Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,738
- 13,106
Utawala huu siyo tu vyombo vya habari bali ni hata individuals wanaogopa, na kama hujui hiyo ni dalili ya kuongozi kuwa dikteta. Ulisikia kauli ya slowslow baada ya Ponda kumuunga mkono Mh Lissu?vyombo sio kwamba vinashindwa kumuunga mkono, shida ni jamaa mwenyewe na relationship alionayo, unadhan kuna watu wameshindwa kwa moyo wote kumsaidia jamaa? ina maaana hata mbowe mwenyewe ataendelea kumkimbia lissu mpaka lini sasa au nae anaogopa?
-kingine nadoubt sana jinsi anavoshirikiana na wadau wenzake wa chadema, ikumbukwe tu kura za awali nakumbuka alishinda nyalandu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app