Anarudia mtihani wa form four wa nini kama alishafika chuo na akasomea ualimu? How can people be this foolish hata kuchambua vitu virahisi? So kasomaje chuo hadi aje aresit saivi smhWaambie Mkii, Kuna watu kinachowakera ni Jina Halima. Wala hawaangalii hiyo Index ni P au S na kuna kilaza mmoja akasema kabisa huyu kamaliza shule 2019! What a fooo-lish
Huyo Halima Index yake ni P...... kwa maaana kwamba ni PRIVATE CANDIDATE ambaye hakuwa kwenye mfumo wa Full tym darasani, yaweza kuwa shule alimaliza 2001 lkn katika Hustle za kuweka vyeti vyake vzuri akarudia mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2019. Hapo tatizo liko wapi? Tuache kuhukumu mapema kabla ya kujua uhalisia na kuwachafua wasiokuwa na hatia.
Over
Atajitetea kwa kusema huyu msela kapita bila kupingwa.Pascal Mayalla kwavile wewe wayajua mambo yakina chadema na viti maalum; Je, huu uzi una ukweli wowote au wantaka kuchafua serikali?
Mkuu kwenye maisha kila mtu ana focus yke na kumbuka kwenye familia zetu Kuna presha za familia wala sio Jambo la ajabu inawezekana alisomea ualimu (bila kupenda) hakupata ajira akabaki mtaani 2019 akamua kurudi kutegeneza na kutafuta credit ili aweze kutimiza ndoto na hitaji lake kwani hairushiwi?Anarudia mtihani wa form four wa nini kama alishafika chuo na akasomea ualimu? How can people be this foolish hata kuchambua vitu virahisi? So kasomaje chuo hadi aje aresit saivi smh
Watanzania tunatia haibu Dunia nzimaKusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.
Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?
MUNGU TUNUSURU
---
---
---
PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Usikute hata Halima mwenyewe hajuwi kama kachaguliwa kuwa mwalimu ila kutakuwa na mtu anataka kutumia hilo jina ili apate kazi serikalini.Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo
Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed
Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?
Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Wewe acha viswahili vingi.Waambie Mkii, Kuna watu kinachowakera ni Jina Halima. Wala hawaangalii hiyo Index ni P au S na kuna kilaza mmoja akasema kabisa huyu kamaliza shule 2019! What a fooo-lish
Huyo Halima Index yake ni P...... kwa maaana kwamba ni PRIVATE CANDIDATE ambaye hakuwa kwenye mfumo wa Full tym darasani, yaweza kuwa shule alimaliza 2001 lkn katika Hustle za kuweka vyeti vyake vzuri akarudia mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2019. Hapo tatizo liko wapi? Tuache kuhukumu mapema kabla ya kujua uhalisia na kuwachafua wasiokuwa na hatia.
Over
We kiazi kwel halafu inaelekea hata shule hukusoma, ungesoma ungemuelewa mtoa mada,kama huelew bora upite kimyaKwan halima Mohammed ni mmoja tu Tanzania nzima
Sasa kama alisomea ualimu, kwanini asingeajiriwa kwa kutumia namba yake ya kidato cha nne iliyotumika kusomea ualimu?Mkuu kwenye maisha kila mtu ana focus yke na kumbuka kwenye familia zetu Kuna presha za familia wala sio Jambo la ajabu inawezekana alisomea ualimu (bila kupenda) hakupata ajira akabaki mtaani 2019 akamua kurudi kutegeneza na kutafuta credit ili aweze kutimiza ndoto na hitaji lake kwani hairushiwi?
Mkuu piga spana hawa mbumbumbu. Eti mtu karudia mtihani mwaka jana, kaomba nafasi ya kazi kwa matokeo ya mwaka jana kisha kaajiriwa kwa matokeo ya zamani ambayo hayakumpa vigezo vya kupata kazi.Sasa kama alisomea ualimu, kwanini asingeajiriwa kwa kutumia namba yake ya kidato cha nne iliyotumika kusomea ualimu?
Inawezekanaje itumike namba ambayo haishabihiani na qualifications zake za kitaaluma?
Wacha maneno mengi wewe!
Ujanja ujanja tu na viswahili vingi!
Si bora huyo ni private candidateBado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo
Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed
Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?
Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Ndo hivo hakuna namna watu wanacholalamika si kukosa ila ni kwa nini watoe majina katika hali hyo ikiwa walikuwa na mda wa kutosha kufanya uchambuzi mzuriDogo langu limekosa nimebidi nilinunulie TVS liwe bodaboda
Hivi ukiresit index no inabadilika?Huyo aliresit, akashindwa kupata matokeo mazuri ya F5, akaendelea na ualimu. Alikuwa akiresit wakati akiendelea na ualimu