Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Pamoja na mambo Mengine kwenye viwanja vya furahisha Mwanza Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amewaagiza wananchi kumpigia simu Spika huyo ili kumlazimisha awaondoe Bungeni wabunge 19 maarufu kama COVID 19 , ambao amedai wamewekwa bungeni humo kinyume cha sheria
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie