Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Waambie Mkii, Kuna watu kinachowakera ni Jina Halima. Wala hawaangalii hiyo Index ni P au S na kuna kilaza mmoja akasema kabisa huyu kamaliza shule 2019! What a fooo-lish
Huyo Halima Index yake ni P...... kwa maaana kwamba ni PRIVATE CANDIDATE ambaye hakuwa kwenye mfumo wa Full tym darasani, yaweza kuwa shule alimaliza 2001 lkn katika Hustle za kuweka vyeti vyake vzuri akarudia mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2019. Hapo tatizo liko wapi? Tuache kuhukumu mapema kabla ya kujua uhalisia na kuwachafua wasiokuwa na hatia.
Over
Anarudia mtihani wa form four wa nini kama alishafika chuo na akasomea ualimu? How can people be this foolish hata kuchambua vitu virahisi? So kasomaje chuo hadi aje aresit saivi smh
 
Anarudia mtihani wa form four wa nini kama alishafika chuo na akasomea ualimu? How can people be this foolish hata kuchambua vitu virahisi? So kasomaje chuo hadi aje aresit saivi smh
Mkuu kwenye maisha kila mtu ana focus yke na kumbuka kwenye familia zetu Kuna presha za familia wala sio Jambo la ajabu inawezekana alisomea ualimu (bila kupenda) hakupata ajira akabaki mtaani 2019 akamua kurudi kutegeneza na kutafuta credit ili aweze kutimiza ndoto na hitaji lake kwani hairushiwi?
 
Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---


PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Watanzania tunatia haibu Dunia nzima
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Usikute hata Halima mwenyewe hajuwi kama kachaguliwa kuwa mwalimu ila kutakuwa na mtu anataka kutumia hilo jina ili apate kazi serikalini.
 
Waambie Mkii, Kuna watu kinachowakera ni Jina Halima. Wala hawaangalii hiyo Index ni P au S na kuna kilaza mmoja akasema kabisa huyu kamaliza shule 2019! What a fooo-lish
Huyo Halima Index yake ni P...... kwa maaana kwamba ni PRIVATE CANDIDATE ambaye hakuwa kwenye mfumo wa Full tym darasani, yaweza kuwa shule alimaliza 2001 lkn katika Hustle za kuweka vyeti vyake vzuri akarudia mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2019. Hapo tatizo liko wapi? Tuache kuhukumu mapema kabla ya kujua uhalisia na kuwachafua wasiokuwa na hatia.
Over
Wewe acha viswahili vingi.

Hata awe amerudia mara mia mbili........ mwaka wake wa kumaliza kidato cha nne ni 2019. FULL STOP.

Ntantarira mingi.... ikaenda ikarudi...... sijui alienda kwa bibi ake akarudi kufanya mtihani, mara aliugua kifafa....

Hii orodha nzima ya majina hewa ina mushkeli karibu kila mahali. Majina megi humu ni ya kupikwa.

Wacha viswahili vyako!
 
Mkuu kwenye maisha kila mtu ana focus yke na kumbuka kwenye familia zetu Kuna presha za familia wala sio Jambo la ajabu inawezekana alisomea ualimu (bila kupenda) hakupata ajira akabaki mtaani 2019 akamua kurudi kutegeneza na kutafuta credit ili aweze kutimiza ndoto na hitaji lake kwani hairushiwi?
Sasa kama alisomea ualimu, kwanini asingeajiriwa kwa kutumia namba yake ya kidato cha nne iliyotumika kusomea ualimu?

Inawezekanaje itumike namba ambayo haishabihiani na qualifications zake za kitaaluma?

Wacha maneno mengi wewe!

Ujanja ujanja tu na viswahili vingi!
 
Sasa kama alisomea ualimu, kwanini asingeajiriwa kwa kutumia namba yake ya kidato cha nne iliyotumika kusomea ualimu?

Inawezekanaje itumike namba ambayo haishabihiani na qualifications zake za kitaaluma?

Wacha maneno mengi wewe!

Ujanja ujanja tu na viswahili vingi!
Mkuu piga spana hawa mbumbumbu. Eti mtu karudia mtihani mwaka jana, kaomba nafasi ya kazi kwa matokeo ya mwaka jana kisha kaajiriwa kwa matokeo ya zamani ambayo hayakumpa vigezo vya kupata kazi.
Sasa sijui matokeo ya form four mwaka jana yamempeleka lini chuo miaka miwili/mitatu mpaka kuwa na vigezo kuajiriwa.
Hizi ni bhangi
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Si bora huyo ni private candidate
Angalia vizuri kuna school candidate wengi tu wamemaliza form four mwaka jana na wamepata ajira
 
We jamaa kwani lazima umuonyeshe kwa umma mdada wa watu......

Be patient mkuu
Ajira utapata
 
Na usipochukua hatua za haraka dhini ya hao wafanyakazi wa tamisemi tutajua unewatuma wewe
 
Dogo langu limekosa nimebidi nilinunulie TVS liwe bodaboda
Ndo hivo hakuna namna watu wanacholalamika si kukosa ila ni kwa nini watoe majina katika hali hyo ikiwa walikuwa na mda wa kutosha kufanya uchambuzi mzuri
 
Back
Top Bottom