Wewe Kama Nani Unamchunguza Mamlaka Hayo Na Ruhusa Hiyo Nani Kakupa - Nani Mfadhili Wako ? Chadema ? Cuf ? Au Shirika La Transparency ?
Na wewe hebu tuondolee upuuzi wako hapa! Hivi moderators huyu jamaa mnamlealea wa nini? Naamini katika uhuru na kustahimiliana lakini kuna wengine wanachefua mno, mfano ni huyu jamaa anayejiita Shy!