Paul hakuwa moja Kati ya wanafunzi wa yesu lakini alikuwepo wakati huo na mafundisho ya Paul juu ya uungu wa yesu hayakuwa tofauti na ya mitume 12 wa yesu ambao wote waliamini katika kufufuka kwa yesu, hakuna Kati ya mitume wote wa yesu ambaye aliamini katika uislamu wote waliamini kuwa yesu ni mwana wa mungu alikufa na kufufuka siku ya tatu na atarudi Tena.According to both sources, Paul was not a follower of Jesus and did not know him before his crucifixion. Paul's conversion occurred after Jesus's crucifixion. sasa hayo aliyoandika katoa wapi?
Paulo na mitume wa yesu waliishi wakati mmoja ndio maana ukisoma matendo ya mitume unaona Paulo akizungumza na kina Petro.
Paul alipewa jukumu la kusambaza habari njema za ufalme wa mungu kwa mataifa (yaani wasio wayahudi).
Vitu vyote hivi vinashuhidiwa na vitabu mbalimbali vya kipindi hicho vikiwemo vya kihistoria na findings mbalimbali za kisayansi.
On the other hand Habari za Issa zinatoka na Quran na hadithi za Muhammad ambaye aliishi uarabuni, 600 years baada ya yesu ambaye hakuwahi kukutana na mitume wa yesu. Isitoshe zinakinzana na Habari za mitume wa yesu.