Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Hapana we ndo hujaelewa alivyosema kama Qur an inaeleza kuzaliwa na yesu mpaka kupewa jina inakuwaje hapo?

Tambu Qur an ni complete ni mfumo mza kila kitu unachojua wewe .


Nimekujibu kwa kifupi Qur an haijaacha kitu labda uzue mjadala ni mada nyingine

Kusema Quran ni complete ni mfumo mzima hiyo ni Imani waliyojijengea Waumini lakini kiuhalisia Quran ukiichambua inabaki kuwa kitabu ambacho kimepungua kama nilivyowahi kueleza.

Huwezi sema Quran ipo Complete Wakati ikiulizwa maswali madogo haina uwezo wa kujibu.
 
Kwanza niseme inaonekana umesoma au umesimuliwa Quruani kama hadithi lakini siyo kwa kuielewa ndiyo maana hukuilewa,nitaanza na hapa uliposema Yesu atakuja kuwahukumu wanadamu,kwani Yeye ndiye aliyewaumba?Mwenye uwezo wa kuwahukumu Wanadamu ni Mungu peke yake ambaye ana sifa zote za Uungu,hakuzaliwa hafi,hana mwanzo wala mwisho

Kwa kutokujua hicho tu unaonekana mwenyewe elimu yako ni ndogo kiasi kwamba huna uwezo wa kumchambua Issa na Yesu

Mkuu weka elimu tuelimike.
 
Kusema Quran ni complete ni mfumo mzima hiyo ni Imani waliyojijengea Waumini lakini kiuhalisia Quran ukiichambua inabaki kuwa kitabu ambacho kimepungua kama nilivyowahi kueleza.

Huwezi sema Quran ipo Complete Wakati ikiulizwa maswali madogo haina uwezo wa kujibu.
Unaelewa lakini au unapiga kelele.

Swali lipi mfano? Bible karibu vitabu kibao ila ina contradiction


Waislamu wanaishi maisha ndo maana wana sheria zao na muundo wa kila kitu.


Nchi inaweza kuishi mfumo wa kiislamu
 
Unaelewa lakini au unapiga kelele.

Swali lipi mfano? Bible karibu vitabu kibao ila ina contradiction


Waislamu wanaishi maisha ndo maana wana sheria zao na muundo wa kila kitu.


Nchi inaweza kuishi mfumo wa kiislamu

Sasa Mkuu kwenye Hii mada, unakubali Yesu sio Issa? Au unasema Yesu ndio ISSA?

Hicho ndicho kinachojadiliwa humu,
Utoe hoja pinga zilizopo, Watu watajifunza lakini mjadala huo hapo
 
Hiyo ndio shida, wanafosi Issa ni Yesu, Wakati kiuhalisia sio
Mimi kinachonishangaza ni kwanini wafosi?? Kwani wakibaki na Issa wao bila kumhusisha Yesu kuna kitu watapungukiwa?? Au wanataka approval ya wakristo??
Au ni inferiority complex??
What are they trying to gain kwa kufosi issa ni Yesu?
 
Jesus jina lake halisi ni ieasous angalia video hii utaelewa vizuri

Ieasous ni kigiriki ambacho kimetohoa jina la kiebrania Yeshua, zingatia Kwenye Kigiriki hakuna Sauti Y, Sh ndio maana katika kuisikia Yeshua Sauti Y ya kiebrania wao ikaja Sauti "Ie"
Pia Kwenye Sauti "sh" imekuja saut "s" ikawa iesous"
Hayo ni mambo ya Fonetiki, fonolojia Mkuu.
Mzizi wa neno wa neno hilo ni S.
 
Mimi kinachonishangaza ni kwanini wafosi?? Kwani wakibaki na Issa wao bila kumhusisha Yesu kuna kitu watapungukiwa?? Au wanataka approval ya wakristo??
Au ni inferiority complex??
What are they trying to gain kwa kufosi issa ni Yesu?

Ni Kwa sababu ni Uongo.

Wanazuoni WA zamani walilipoulizwa kuhusu jina Issa limetokana na tafsiri ipi kwani haiendani na Lugha chanzi ambayo ni kiebrania "Yeshua"
Wakasema ati Quran haitafsiriwi Kutoka katika Lugha zingine Bali yenyewe ndio hubeba tafsiri kuu(Lugha chanzi)
 
Ieasous ni kigiriki ambacho kimetohoa jina la kiebrania Yeshua, zingatia Kwenye Kigiriki hakuna Sauti Y, Sh ndio maana katika kuisikia Yeshua Sauti Y ya kiebrania wao ikaja Sauti "Ie"
Pia Kwenye Sauti "sh" imekuja saut "s" ikawa iesous"
Hayo ni mambo ya Fonetiki, fonolojia Mkuu.
Mzizi wa neno wa neno hilo ni S.
Inakuaje mtu ambae hajui kusoma na kuandika (Muhammad s.a.w) anakuja kutoka jangwani huko alafu anasema kulikua na mtume miaka kadhaa nyuma alikua anaitwa iesa na wala hakusema Jesus then baadae watu wanakuja kugundua kuwa kuna uwezekano Jesus alikua anaitwa iesa Kwa kusadiki maneno ya mtume.

Je, hatusadiki kwamba alikua hasemi Kwa matakwa yake bali ilikua ni revelation kutoka Kwa Mungu?
 
Inakuaje mtu ambae hajui kusoma na kuandika (Muhammad s.a.w) anakuja kutoka jangwani huko alafu anasema kulikua na mtume miaka kadhaa nyuma alikua anaitwa iesa na wala hakusema Jesus then baadae watu wanakuja kugundua kuwa kuna uwezekano Jesus alikua anaitwa iesa Kwa kusadiki maneno ya mtume
Je hatusadiki kwamba alikua hasemi Kwa matakwa yake bali ilikua ni revelation kutoka Kwa mungu

Hakuna MTU aliyewahi kusema Jesus au Yeshua huenda alikuwa ni iesa, Bali Waislam ndio wanamhusisha iesa na Jesus.

Kumbuka Jesus alikuwepo Kabla ya huyo iesa kuwako Kwa zaidi ya miaka 500.
Aliyemkuta mwenzake ndiye inasemekana anafananishwa
 
Labda tukusaidie,kwanza ujue jinsi hivi vitabu vilivyoandikwa,lakini ni wajibu wako mwenyewe kuamini au kutokuami,Biblia inatokana na vitabu vya
Muhammad (ﷺ) said, "By Him in Whose Hands my soul is, surely (Jesus,) the son of Mary will soon descend amongst you and will judge mankind justly ;.....Sahih al-Bukhari 3448
Hizo hadithi huwa mnasoma na kuzielewa kweli,Yesu hata uhukumu ulimwengu, lakini atakuja kipindi kinachokalibia na mwisho wa dunia na atamkuta mtu mmoja anaitwa Masiha Dajal ambaye atawapitisha watu katika mitihani migumu ya imani, ukimfuata umepotea, ukimkataa umeokoka

Yesu atamuuwa masiha Dajal, naye atakufa, maana katika mwisho wa dunia kila kitu kitakufa, mpaka malaika watakufa, atabaki Mungu peke yake kama alivyoumba dunia, ndiyo utakapoanza ufufuo kwa viumbe wake, na mtu wa kwanza kufufuliwa atakuwa Mtume Muhammad (S.A.W) baada ya hapo itaanza hukumu, itachukua miaka alfu5 huku watu wamesimama hakuna kulala wala kula, huo ndiyo Uisilamu elimu pana hakuna kitu kilichofichwa
 
Vizuri Kwa uthibitisho kuwa Quran haijitoshelezi, Kwa kushindwa kuelezea Wahusika wake. Niliandika hapa kwenye Uzi Fulani kuwa Quran sio kitabu kikuu cha kumuongoza MTU Kwa sababu hakijitoshelezi
Unaijua kweli Quruani au unasema kwa mapenzi yako tu?ibe nipe kifungu kinachozungumzia kuto kuowa kwa Mapadri na mimi nikupe kifungu cha kuoa Wake wengi katika Uisilamu
 
Back
Top Bottom