
Soma Aya ya 1 hadi ya 3.
Yesu sio wa kwanza kuzaliwa Bila baba.
Kwa hyo acheni KUJIDANGANYA

Screenshot_2019-06-25-15-12-11.jpeg
 
Wewe umeuliza WAISLAM tunachukuliaje yesu kuzaliwa Bila baba. Ndo mimi nimekujibu si jambo la kushangaza kwa kuwa mwanamke kuzaa ni jambo la kawaida. Ila kama angezaliwa na baba Bila mama hapo ndo tungepata mshangao.
Basi nimejibiwa na mwenzio
 
Yesu sio wa kwanza KUITWA MWANA WA MUNGU. au kuzaliwa Bila baba.
 
@Khantwe hakuna muislamu anaekataa biblia, ila inapingwa kwasababu ya kuongezewa aya za kishetani..

Biblia ilikuwa sahihi hapo zamani kwa asilimia 100% ila kwa sasa wameongeza na kupunguza maneno

Kumbuka ule mkutano uliofanywa kule ulaya kwaajili ya kupiga kura vitabu gani viwepo na gani visiwepo
hiyo sahihi ya zamani naiomba basi mkuu, maana hata nyie mmeambiwa muiamini.
kama hamna sahihi unatumia kigezo gani kusema hii ambayo hata nyie mmeikuta sio sahihi wakati hama iliyo sahihi.

mkuu hujagundua hii ni propaganda hadi leo.
tena cha ajabu duniani kote badala ya kitumia hiyo sahihi mnatumia hihii mnayoiponda kujengea hoja za kuutetea uislam ndani ya bibilia
 
Binadamu anazaliwaje pasi na baba?

Ni nani mwingine mnayem-address kwa ubin wa mamaake?

Kwani anae zaa ni baba au mama ?

Unajua kwanini ISSA ana nasibishwa kwa mama ake ?

YESU amezaliwa hakuzaliwa ?
 
Kwa mantiki hii inadhihirisha hakuwa mwanadamu wa kawaida kabisa tunaweza kusema ni Mungu na kama sio kwanini?


Unaweza kunipa tofauti kati ya mantiki na maana ?

Sisi waislamu tunajua ya YESU alikuwa ni binadamu wa kawaida na kuzaliwa kwake yeye ni kuonyesha ujuzi wa Allah aliye juu katika uumbaji,kwahiyo wewe unae sema hakuwa binadamu wa kawaida kisa kazaliwa na mama pekee,ndio utuambie ukiacha kuzaliwa na mama pekee,jambo ambalo amelifanya Allah kipi kinachomfanya asiwe ni binadamu wa kawaida ?


Kutokuwa kawaida kunaondolewa na nini ?
 
Soma Aya ya 1 hadi ya 3
hiyo sahihi ya zamani naiomba basi mkuu, maana hata nyie mmeambiwa muiamini.
kama hamna sahihi unatumia kigezo gani kusema hii ambayo hata nyie mmeikuta sio sahihi wakati hama iliyo sahihi.

mkuu hujagundua hii ni propaganda hadi leo.
tena cha ajabu duniani kote badala ya kitumia hiyo sahihi mnatumia hihii mnayoiponda kujengea hoja za kuutetea uislam ndani ya bibilia
Screenshot_2019-06-25-15-12-11.jpeg
 
Unaweza kunipa tofauti kati ya mantiki na maana ?

Sisi waislamu tunajua ya YESU alikuwa ni binadamu wa kawaida na kuzaliwa kwake yeye ni kuonyesha ujuzi wa Allah aliye juu katika uumbaji,kwahiyo wewe unae sema hakuwa binadamu wa kawaida kisa kazaliwa na mama pekee,ndio utuambie ukiacha kuzaliwa na mama pekee,jambo ambalo amelifanya Allah kipi kinachomfanya asiwe ni binadamu wa kawaida ?


Kutokuwa kawaida kunaondolewa na nini ?
Mantiki ni neno au wazo linalosaidia kufikia muafaka wa jambo kama ni la kweli au la!

Sasa kwa mantiki yako ile huoni kama Yesu hakuwa kiumbe wa kawaida kuna jambo kubwa sana juu yake?
 
Hata Yesu mwenyewe hajawahi kumuita Yusuf "baba".
asante mama, umekuja vizuri.
Baba yake Yesu ni nani? kama hana baba Sio Mtu na anatoka kabisa katika mnyororo wa wanadamu unaoanzia kwa adam.
He is not human being biologically.

sasa ni nani?
Yohana Moja inasema ni Mwana wa Mungu ambaye ni Mungu aliyeacha utukufu akaja kwa njia hiyo ya Bila Baba maana Baba anaye tayari hukomMbinguni. Na hukommbinguni kwa kuwa hakuna kuoana Anaposema ni Mwana wa Mungu na Mungu kuwa Baba yake ni kwa mifumo ya Mimbingu ambayo iligoma yeye kuja kupitia Biological father.

nawapongeza waislam kujua Yesu hana Baba wa kibinadamu, Maana Yeye ni Mungu mwana. Na Baba yake kwa kujua mtakuja watu kama nyie, siku anabatikwa akatangaza waziwazi huyu ni mwanangu mpendwa.
Na kuonyesha ni tofauti na wanadamu ambao nao huwaita wanawe. Yeye alikuwepo siku zote hata kabla ya babu Ibrahim, na pasipo Yesu hakuna hata adamu asingefanyika.

Kuna haja ya Kuanza sasa kumuheshimu upya mkuu. Nadhani naeleweka
 
asante mama, umekuja vizuri.
Baba yake Yesu ni nani?
kama hana baba Sio Mtu na anatoka kabisa katika mnyororo wa wanadamu unaoanzia kwa adam.
He is not human being biologically.

sasa ni nani?
Yohana Moja inasema ni Mwana wa Mungu ambaye ni Mungu aliyeacha utukufu akaja kwa njia hiyo ya Bila Baba maana Baba anaye tayari hukomMbinguni.
Na hukommbinguni kwa kuwa hakuna kuoana Anaposema ni Mwana wa Mungu na Mungu kuwa Baba yake ni kwa mifumo ya Mimbingu ambayo iligoma yeye kuja kupitia Biological father.

nawapongeza waislam kujua Yesu hana Baba wa kibinadamu, Maana Yeye ni Mungu mwana.
Na Baba yake kwa kujua mtakuja watu kama nyie, siku anabatikwa akatangaza waziwazi huyu ni mwanangu mpendwa.
Na kuonyesha ni tofauti na wanadamu ambao nao huwaita wanawe. Yeye alikuwepo siku zote hata kabla ya babu Ibrahim, na pasipo Yesu hakuna hata adamu asingefanyika.

Kuna haja ya Kuanza sasa kumuheshimu upya mkuu. Nadhani naeleweka
Naomba niongezee na ukimuamini Kristo unatoka kabisa kwenye uzao wa Adam wa kwanza ambao ni wa mauti unakuja kuwa mwana wa Kristo ambako hakuna mauti ni neema tu
 
Mantiki ni neno au wazo linalosaidia kufikia muafaka wa jambo kama ni la kweli au la!

Sasa kwa mantiki yako ile huoni kama Yesu hakuwa kiumbe wa kawaida kuna jambo kubwa sana juu yake?
Kuna jambo zito sana nyuma ya Yesu sio sio kitu cha kawaida, hata waislam watiifu wanaposoma bibilia na quran linawachanganya.

sirini wanawasiwasi nalo ila hadharani inabidi watetee tu misimamo.

Muislam asipoenda mbinguni kisa anamkataa yesu kama Mwana wa Mungu atakuwa anajitakia tu. Vinginevyo watuletee Baba yake wa kibaiolojia maana walishindwa hata kumuita kwa jina la baba yake wa kufikia ambaue wagalilaya walijua ni baba yake wa kuzaa.
 
Naomba niongezee na ukimuamini Kristo unatoka kabisa kwenye uzao wa Adam wa kwanza ambao ni wa mauti unakuja kuwa mwana wa Kristo ambako hakuna mauti ni neema tu
naunga mkono hoja.
Ndani ya Yesu umo uhai halisi na wa kudumu kifo kwako ni usingizi.
ndani ya adamu wa kwanza ni kifo huendi popote.

Tusichezee hii fursa ndugu zangu waislam, wote ni wadhambi na wadahifu lkn hakuna kosa baya kama kukataa uhai na kung'anglania kumshusha hadhi mtoa uhai wakati ameshafufuka na yuko katika hadi zake.
 
Kwani anae zaa ni baba au mama ?

Unajua kwanini ISSA ana nasibishwa kwa mama ake ?

YESU amezaliwa hakuzaliwa ?
Umekuja na hekaya tofauti kabisa na nilichokuuliza.

Umeandika mwenyewe Yesu alizaliwa pasi baba ndo maana mnamnasibisha na mamaake, nikakuuliza alizaliwaje pasi baba? No answers

Nmeuliza nani mwingine mnamu-address kwa ubin wa mama? No answers
 
Naomba mtume mwingine aliyeAliwa hivyo?
Naomba zaidi ya Yesu mwanadamu aliyezaliwa bila Baba.
Hata Yesu hasemi Yusufu ni Baba Yake, ila yeye sio Wa ulimwengu huu.Yusufu ni Baba Wa kulea.
Hivyo chanzo cha Yesu sio Mariam ,Mariam ni njia tu
Baba yake Adam aliitwa nani vile?
 
Baba yake Adam aliitwa nani vile?
adam ndie baba wa watu. labda niseme baba yake ni udongo labda unielew.
naomba baba yake yesu Vinginevyo sio mtu ukikoswa maelezo, maana wanadamu wote ambao wa kwanza ni ibrhm wanajulikana wanavyopatikanw
 
adam ndie baba wa watu. labda niseme baba yake ni udongo labda unielew.
naomba baba yake yesu Vinginevyo sio mtu ukikoswa maelezo, maana wanadamu wote ambao wa kwanza ni ibrhm wanajulikana wanavyopatikanw
Hawa mama yake nani?
 
Back
Top Bottom