Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Watu wengi wamekuwa wakidhani issa wa quruan tukufu ni sawa na YESU KRISTO apatikanaye ndani ya biblia takatifu @# lkn n kinyume kabisa sifa za Issa ndan ya quruan tukufu n tofauti kabisa na sifa za KRISTO YESU ndani ya biblia takatifu wale n watu wawili tofauti kabisa na hwenda mmoja n wa kutunga hajawahi tokea duniani @# mfano issa ndani ya quruan tukufu hana ukoo wakati ndani ya biblia ana ukoo ambao unarudi nyuma mpaka kwa Adam
@# Issa alizaliwa chini ya mti mahali tofauti na YESU ambaye alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe tena bethelehem ya uyahud
#@ Issa alivozaliwa aliota meno na kuongea hapo hapo kinyume na YESU ambaye biblia inamsemea mtoto akakua akaongezaka nguvu rohon (biblia takatifu imekaa kimya haijasema kama aliota meno)
#@ Issa hakuwa na wanafunzi lakn KRISTO YESU alikuwa na wanafunzi 12
#@Issa hakubatiza lkn KRISTO YESU alibatiza kwa jina la BABA na la MWANA na la ROHO MTAKATIFU
@# Issa hakusherekea pasaka lakn YESU KRISTO alihidhuria pasaka katika umri wa miaka 12
@# Issa hakutabiriwa popote kama hatakuja lkn YESU KRISTO alitabiriwa na manabii wengi
@# Issa alisema yeye sio chochote wala lolote wakati KRISTO YESU alisema YEYE ndiyo njia nuru na uzima.
@# Issa hakusulubiwa msalaban ila YESU KRISTO alikufa kwa ajili ya ukombozi wa wanadam
@# Issa hakufunga siku 40 usiku na mchana lkn KRISTO YESU hakula wala kunywa wala kufuturu kwa siku 40 usiku na mchana
@# Issa hakuwahi kumwita MUNGU baba yake lkn YESU alimwita MUNGU(YAHWE YEHOVA MUNGU WA MILELE) baba yake na tena akasema YEYE NA BABA NI UMOJA.
@# Ushahidi huu unapatikana ndan ya vitabu viwili quruan tukufu ambayo inajisema yenyewe kuwa imeshushwa mafungu mafungu toka mbinguni (kuanzia mwaka wa 600 A.D ) na biblia takatifu iloandikwa na manabii wa kiyahudi chini ya uweza wa ROHO MTAKATIFU na tena ilokuwepo miaka 3000 kabla ya quruan tukufu kuwepo ((kwa baadhi ya vitabu kama torati waamuzi yoshua ezra nehemia wafalme zaburi ayubu na kadhalika vilikuwepo miaka 3000 kbla ya quruan kuwepo) na huku vitabu vya injili vikiwepo miaka 600 kabla ya quruani kuwepo. Rukusa kukosoa.
 
Issa siyo Yesu
1. Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Issa alizaliwa chini mtende
2. Yesu alisurubiwa, akafa na siku ya 3 akafufuka wakati Issa hakusurubiwa, hakufa wala kufufuka.
3. Yesu alitumia Biblia. Alipewa kusoma kitabu cha Isaya na alibatizwa wakati Issa alitumia Quran na hakubatizwa.
Kwanini huwa mnang'ang'ania Yesu ni Issa? Siyo kosa lako sbb huwa mnakaririshwa.
Usilo lijua ni kwamba hayo uliyoyasema yote ni mafundisho uliyoyapata kutoka kwa wazungu ambao ndio waliokuletea ukristo

Lakini wana wa Israel waliokaa na Yesu na kuishie nae kama jirani yao ukristo wala hawaujui

Hiyo 2% ya wakristo hapo imepatikana kutoka kwa wageni kama wewe kama ukienda kuishi nchini Israel

Hivyo wewe huna uwezo wa kupinga ilichosema Quran kuhusu Yesu kwa sababu wewe waliokufundisha habari za Yesu sio wa Israel ila ni wazungu sasa je! Hizo habari za Yesu hao wazungu walikufundisha wewe wao walizipata wapi mnajua nyinyi

90% ya Italy ni wakristo kwa sababu wao ndio waliianzisha hiyo Dini
Screenshot_20210518-190717.jpg
Screenshot_20210522-101912.jpg
 
Tofauti ya kuzaliwa Isa na Yesu ni hii
Isa Ibn Mariam Yesu Kristo
-Isa alizaliwa katika shina la mtemde – 19:23
-Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng’ombe. Luka 2:7
-Kuzaliwa kwa Isa haijulikani mimba ya mama yake ilichukua muda gani maana malaika Jibrili alisema nikupe mwana mtakatifu mara akachukua mimba na kuzaa. (19: 22-23)
-Lakini Mariamu mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia. (Luka 2:6-7)
-Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa
-Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa manabii walitabili kuzaliwa kwa Yesu, (Isaya 7: 14; 9:6) utabili huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia (Mathayo 1:18-23)
-Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.
-Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya Israeli (Lk 2:8-16). Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotolewa na nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode.

-Isa aliongea na watu akiwa mototo mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii (Sura 19:30-33) -Yesu hakuongea na mtu akiwa mototo mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12. (Luka 2: 42-49)
Hivyo tunaona kwamba tuna tofauti nyingi tu kati ya Bwana Yesu na Isa. Swali kwako mfuatiliaji je, Isa bin Maryamu ndiye Bwana Yesu Mwokozi? Tafakari.
Mimi naamini ni mtu huyo huyo tofauti za details hizo mimi sio mwanachuo wa kuzifafanunua sina elimu hiyo ila tunaamini tu Hebrew bible na new tastement kuna miaka 400 ilipita hapo ndio maana wa hebrew wenyewe wamekataa yote katika New tastement na kusema dini ya Paul na yesu mama yake alitembea nje ya ndoa kwa hiyo sio Mesiah huyo aliyetabiriwa katika Hebrew bado hajaja ila alikuwa mtu mzuri na mhubiri mzuri tu lakini sio Mesiah. Alitabiriwa kuja jibu yes je ndio huyo Jews wanasema No ila waislamu na wakristo wanasema ni yeye majina sio muhimu maana hata Joseph ni Yusuph lakini mtu mmoja. hesabu iko hivi Jews na uislamu kuna mambo wanafanana. Islam na Christian yako mambo wanakubaliana. Jew na Christian hawafanani kabisa story tofauti.
 
Watu wengi wamekuwa wakidhani issa wa quruan tukufu ni sawa na YESU KRISTO apatikanaye ndani ya biblia takatifu @# lkn n kinyume kabisa sifa za Issa ndan ya quruan tukufu n tofauti kabisa na sifa za KRISTO YESU ndani ya biblia takatifu wale n watu wawili tofauti kabisa na hwenda mmoja n wa kutunga hajawahi tokea duniani @# mfano issa ndani ya quruan tukufu hana ukoo wakati ndani ya biblia ana ukoo ambao unarudi nyuma mpaka kwa Adam
@# Issa alizaliwa chini ya mti mahali tofauti na YESU ambaye alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe tena bethelehem ya uyahud
#@ Issa alivozaliwa aliota meno na kuongea hapo hapo kinyume na YESU ambaye biblia inamsemea mtoto akakua akaongezaka nguvu rohon (biblia takatifu imekaa kimya haijasema kama aliota meno)
#@ Issa hakuwa na wanafunzi lakn KRISTO YESU alikuwa na wanafunzi 12
#@Issa hakubatiza lkn KRISTO YESU alibatiza kwa jina la BABA na la MWANA na la ROHO MTAKATIFU
@# Issa hakusherekea pasaka lakn YESU KRISTO alihidhuria pasaka katika umri wa miaka 12
@# Issa hakutabiriwa popote kama hatakuja lkn YESU KRISTO alitabiriwa na manabii wengi
@# Issa alisema yeye sio chochote wala lolote wakati KRISTO YESU alisema YEYE ndiyo njia nuru na uzima.
@# Issa hakusulubiwa msalaban ila YESU KRISTO alikufa kwa ajili ya ukombozi wa wanadam
@# Issa hakufunga siku 40 usiku na mchana lkn KRISTO YESU hakula wala kunywa wala kufuturu kwa siku 40 usiku na mchana
@# Issa hakuwahi kumwita MUNGU baba yake lkn YESU alimwita MUNGU(YAHWE YEHOVA MUNGU WA MILELE) baba yake na tena akasema YEYE NA BABA NI UMOJA.
@# Ushahidi huu unapatikana ndan ya vitabu viwili quruan tukufu ambayo inajisema yenyewe kuwa imeshushwa mafungu mafungu toka mbinguni (kuanzia mwaka wa 600 A.D ) na biblia takatifu iloandikwa na manabii wa kiyahudi chini ya uweza wa ROHO MTAKATIFU na tena ilokuwepo miaka 3000 kabla ya quruan tukufu kuwepo ((kwa baadhi ya vitabu kama torati waamuzi yoshua ezra nehemia wafalme zaburi ayubu na kadhalika vilikuwepo miaka 3000 kbla ya quruan kuwepo) na huku vitabu vya injili vikiwepo miaka 600 kabla ya quruani kuwepo. Rukusa kukosoa.
yesu hakuandika alifuata Hebrew bible mafundisho ya kiyahudi bible hii mpya iliandikwa na Paul miaka mingi baada ya yesu kufariki yalikuwa maelezo yake.
 
N Yesu au YESU na si yesu na paulo hakuandika biblia aliandika baadh ya vitabu kama timotheo wagalatia wafilipi wakolosai na wathethalonike na aliandika chini ya uongozi wa MUNGU
yesu hakuandika alifuata Hebrew bible mafundisho ya kiyahudi bible hii mpya iliandikwa na Paul miaka mingi baada ya yesu kufariki yalikuwa maelezo yake.
 
N Yesu au YESU na si yesu na paulo hakuandika biblia aliandika baadh ya vitabu kama timotheo wagalatia wafilipi wakolosai na wathethalonike na aliandika chini ya uongozi wa MUNGU
Samahani YESU, Paul ndio tatizo hapa hakuwa Nabii alibadili dini kuingia ukristo anadai YESU alimshukia na kumpa maelezo na kuandika alichoaandika. Ndio maana Mayahudi wanakataa na waislamu wanakataa paul.
But did Paul ever meet Jesus in the flesh during his life? No. Paul's experience with Jesus was one that can't really be explained other than the way that he explained it in Acts (and some other letters when claiming his authority as an Apostle).

Paul

Of the 27 books in the New Testament, 13 or 14 are traditionally attributed to Paul, though only 7 of these Pauline epistles are accepted as being entirely authentic and dictated by St. Paul himself.
 
Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.
Kuna masharti mengine katika mjadala yanakinzana na adabu za mjadala,mfano wa ni hili sharti lako.

Jambo la dini,unataka vipi lijadiliwe nje ya dini. Jaribu kutupa muongozo. Namaanisha ya kuwa nabii Issa kiasili ameandikwa katika vitabu vya Dini,wala humkuti katika vitabu vya Historia au sayansi au fani nyingine kama marejeo.

Sharti lako linaonyesha kanuni za miadala huzijui,ile kanuni ya marejeo na kurudisha jambo kwa watu wake.

Tuambie tunawezaje lumjadili nabii Issa nje ya Dini ?
 
Kusema Paulo hakuwa nabii labda n kwa sababu huzijui sifa za nabii.
Samahani YESU, Paul ndio tatizo hapa hakuwa Nabii alibadili dini kuingia ukristo anadai YESU alimshukia na kumpa maelezo na kuandika alichoaandika. Ndio maana Mayahudi wanakataa na waislamu wanakataa paul.
But did Paul ever meet Jesus in the flesh during his life? No. Paul's experience with Jesus was one that can't really be explained other than the way that he explained it in Acts (and some other letters when claiming his authority as an Apostle).

Paul

Of the 27 books in the New Testament, 13 or 14 are traditionally attributed to Paul, though only 7 of these Pauline epistles are accepted as being entirely authentic and dictated by St. Paul himself.
 
Naomba uniambie baba yake nabii Issa anaitwa nani ?
Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Unaifahamu vipi Qur'aan ?
 
Kusema Paulo hakuwa nabii labda n kwa sababu huzijui sifa za nabii.
Paul the Apostle, commonly known as Saint Paul and also known by his Hebrew name Saul of Tarsus, was a Christian apostle (although not one of the Twelve Apostles) who spread the teachings of Jesus in the first-century world. Hakuwa hata katika wanafunzi 12 na hakuna sehemu Paul katajwa kuwa ni Prophet. Yeye alidai kushukiwa na YESU kama leo unasikia manabii fake wanafufua wengine wameshukiwa muhimu vihoja na kuna watu wanawaamini kabisa.
 
Rejea petro wa 2 sura ya 3:15 mtume Petro anamtaja Paulo kama mtu aliyepewa hekima na MUNGU piah matendo 9:17 Paulo alipewa utume naye YESU KRISTO kupitia maneno ya anania
Paul the Apostle, commonly known as Saint Paul and also known by his Hebrew name Saul of Tarsus, was a Christian apostle (although not one of the Twelve Apostles) who spread the teachings of Jesus in the first-century world. Hakuwa hata katika wanafunzi 12 na hakuna sehemu Paul katajwa kuwa ni Prophet. Yeye alidai kushukiwa na YESU kama leo unasikia manabii fake wanafufua wengine wameshukiwa muhimu vihoja na kuna watu wanawaamini kabisa
 
Mnapomjadili Issa Bin Marriam, basi mjadilini Issa Bin Marriam.
Wa kwenye Qurani.

Hivi kuna ulazima gani kutumia kitabu kingine kinacho mzungumzia mtu mwingine ?

Mi nadhani Qurani inajitoshereza na Imemwelezea vizuri tu tena kwa mapana
ISAA BIN MARRIAM.
 
Mnapomjadili Issa Bin Marriam, basi mjadilini Issa Bin Marriam.
Wa kwenye Qurani.

Hivi kuna ulazima gani kutumia kitabu kingine kinacho mzungumzia mtu mwingine ?

Mi nadhani Qurani inajitoshereza na Imemwelezea vizuri tu tena kwa mapana
ISAA BIN MARRIAM.
Nisaidie kuujua ukoo wa ISSA BIN MARRIAM wa kwenye Qurani tukufu......toa na ushahidi wa kimaandiko maana nmetafuta Qurani nzima sijauona.
 
Nisaidie kuujua ukoo wa ISSA BIN MARRIAM wa kwenye Qurani tukufu......toa na ushahidi wa kimaandiko maana nmetafuta Qurani nzima sijauona.
Mi sio Mwislamu.
Waulize Waislamu wanaotumia Qurani nina uhakika watakuelezea vizuri Ukoo wa Issa Bin Marriamu.

Mimi binafsi simfahamu Issa Bin Marriam kwakuwa sijamfuatilia maisha yake ya kifamilia.

Waulize Waislamu nina uhakika watakufafanulia vizuri.
 
Back
Top Bottom