mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,762
Adamu sio mtu tu, bali mtu wa kwanza, hakuanza na baba na mama ila yeye na mke wake ndio waliumbwa baba na mama. Ndio maana hawakuumbwa watoto bali watu wazima waliokomaa.Adamu asie kuwa na baba wala mama,na yeye sio mtu ?
Halafu Mola wetu anaumba anavyotaka,ndio maana akamuumba ADAMU bila baba wala mama na YESU akamuumba kwa mama tu.
Yesu sio Kiumbe, Bali ni Mwana wa Mungu aliyefanyika kiumbe mwanadamu na kisha kurudi katika enzi yake kama alivyo kuwa kabla hajafanyika kwa njia ya mariam.
Kama hana baba basi tunamtoa kwenye mfumo wa ubinadamu. hii unaelewa ila unajitoa fahamu tu