Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Point kubwa ni kwamba Paulo muongo anasema Yesu Mungu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Kama Yesu ni Mungu hapa anamuomba Mungu gani tena?

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
  • Kuna swali niliwauliza huko nyuma , Huyu Paul wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
  • 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu(Bulus)
  • Jibu hili swali kwanza
 
Wote wamekimbia lol
Embu msaidie mwenzako mpaka leo ni weki hajajibu hili swali
  • Kuna swali niliwauliza huko nyuma , Huyu Paul wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
  • 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu(Bulus)
 
Asa napigaje hesabu hapo wakati Sina reference point ya mwaka ?

Duuh nyie kweli dini yenu ya kutungwa,, hamjui Yesu kazaliwa mwaka, mwezi na tarehe gani !!
Tumeshamaliza Hilo kama Hesabu hujibu Pole sana, sasa turudi kwenye swali langu
  • Kuna swali niliwauliza huko nyuma , Huyu Paul wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
  • 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu(Bulus)
 
  • Kuna swali niliwauliza huko nyuma , Huyu Paul wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
  • 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu(Bulus)
  • Jibu hili swali kwanza
Haya ni maajabu ya dunia yani mtume wenu wa uongo Paulo atambuliwe na Quran?

Unataka kutete mtume wako wa uongo Paulo kupitia Qurani?

Hayo toa hilo andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali lako ni la uongo kwa sababu umeshindwa kututhibitishia kuwa hilo jina Bulus ndo alimaanishiwa Paulo !!

Pia nilikuonesha kuwa hayo majina matatu sio kama uliyoyasema.... Sadiq, sadoq na shalom ndo authentic names za hao messengers waliotumwa Antioch
  • Bulus -is used mostly in Arabic and it is of Latin origin. Bulus is of the meaning humble. In addition, Bulus is a derivative (Arabic) of the Dutch, English, French, and German name Paul.
  • Nimeweka ushaidi wazi kabisa Sadiq, sadog, shalom na dog uo ni utunzi wako na wenzako mnaosikia haibu na maandiko yenu (Mkitumia uongo aliowafundisha Allah wa Taqiyya)
  • Ibn Kathir in his Tafsir (Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available!
 
Haya ni maajabu ya dunia yani mtume wenu wa uongo Paulo atambuliwe na Quran?

Unataka kutete mtume wako wa uongo Paulo kupitia Qurani?

Hayo toa hilo andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume

Sent using Jamii Forums mobile app
  • Hakuna maali nimesema huyu Bulus(Paul) wa Allah ni sawa na Paul wa Yahweh , soma swali vizuri na ujibu bila kukurupuka
  • Kwanza ukubali koran bila scholar unatoka kapa kwa verse nyingi mno , Koran inataja majina au inataja kitu alafu inakuacha hewani
Allah alituma watu wake watatu
Koran 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu.​
Utaona hapa koran inatuacha hewani hatujui majina ya watu hao wa tatu​
Tukisha achwa hewani hivyo tunaenda kwa Scholar Muislamu Mwenzako je anatutajia hayo majina ni kina nani​
Huyu hapa Kathir - Ibn Al Kathir​
(Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available! (clik link kusoma mwenyewe)

Maswali yangu yalikuwa haya , kuwa Makini Hapa namuongelea Bulus wa Allah
  • Huyu Bulus (Paul) wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)

 
  • Kuna swali niliwauliza huko nyuma , Huyu Paul wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
  • 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu(Bulus)
  • Jibu hili swali kwanza
Paulo hana nafasi katika Quran kwa mujibu wa Quran Paulo ni kafiri na moto wa wa mwenyezi Mungu unamsubiri

Kwa sababu amewadanganya watu kuwa Yesu ni Mungu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Quran 5:72
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi.

Je! Wapi Yesu alisema haya maneno katika injili kuwa yeye sio Mungu

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Sasa kama wewe unasema Quran inatambua kuwa Paulo ni mtume toa hilo andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume Mungu




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paulo hana nafasi katika Quran kwa mujibu wa Quran Paulo ni kafiri na moto wa wa mwenyezi Mungu unamsubiri

Kwa sababu amewadanganya watu kuwa Yesu ni Mungu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Quran 5:72
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi.

Je! Wapi Yesu alisema haya maneno katika injili kuwa yeye sio Mungu

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Sasa kama wewe unasema Quran inatambua kuwa Paulo ni mtume toa hilo andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume Mungu




Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lipo pale pale soma kwa makini weka ujinga pembeni na acha kutumia takiya
  • Hakuna maali nimesema huyu Bulus(Paul) wa Allah ni sawa na Paul wa Yahweh , soma swali vizuri na ujibu bila kukurupuka
  • Kwanza ukubali koran bila scholar unatoka kapa kwa verse nyingi mno , Koran inataja majina au inataja kitu alafu inakuacha hewani
Allah alituma watu wake watatu

Koran 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu.
Utaona hapa koran inatuacha hewani hatujui majina ya watu hao wa tatu
Tukisha achwa hewani hivyo tunaenda kwa Scholar Muislamu Mwenzako je anatutajia hayo majina ni kina nani
Huyu hapa Kathir - Ibn Al Kathir
(Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available! (clik link kusoma mwenyewe)

Maswali yangu yalikuwa haya , kuwa Makini Hapa namuongelea Bulus wa Allah

  • Huyu Bulus (Paul) wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
 
Swali lipo pale pale soma kwa makini weka ujinga pembeni na acha kutumia takiya
  • Hakuna maali nimesema huyu Bulus(Paul) wa Allah ni sawa na Paul wa Yahweh , soma swali vizuri na ujibu bila kukurupuka
  • Kwanza ukubali koran bila scholar unatoka kapa kwa verse nyingi mno , Koran inataja majina au inataja kitu alafu inakuacha hewani
Allah alituma watu wake watatu

Koran 36:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu.
Utaona hapa koran inatuacha hewani hatujui majina ya watu hao wa tatu
Tukisha achwa hewani hivyo tunaenda kwa Scholar Muislamu Mwenzako je anatutajia hayo majina ni kina nani
Huyu hapa Kathir - Ibn Al Kathir
(Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available! (clik link kusoma mwenyewe)

Maswali yangu yalikuwa haya , kuwa Makini Hapa namuongelea Bulus wa Allah

  • Huyu Bulus (Paul) wa Allah alienda Antiokia kufanya nini, kama alikuwa mtume wa allah kitabu chake tunakipata wapi (ata sura moja tu)
Hi ni tafsiri ya kiswahili

Quran 36:14
Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu.

Na hii yapa ni original language ya Quran

The Noble Quran 36:14

إِذْ أَرْسَلْنَآ إِلَيْهِمُ ٱثْنَيْنِ فَكَذَّبُوهُمَا فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ فَقَالُوٓا۟ إِنَّآ إِلَيْكُم مُّرْسَلُونَ


Katika hiyo aya tafsiri ya kiswahili hakuna jina Paulo wala Antokiya na katika original language (kiarabu} pia hakuna jina Paulo wala Antokiya

Wewe hayo majina umeyapata wapi?

Nani amekuambia Quran inatafsiriwa kwa kuongeza majina ambayo hayapo?

Hilo andiko halina uhusiano wowote na mtume wenu wa uongo Paulo

Narudia tena toa andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu alizaliwa mwaka, mwezi na tarehe gani ?

Nakudai hili swali !!
Umri wa Yesu Kufa ni 33 chukua mwaka Huu 2021 (maana tunahesabu kulingana na Yesu alivyo ondoka humu duniani) fanya Hesabu,
Tarehe na mwezi zimetajwa kwa majira late summer or early fall

Turudi kwenye swali langu Huyu Bulus wa Allah alienda antiokia kutoa ujumbe gani na kitabu cha bulus tunakipata wapi
 
Hi ni tafsiri ya kiswahili

Quran 36:14
Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu.

Na hii yapa ni original language ya Quran

The Noble Quran 36:14

إِذْ أَرْسَلْنَآ إِلَيْهِمُ ٱثْنَيْنِ فَكَذَّبُوهُمَا فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ فَقَالُوٓا۟ إِنَّآ إِلَيْكُم مُّرْسَلُونَ


Katika hiyo aya tafsiri ya kiswahili hakuna jina Paulo wala Antokiya na katika original language (kiarabu} pia hakuna jina Paulo wala Antokiya

Wewe hayo majina umeyapata wapi?

Nani amekuambia Quran inatafsiriwa kwa kuongeza majina ambayo hayapo?

Hilo andiko halina uhusiano wowote na mtume wenu wa uongo Paulo

Narudia tena toa andiko katika Quran linalosema Paulo ni mtume wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
  • Basi nimeshaelewa English ndio tatizo kwako , tutakesha hapa kama umeshindwa kuelewa hapa
  • Kathir - Ibn Al Kathir
    • When We sent to them two Messengers, they denied them both means, they hastened to disbelieve in them. فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ (so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
 
  • Bulus -is used mostly in Arabic and it is of Latin origin. Bulus is of the meaning humble. In addition, Bulus is a derivative (Arabic) of the Dutch, English, French, and German name Paul.
  • Nimeweka ushaidi wazi kabisa Sadiq, sadog, shalom na dog uo ni utunzi wako na wenzako mnaosikia haibu na maandiko yenu (Mkitumia uongo aliowafundisha Allah wa Taqiyya)
  • Ibn Kathir in his Tafsir (Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available!


Wacha kupakazia wapi kwenye hiyo link yako ya ibn Kathir kumetajwa Paul kama ni Bulus ??

Unawasha mwenge mchana jua kali saa 6 ili watu wapate kuona ?? Au ndio mafundisho ya kanisa lako hayo ??
 
Wacha kupakazia wapi kwenye hiyo link yako ya ibn Kathir kumetajwa Paul kama ni Bulus ??

Unawasha mwenge mchana jua kali saa 6 ili watu wapate kuona ?? Au ndio mafundisho ya kanisa lako hayo ??
Ahahahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wamekuita usaidie , hapo hakuna cha copy paste utachemka
 
  • Basi nimeshaelewa English ndio tatizo kwako , tutakesha hapa kama umeshindwa kuelewa hapa
  • Kathir - Ibn Al Kathir
    • When We sent to them two Messengers, they denied them both means, they hastened to disbelieve in them. فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ (so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).


Umejaribu kuja na gia nyengine baada ya uongo wako kuudhihirisha?? Pole sana kile ulichokiandika kudanganya kimebaki hapa



spensa_e said:

  • Bulus -is used mostly in Arabic and it is of Latin origin. Bulus is of the meaning humble. In addition, Bulus is a derivative (Arabic) of the Dutch, English, French, and German name Paul.
  • Nimeweka ushaidi wazi kabisa Sadiq, sadog, shalom na dog uo ni utunzi wako na wenzako mnaosikia haibu na maandiko yenu (Mkitumia uongo aliowafundisha Allah wa Taqiyya)
  • Ibn Kathir in his Tafsir (Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available!
 
Umejaribu kuja na gia nyengine baada ya uongo wako kuudhihirisha?? Pole sana kile ulichokiandika kudanganya kimebaki hapa



spensa_e said:

  • Bulus -is used mostly in Arabic and it is of Latin origin. Bulus is of the meaning humble. In addition, Bulus is a derivative (Arabic) of the Dutch, English, French, and German name Paul.
  • Nimeweka ushaidi wazi kabisa Sadiq, sadog, shalom na dog uo ni utunzi wako na wenzako mnaosikia haibu na maandiko yenu (Mkitumia uongo aliowafundisha Allah wa Taqiyya)
  • Ibn Kathir in his Tafsir (Commentary) amewataja kama Sham`un (Peter), Yuhanna (John) and Bulus (Paul) kwenye mji wa Antioch (Antakiyah)
QuranX.com The most complete Quran / Hadith / Tafsir collection available!
Ingia hapa kaufute kama una ubavu
 
Kathir - Ibn Al Kathir Kawashika pabaya na hakuna uwezo wa kubadili kama mnavyofanyaga


JIbu hapa kwanza


Wacha kupakazia wapi kwenye hiyo link yako ya ibn Kathir kumetajwa Paul kama ni Bulus ??

Unawasha mwenge mchana jua kali saa 6 ili watu wapate kuona ?? Au ndio mafundisho ya kanisa lako hayo ??
 
Ingia hapa kaufute kama una ubavu


Wacha kupakazia wapi kwenye hiyo link yako ya ibn Kathir kumetajwa Paul kama ni Bulus ??

Unawasha mwenge mchana jua kali saa 6 ili watu wapate kuona ?? Au ndio mafundisho ya kanisa lako hayo ??
 
Back
Top Bottom