mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,552
- 2,619
Habari wana JF,
TTCL kampuni ambayo ipo chini ya usimamizi wa serikali una changamoto ya kutumiwa zaidi na matapeli wanaojaribu kutapeli watu kupitia call/sms.
Kampuni kama hii ambayo ipo chini ya serikali tungetarajia kubwa ingefanya vizuri zaidi kwasababu chombo kinachosimamia pia (TCRA) ni chombo cha serikali, lakini imekuwa tofauti katika udhibiti, tofauti na makampuni mengine ya simu.
Wananchi wamepewa utaratibu wa kuripoti namba kama hizi kwa kutuma ujumbe mfupi wa meseji kwenda 15040 kutoka mtandao wowote lakini inaonekana mtandao wa TTCL udhibiti wake upo chini sana.
Ingawa tatizo bado lipo mitandao yote lakini ukiripoti mitandao mingine hulifanyia kazi kushinda huku kwenye TTCL japo mara nyingine inaonekana kama hawafanyi hivyo kwa kuhofia kupoteza wateja sababu hata tapeli huweka vifurushi ambayo ndio sources of income ya kampuni.
TCRA bado kuna kazi ya kuwasidia Watanzania.
TTCL kampuni ambayo ipo chini ya usimamizi wa serikali una changamoto ya kutumiwa zaidi na matapeli wanaojaribu kutapeli watu kupitia call/sms.
Kampuni kama hii ambayo ipo chini ya serikali tungetarajia kubwa ingefanya vizuri zaidi kwasababu chombo kinachosimamia pia (TCRA) ni chombo cha serikali, lakini imekuwa tofauti katika udhibiti, tofauti na makampuni mengine ya simu.
Wananchi wamepewa utaratibu wa kuripoti namba kama hizi kwa kutuma ujumbe mfupi wa meseji kwenda 15040 kutoka mtandao wowote lakini inaonekana mtandao wa TTCL udhibiti wake upo chini sana.
Ingawa tatizo bado lipo mitandao yote lakini ukiripoti mitandao mingine hulifanyia kazi kushinda huku kwenye TTCL japo mara nyingine inaonekana kama hawafanyi hivyo kwa kuhofia kupoteza wateja sababu hata tapeli huweka vifurushi ambayo ndio sources of income ya kampuni.
TCRA bado kuna kazi ya kuwasidia Watanzania.