KasiLuka
Member
- Nov 23, 2019
- 45
- 175
"Najaribu kuwaza kwa sauti ,huyo muhusika anapoenda kureport kwa mkurugenzi wa halmashauri(sehemu kituo chake cha kazi kilipo ,kiutaratibu anatakiwa aende akiwa na vyeti vyake original kikiwemo cheti chake cha taaluma,,nawaza tu huyu mtu atasubmit nini???? Ukishafikiria kote huku hapa ndo utajua wala hayo sio makosa ,ni planned issue kabisa,,