DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,437
Hili jambo ameniambia wife leo yeye ametumiwa tena limesomeka jina ambalo si lake.
Nikajisemea ole wao wanitumie msg kama hizi. Kwanza ni usumbufu na kutukosea adabu, hivi inakuwaje wanadhani ya kuwa kila mtu ni mpiga kura ? Sisi wengine tunakuwa na vitambulisho vya kupiga kura kuepuka usumbufu tu katika harakati zetu.