Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Zurri

Mkamuita Issa ibn Mariam badala ya Issa Ibn Yusuf ambaye angalau ni baba mzazi. Kitendo cha kumuita Bin Mariam hamuoni mnakubaliana na Yesu kuwa Yeye sio wa dunia hii wala chanzo chake sio Mariam, Mariam ilikuwa kama daraja la kuwafikia wanadamu.

Huoni hapo kuna jambo mnalificha nmalijua. Kuwa Yule hakuwa binadamu wa kawaida hivyo ni makosa kumnasibisha na Baba yake wa kuf
 
Baba yake ni yusuph au mungu?
Mbona mnatuchanganya nyie wakristo.
Jibu swali ndipo uulize swali ewe Muislam

Hiyo ndio sifa bora ya dialogue

Kwanini Issa bin Mariam? Ni kwanini atumie ubini wa mama?

Ni nani mwingine katika uislam alitumia hivyo?
 
Umesema Yesu baba yake nani?....
Yusufu Baba mlezi wa kufikia.
Na waislam wanasema Yesu ni Binadamu tu ingawa yeye anasema licha ya kuonekana katika ulimwengu kamambinadamu yeye sio wa humu.

Huoni kusema Yesu hana Baba unamfanya Maria kua njia tu ya kupitishia Yesu atokee kamamBinadamu maananyeye anasema kanla ya Bonadamu Alikuwapo.

Huoni kama waislam kwa siri wanaungana na Yesu kuwa yeye sio mtu tu bali ni kitunchanziada.

na wanamkosea Mola wanapomfananisha na manabii wengine bila kitambua utukufu wa ziada ambao anao sasa Baada ya Kufufuka.
 
Tatizo hujanielewa, ninachomaanisha ni kuwa kama habari za Quran na Biblia zingekuwa hazina mfanano au la zinafanana kwa kila kitu hivyo, tungesema hizi habari zimejaa ukweli maana hakuna COMPARISON. Kuwepo kwa mfanano wa habari Issa na Yesu au Mussa, Ayoub au Suleiman katika vitabu vyote viwili inaonesha dhahiri kuwa habari za vitabu hivi vyote viwili vina asilia MOJA lakini pia utofauti wake katika muendelezo au simulizi zake ambao huleta mkanganyiko huonesha dhahiri kuwa, Kuna habari ya uongo ndani yake na ndio concept yangu ya "uongo uliofichika ndani ya ukweli huja".

Nashangaa navysosema sijakuekewa. Sasa kwamaelezo yako ndio uonyeshe huo uongo uko wapi na wewe umejuaje hilo ? Kusema tu bila kuonyesha ithibati wewe unaingia katika kundi la waongo.
 
Tunamuita Issa Bin Maryam kwasababu kazaliwa bila ya baba kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na Ardhi na vilivyomo.
 
Tupe ushahidi kuwa yesu ni mungu
Ushahidi ni nyie njie Ukimuita Issa Ibn mariam basi alitokea bila Baba wa kibinadamu.
Unaungana na yaye aliposema '' Nalikuja'' hasemi '' Nalizaliwa''.
'' Nimeshuka kutoka mbinguni''.
'' Huyu ni mwanangu mpendwa'' msikilizeni. Yesu ni Mwana wa Mungu ambaye chanzo chake sio mimba ya Mariam ni Muumba aliye sawa na Baba yake, hawatenganishiki. na Pasipo yeye hakuna kiumbe chochcote hadi shetani kilifanyika.



Waislam kwa kauli hiyo itabidi waungane na Yohana 1 kuwa neno alifanyika mwili Kupitia Mariam hivyo hakuanzia kwa Mariam ila alifika ulimwenguni kupiyia kwa mariam
 
Ushahidi ni nyie njie Ukimuita Issa Ibn mariam basi alitokea bila Baba wa kibinadamu.
Unaungana na yaye aliposema '' Nalikuja'' hasemi '' Nalizaliwa''.
'' Nimeshuka kutoka mbinguni''.
'' Huyu ni mwanangu mpendwa'' msikilizeni. Yesu ni Mwana wa Mungu ambaye chanzo chake sio mimba ya Mariam ni Muumba aliye sawa na Baba yake, hawatenganishiki. na Pasipo yeye hakuna kiumbe chochcote hadi shetani kilifanyika.



Waislam kwa kauli hiyo itabidi waungane na Yohana 1 kuwa neno alifanyika mwili Kupitia Mariam hivyo hakuanzia kwa Mariam ila alifika ulimwenguni kupiyia kwa mariam
Ww ulitakiwa kuanzisha thread mbili moja kuuliza kwanini waislamu wanamwita Issa bin mariam .
Pili kuhusu yesu ni mungu.
 
Kwahyo tukubaliane hapa ndo ulimwengu mzima utakubali?
hapa tunaweka rekodi sawa tu.
Kuhusu ulimwengu mzima hiyo yeye mwenyewe aliliweka sawa. '' wote ulimwengu bila kujali wanaoenda motoni au watakaoookolewa watakili kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu ambaye anauungu ndani yake na sio Kiumbe kama wanavyodanganyana humu
 
Nani amekwambia Yesu baba ake ni Yusufu ? Sasa ndio utuambie Yesu baba ake Yusufu kimalezi au kinasaba ? Na kama kinasaba utupe ushahidi.

Kwetu sisi waislamu Yesu(Issa) kazaliwa pasi na baba,ndio maana ubini wake unarudi kwa mama,na kuitwa ISSA MWANA WA MARIAM.
Sawa Mkuu,nauliza kidogo hilo la kuzaliwa na mwanamke tu kwa uislam mnaliangalia na kulitafsiri vipi? ,namaanisha mnalichukuliaje?
 
Kwanza umeelewa nilichokiandika ?
"Huo ni ufasaha wa lugha,yaani wngi kumaanisha moja katika lugha ni maarufu sana hata kwa Waswahili"

Kwa kwa ufasaha wa lugha na umaarufu apa nitasemaje
ukitaka kusema umepeleka kitu flani , utasema nimepeleka kitu changu au utasema nimepeleka kitu chetu
 
Hili swali liko nje ya mada. Nakujibu lakini uslifanye likawa mada maana huchelewi kubadilisha mada. Hakuna mtume mwingine aliyezaliwa bila baba.


Sasa kama unajua ya kuwa YUSUFU ni baba wa kulea kwanini umeileta hii mada ? Kina nani wanasema ya kuwa YUSUFU ni baba wa Yesu wa kumzaa ?


Sasa unataka tujadili uungu wa YESU bila shaka,maana mjadala wa mada yako umeisha.

Inaonekana hujui hata chanzo maana yake nini ? Ukifasili chanzo wa maana yako wewe,sisi sote na vyote vilivyomo chanzo chetu ni Mola muumba.

Hivi yule aliyempa habari MARIAM juu ya uzao wa YESU anaitwa na alikuja katika umbile gani na wakati huo YESU alikuwa katika umbile gani ?

Sasa usituchezee akili sisi watu wazima na usipoteze muda kadhalika.
Liko ndani ya mada hii mkuu usichepuke. Binadamu alianza na adam na hawa kama pure created being. Baadae Mungu akasema wazae (kupitia sexual intercourse) na kuongezeka na kuijaza nchi.

Hakuna wala hakujawahinkuwepo wala hakutakuwepo Binadamu ambaye atapatikana nje ya mfumo huu. (sperm na Yainla kike)9



Yesu humommwote hayumo, wala hausiki kabisa na hiyo mifumo. na cha ajabu hakuwahi kuzema nilizaliwa bali alikuwa anasema '' nimekuja'', nimeshuka'' duniani sio kwetu ila mimi nimekuja kutafuta kilochopotea.

Hivyo wak siri na kwa kina sana waislam kukataa kumuota Yesu kwa jina la BABA YAKE WA KUFIKIA WANAKUBALI KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE MUNGU AMBAYE ALIKUJA KUPITIA MWANAMKE MARIAM ILI ATIMIZE MISSION YAKE NA SASA AMEKETI MKONO WA KUUME WA ENZI NA BABA YAKE WAKITAWALA.

NAUNGA MKONO HOJA YESU IBN MARIAM
 
Kwani baba yake Adam na hawa unawajua?
Adam tumeambiwa wazi waliumbwa kwa udongo. Orgin ya wanadamu.

Akawaambia wazae na kuongezeka wanadmu wenzao. Hakuna kwanadamu akatokea kwa mfumo huo tena. Ila Yesu anasema '' nilishuka'', nilikuja'' sio nilizaliwa na maliamu. Mariam alikuwa njia tu mkuu.

Yesu ni kituncha ziada nje ya mwanadamu. Waislam hawana jinsi inabidi wakubaliane na yohanan 1 Kuwa Yesu ni Mungu.
 
Mimba yake inamuhusisha mzazi mmoja ambaye ni MAMA YAKE.
kwanini asiitwe ubin wa mama yake?
Kwani kuna ubaya Gani?
issa bin mariam maana yake YESU MTOTO WA MARIAM.
angekuwa yesu ni mwanamke angeitwa ISSA BINT MARIAM.
Yaani ISSA MTOTO WA MARIAM.
Shida ipo wapi hapo?
Jibu swali ndipo uulize swali ewe Muislam

Hiyo ndio sifa bora ya dialogue

Kwanini Issa bin Mariam? Ni kwanini atumie ubini wa mama?

Ni nani mwingine katika uislam alitumia hivyo?
 
Tungeshangaa kama issa angezaliwa na mzazi mwanaume Bila mama.
Ila kwa kuwa amezaliwa na mwanamke ambae Kazi ya kuzaa ni yake hakuna cha kushangaza hapo.
Sawa Mkuu,nauliza kidogo hilo la kuzaliwa na mwanamke tu kwa uislam mnaliangalia na kulitafsiri vipi? ,namaanisha mnalichukuliaje?
 
Unamjua ROHO anayezungumziwa na waislamu ? Huyu hapa ?

16. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki.
17. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.
18. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
19. (Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.
20. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba?
21. (Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
22. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
23. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!
24. Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!
25. Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.
26. Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu.
27. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
28. Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.
29. Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi. (Mariam : 16-29)

Huyo ndio ROHO na huo ndio uzao wa YESU.
'' Basi akachukua mimba''

Akachukuaje sasa. Bibilia iko sahihi, inaeleza vizuri hilo tukio ni kwa uwezo wa roho mtakatifu. Hapo kuna sayansi ya kiungu, Mungu kuwa mwanadamu ili amuokoe mwanadamu alishuka kupitia Mariam.
 
Liko ndani ya mada hii mkuu usichepuke. Binadamu alianza na adam na hawa kama pure created being. Baadae Mungu akasema wazae (kupitia sexual intercourse) na kuongezeka na kuijaza nchi.

Hakuna wala hakujawahinkuwepo wala hakutakuwepo Binadamu ambaye atapatikana nje ya mfumo huu. (sperm na Yainla kike)9



Yesu humommwote hayumo, wala hausiki kabisa na hiyo mifumo. na cha ajabu hakuwahi kuzema nilizaliwa bali alikuwa anasema '' nimekuja'', nimeshuka'' duniani sio kwetu ila mimi nimekuja kutafuta kilochopotea.

Hivyo wak siri na kwa kina sana waislam kukataa kumuota Yesu kwa jina la BABA YAKE WA KUFIKIA WANAKUBALI KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE MUNGU AMBAYE ALIKUJA KUPITIA MWANAMKE MARIAM ILI ATIMIZE MISSION YAKE NA SASA AMEKETI MKONO WA KUUME WA ENZI NA BABA YAKE WAKITAWALA.

NAUNGA MKONO HOJA YESU IBN MARIAM

Unjichanganya sana,YESU amezaliwa haja zaliwa ?

Yesu ameumbwa hajaumbwa ?

Ndio maana nikasema huko awali ya kuwa hii mada ilikuwa imeisha kitambo sana,lakini lengo ni sisi tujadili uungu wa YESU na ukweli ni kwamba YESU ni binadamu na amezaliwa kupitia mama tu na huu ni ujuzi w Mola wetu katika kuumba na hili halibadilishi chochote.
 
Inaonekana huwa hufikiri,kama mtoto amezaliwa bila babau,ulitaka aitwe kwa ubini wa nani ?

Na nani amekwambia MARIAMU ni baba ? Hivi huwa unawaza kwa kutumia nini ?

Hivi kwanini hamshangai kuhusu ADAMU ambaye ameumbwa pasi na baba wala mama,mnajadili yule ambae ametokana na mama tu ? Hivi kati ya mawili hayo lipi linastahiki kushangaa ?
Adam ni Source ya mwanadamu. hana baba wala mama. Yeye ndiye source ya vizazi yote akitii formula ya kujaza dunia kupitia baba na mama.
sasa Yesu sio mtu maana yuko nje ya huo mfumo. mitume wooooote hadi Muhammad unayemuamini ni tokeo la baba na mama.

Yeye anasema alikuja sio alizaliwa. Kuzaliwa ilikiwa ni jinsi ya huyu Emmanuel (Mungu pamoja na wanadamu) anaweza kuwafikia.
Sasa mariam anabadilika kiwa njia tu ila sio source na hakuna hata link za kiDNA maana mfumo wake ni extraterestrial.

Nawapongeza Kwa kutambua hakukuwa na Baba, Basi Yule sio mtu tu, Bali ni Mungu aliyejifanya Mtu kupitia mariam ili aishi katikati ya watu bila ule ukuu wake na enz zake.

Sasa rudi usome Yohana Moja upya uone kwa nini nasema mko sahihi.

Ukisema Issa Bin mariam maana yake yule sio mtu tu ni Mwana wa Mungu ambaye ni Mungu.
na ndio maana mnaamini ni nqbii wa ufufuo maana yeye ndiye mruzuku wa uhai. hii kazi ni ya Mungu hata Ibirisi hawezi kutoa uhai kwa haiti
 
Back
Top Bottom