Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
acha uzushi jews na misikiti wap na wapi....hata ukristo pia sio wote wanakula nguruwe,


je wajua wayahudi hawali bata, ngamia, samaki wasio na magamba wanaoliwa na waislamu


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie

mfano Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika,
Fuatilia katika aya zifuatazo:-


Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi
walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie
Nenda kasome acha kutoa mapovu watu wa Paulo
 
Yesu mtoto wa Maryam na Isa bin Maryam ndio huyohuyo mmoja shida ni kwamba wewe umelishwa matango poli na wazungu

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; jina lake ni Ahmad! Lakini alipo waletea hoja zilizo wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio dhaahiri!
Kulishwa matangopori ndio lugha gani hiyo?
Mi sijasoma Qurani na siifahamu,
Kama Qurani inasema Issa ndo Yesu basi tueleweshe.
Ila nashangaa unatumia lugha ya kashfa unapoelezea ushahidi wako kwani tatizo liko wapi ?
 
acha uzushi jews na misikiti wap na wapi....hata ukristo pia sio wote wanakula nguruwe,


je wajua wayahudi hawali bata, ngamia, samaki wasio na magamba wanaoliwa na waislamu


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie

mfano Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika,
Fuatilia katika aya zifuatazo:-


Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi
walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie
Inabidi ukasome sana sijasema wamewapa wayahudi wanasema ikiwa msikiti hautumiwi wanaweza kuutumia lakini sio kanisa. Tofauti kubwa wakristo wanaamini YESU kisha beba dhambi zao zote kumuamini tu peponi wakati dini ya kiyahudi na kislamu dhambi kila mtu anachuma yeye mwenyewe na sisi tunawali mara tano wayahudi mara 3. sisi hatuli wanyama wasiokuwa na kwato na wayahudi pia, sisi tunatahiri na wao pia ni vizuri ukaenda ukasoma au kusikiliza youtube kwa viongozi wa kidini tena nenda kwa mayahudi wala sio waislam utasikia mawe huko na vijembe kuhusu YESU tena Paul ndio kabisa wanasema janja janja tu mission town.
 
huko msikitini wanatumia kitabu gani
Hakuna haja ya mapovu wewe unayebandika bendera ia Israel kanisani kwako lakini ukiwasikia wayahudi wenyewe wanawadharau sana wakristo yaani YESU wanasema sio Mesiah ni muhubiri tu sasa ikiwa YESU wamekataa kabisa hakuwa na sifa kuitwa muokozi kwani bado hajaja ndio waje kumuamini Paulo. Kasome kuhusu Jews juu ya christian utaogopa maono yao zero.
 
Hakuna haja ya mapovu wewe unayebandika bendera ia Israel kanisani kwako lakini ukiwasikia wayahudi wenyewe wanawadharau sana wakristo yaani YESU wanasema sio Mesiah ni muhubiri tu sasa ikiwa YESU wamekataa kabisa hakuwa na sifa kuitwa muokozi kwani bado hajaja ndio waje kumuamini Paulo. Kasome kuhusu Jews juu ya christian utaogopa maono yao zero.
acha uzushi jews na misikiti wap na wapi....hata ukristo pia sio wote wanakula nguruwe,


je wajua wayahudi hawali bata, ngamia, samaki wasio na magamba wanaoliwa na waislamu


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie

mfano Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika,
Fuatilia katika aya zifuatazo:-


Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi
walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie
 
Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Isa ni mtume wa Waislam, Wakristo wana Yesu. Usichanganye Yesu na Isa au Issa. Ni watu wawili tofauti. Hata Waarabu ambao ni Wakristo, hawamwiti Yesu, Issa, bali wanamwita Yesu, Yasu.
 
Hakuna haja ya mapovu wewe unayebandika bendera ia Israel kanisani kwako lakini ukiwasikia wayahudi wenyewe wanawadharau sana wakristo yaani YESU wanasema sio Mesiah ni muhubiri tu sasa ikiwa YESU wamekataa kabisa hakuwa na sifa kuitwa muokozi kwani bado hajaja ndio waje kumuamini Paulo. Kasome kuhusu Jews juu ya christian utaogopa maono yao zero.
Hata wewe muislam mweusi "Kaffir" unadharauliwa na muarabu.

Waliwahasi babu zako bado unazikumbatia dini.

Waafrika tunashangilia dini za waasia ujinga tu
 
MSILAZIMISHE ISA NDIO YESU MNAZARETHI.... MNAFAIDIKA NINI

Jina Isa maana yake ni hii
Katika Qurani yenye jumla ya juzuu 30; Surah 114; aya 6236; maneno yenye kutamkia 76,440; herufi 322,373; jina Isa linatamkwa lisa au Aysi limetajwa mara 25. Isa pia ameitwa masihi mara 93. Lakini tunaposoma Qurani iliofarsiriwa na Imam Baidawi vol 1 ukurasa 160 ameeleza kuwa Isa jina la Kiarabu maana yake ni Wekundu unaozidiana na weupe.

Maana ya jina Yesu

JINA Yesu lintokana na lugha ya Kiebrania ‘Yehoshua’ katika lugha ya Kigiriki wanasema ‘lesous’ inatamka ‘Yesous’ yaani Yesu. Katika lugha ya Kiarabu wanasema ‘Yasu’, kwa kiingereza ni “Jesus” maana yake ‘Bwana anaokoa au Bwana ni Mwokozi’ Isaya 43:6, 10-11. Katika Biblia ambayo in jumla ya Sura 1189; aya 31,102; vitabu 66 – Agano la kale vitabu 39 na agano Jipya vitabu 27; neno Mwokozi kiiengereza wanasema ‘Saviour’ limetajwa mara 55. Ikumbukwe kwamba katika agano jiypa jina Yesu au Yehoshua (kwa kiebrania) limetajwa mara 1275 katika aya zipatazo 1226. Zingatia pia kuwa agano jipya lina jumla ya aya 7930 na sura 260 hivyo hapa tunaona jina Yesu maana yake ni Mwokozi na jina Isa ni wekundu uliozidiana na weupe.


Kwa kuwa maana ya haya majina tofauti bila shaka Isa sio Bwana Yesu.
Hadi siku Yesu anapaa mbinguni kulikuwa hakuna dini inayoitwa ukristo na hata hao wa Israel aliyowaacha hadi Leo hi hawautaki wala hawaujui ukristo

Kuna picha Fulani wazungu waliitengeza kisha wakakuambieni huyu ni Yesu mmelishwa matango poli

Ila Yesu mtoto wa Maryam ambae ni mtume kwa ajili ya wana wa Israel ndio huyo huyo Issa bin Maryam aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel


YESU WA INJILI

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


YESU WA QURAN ( Issa bin Maryam)

Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; jina lake ni Ahmad! Lakini alipo waletea hoja zilizo wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio dhaahiri!


YESU MLIYOTENGENEZEWA NA WAZUNGU

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;



Mungu anasema hakuna kubadirika badirika katika maneno yake hivyo kufahamu ukweli wa maneno ya Mungu wala hakuitaji utumie nguvu ni akili tu ya kawaida
Screenshot_20210518-190717.jpg
Screenshot_20210522-101912.jpg
 
N Yesu au YESU na si yesu na paulo hakuandika biblia aliandika baadh ya vitabu kama timotheo wagalatia wafilipi wakolosai na wathethalonike na aliandika chini ya uongozi wa MUNGU
Mmmhhh. Kasheshe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Awali ya yote kwanza nakupa kongole kama ni kweli wewe ni mweleledi wa hivi vitabu vya dini kingine ni kwamba hiyo hiyo quran imetoa jibu kuhusu hili jambo kwa wanao amini quran sura ya tatu imeelekeza kwa sababu mungu anajuwa mupo mutakao hoji kama wewe kabla ya kuuliza ulitafakari nabii Adam ni Adam bin nani?
katika Qur ani kuna maneno haya ;- " Hakika mfano wa ISSA ni mfano wa Adam katika kuumbwa kwao "kwa maana hao wote ni amri ya mungu akitaka kufanya jambo huamrisha kuwa likawa {kun fayakun} hii ni kwa ufufupi tunaomba waliobobea kwenye elimu waje kufafanua zaidi tafadhali.
 
Yesu siyo Issa.
Issa ni nabii wa Kiislamu. Sisi wakristo hatumtambui Issa.
Hushawahi kuona wakristo wanamuita Yesu km Issa?
Ignorance alikuwa nayo yule mtume ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika. Mm najua kusoma na kuandika kwahiyo huwezi kunidanganya kwa lolote.
Pole sana.
Narudia tena. Yesu siyo Issa
Unasema Issa alitumia Qur'an ?

Hilo limetosha kunidhihirishia ignorance yako..
 
Narudia tena.
  • Yesu alitumia Biblia hata kipindi anaingia kwenye sinagogi alipewa Biblia asome Isaya.
  • Issa alitumia Quran ndiyo maana Habari zake unazipata kwenye Quran
Hakuna mahala popote kwenye Biblia utakuta pamemtaja Yesu km Issa. Nioneshe ni kitabu gani kwenye Biblia kinachomzungumzia nabii Issa?
- Issa utamkuta kwenye Quran
Hitimisho
- Wakristo wote duniani wanamtambua Yesu kristo kama Jesus.
Ulichoandika ni sawa na kulazimisha Allah anapatikana kwenye Biblia. Hiyo haipo ni sawa Issa.
Unasema Issa alitumia Qur'an ?

Hilo limetosha kunidhihirishia ignorance yako..
 
Quran haijaeleza habari za Yesu imeeleza habari za Issa.
Napinga kilichoeleza Quran kwa 100% kwasbb
1. Biblia na Quran ni vitabu viwili tofauti. Lengo la wakristo watu wamjue Mungu ili kuwafikia watu wamjue Mungu ndiyo maana utakuta mpk Biblia za Kisukuma zipo. Sijui mpango wenu maana kuna waislam ukimpa hiyo Quran akosomee anakutumbulia macho tu. Yeye ni kutafsiriwa na kukaririshwa na viongozi tu
2. Ukisoma habari za Yesu kwenye Biblia ni tofauti kwa 100% na za Issa kwenye Quran.
Hayupo mkristo yoyote duniani anayeamini Quran, Allah na huyo Issa 100% kwasbb
A. Amri ya kwanza ilifanyika pale Eden ambapo Adam alipewa mke mmoja kwahiyo ukioa wake wawili hiyo ni dhambi. Quran inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja
B. Wakristo tunaamini hakuna jini wazuri wote ni wabaya ni maajenti wa shetani. Kushirikiana nao ni kutenda dhambi. Waislam wanaamini kuna majini wazuri
Pole sana
Usilo lijua ni kwamba hayo uliyoyasema yote ni mafundisho uliyoyapata kutoka kwa wazungu ambao ndio waliokuletea ukristo

Lakini wana wa Israel waliokaa na Yesu na kuishie nae kama jirani yao ukristo wala hawaujui

Hiyo 2% ya wakristo hapo imepatikana kutoka kwa wageni kama wewe kama ukienda kuishi nchini Israel

Hivyo wewe huna uwezo wa kupinga ilichosema Quran kuhusu Yesu kwa sababu wewe waliokufundisha habari za Yesu sio wa Israel ila ni wazungu sasa je! Hizo habari za Yesu hao wazungu walikufundisha wewe wao walizipata wapi mnajua nyinyi

90% ya Italy ni wakristo kwa sababu wao ndio waliianzisha hiyo DiniView attachment 1793647View attachment 1793651
 
acha kutupiga kamba mkuu tangu lini myahudi anaingia msikitini acha kutuchota!
Tatizo wengi huwa hatusomi na kuelewa narudia tena sijasema wanaingia msikitini nimesema ikitokea kuna msikiti uko wazi hautumiki na kanisa liko wazi halitumiki wayahudi wakataka sehemu ya kufanyia ibada yao kwa namna yao kidini wanaruhusiwa kuomba msikiti kufanyia ibada kivyao sio kanisa hawaruhusiwi. Uzuri mimi nasoma sana hizi dini zingine sio kuingia kutaka kujuwa history sasa kama unaona nacho sema uwongo si google tu utajionea.Sababu kubwa wale viongozi wao wa kidini wanasema wao na waislamu kwa kuwa wanaamini Mungu huyu mmoja ila wakristo tofauti. wanaamini makanisa wanaabudu masanamu misikiti hapana.

It is absolutely forbidden to enter a house of idol worship. Included in this prohibition is entering a Christian church or other kinds of houses of idol worship in the Far East. Nevertheless, there is no halachic prohibition to enter an Muslim mosque; this is especially true when this is being done in order to pray there, such as at the graves of our forefathers in the Machpela Cave in Hebron.
 
acha uzushi jews na misikiti wap na wapi....hata ukristo pia sio wote wanakula nguruwe,


je wajua wayahudi hawali bata, ngamia, samaki wasio na magamba wanaoliwa na waislamu


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie

mfano Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika,
Fuatilia katika aya zifuatazo:-


Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi
walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie
Hebu nieleze kwa urahisi mimi nasoma mambo ya history za kidini. Nimesema ikitokea wayahudi hawana sehemu ya kufanyia ibada wakakuta msikiti hautumini au wakaomba na wakaruhusiwa basi wanaweza kufanya ibada ya kiyahudi ila wayahudi hawaruhusiwe kuingia kanisani kwa kuamini kuwa makanisa wanaabudu masanamu kwani wamekatazwa katika dini yao kwa maana nyingine wanasema waislamu na wao wanatofauti lakini wote wanaamini Mungu mmoja lakini sio wakristo haya ni maneno ya Ma Rabbi wa kijews sio mimi nenda kafanye research. Jews wanawatizama wakristo kama Idol worshipers haya ndio maneno yao.

It is absolutely forbidden to enter a house of idol worship. Included in this prohibition is entering a Christian church or other kinds of houses of idol worship in the Far East. Nevertheless, there is no halachic prohibition to enter an Muslim mosque; this is especially true when this is being done in order to pray there, such as at the graves of our forefathers in the Machpela Cave in Hebron.
 
Back
Top Bottom