QUR'AN siyo kitabu Cha wasifu/biography,ni kitabu Cha kumuongoza mtu kumjua muumba wake na vile anataka Aishi duniani, Quran imetaja manabii wengi toka Adam,lut, Ibrahim mpaka Muhammadi,we unataka itaje majina yao wote na koo na wanafunzi wao!!?..yesu kiebrania yeshua au y'shua...Sasa kiebrania ismail wanasema Ishmael,toa hiyo sh bakiza 's' Kisha tamka uone linakuja jina gani,ukiona kazi google kigiriki jina yesu,utapata na linavyotamkwa,yesu hakuzaliwa kwenye zizi la ng'ombe Kama wengi mnavyoamini,hori la ng'ombe ni pahala ng'ombe wanatumia kula na kunywa,na alipozaliwa ilikua mid summer,kiasi wafuga ng'ombe waliweza ona mifugo yao usiku,mid summer tende huwa mbivu Kama Quran ilivyosema kwenye mazazi ya ISSA/yesu...kukataa issa si yesu ni ujuha unaotokana na kukosa hoja