Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Conection sizungumziii barua nazungumzia watu na watu wao! Hzo barua gersha ndugu!..

nina wanangu kama 6 hivi woote wa kitaa tuu, hakuna mwenye connection wala contact, ndugu!! Ajira zimetoka, watu wawili watatu kupigiwa pande ni kawaida kwenye kila taasisi, komaa tuu...
 
View attachment 1637468
TAMISEMI HAWAKUONYESHA UMAKINI KWENYE MCHAKATO WA AJIRA ZA WALIMU ?

Mimi kama mdau wa elimu hapa nchini nimekuwa nikifatilia mchakato mzima wa hizi ajira za ualimu yaani tokea kuomba mpaka kutangazwa kwake na haya ndio machache niliyo yagundua;

1.Mfumo wa kuomba ajira yaani OTEAS ulizidiwa pale pale mwanzo na kufanya ugumu katika kuomba ajira hizo kwa zaidi ya siku 15.

2. Udanganyifu wa idadi ya watakao ajiriwa na walio ajiriwa ( ajira walitangaza ni 13,000 lakini wameajiri 9,000 +, je kama kibali cha ajira kilikua ni cha watu 13,000 hao watu wengine wameajiliwa wapi au wanabana matumizi?).

3. Mchakato sio wazi na shindani (non competitive and lack of transparent). Hawakusema wametumia kigezo gani kuajiri waliowaajiri na kuwaacha wengine kati ya wengi walio omba hizo ajira.

4. Uzembe na Uvivu. hii imejidhihirisha wazi kabsa kwa jina moja kujitokeza mara 196 inamaana wameprint tu na kuzitoa wameshindwa kuyapitia hayo majina na pia kushindwa kuweka namba kwenye majina hayo ili watu washindwe kutambua idadi halisi.

5. Kutoainisha majina kama mahitaji yalivyokua yakionesha kwenye tangazo la kazi yaani kwa taaluma mbali mbali kama lab technician 10 na majina yao haya au walimu daraja la 111 A 150 na majina yao haya wa 111 C. 670 na majina yao. Kuliko kuyachanganya na kufanya mkanganyiko kwa waliomba na jamii kwa ujumla.

6.Wasi wasi wa utendaji wao wa kazi na kazi yao kwa ujumla ( kwa waombaji )

View attachment 1637469
View attachment 1637470
View attachment 1637471
Hata mimi nimeshangaa
View attachment 1637468
TAMISEMI HAWAKUONYESHA UMAKINI KWENYE MCHAKATO WA AJIRA ZA WALIMU ?

Mimi kama mdau wa elimu hapa nchini nimekuwa nikifatilia mchakato mzima wa hizi ajira za ualimu yaani tokea kuomba mpaka kutangazwa kwake na haya ndio machache niliyo yagundua;

1.Mfumo wa kuomba ajira yaani OTEAS ulizidiwa pale pale mwanzo na kufanya ugumu katika kuomba ajira hizo kwa zaidi ya siku 15.

2. Udanganyifu wa idadi ya watakao ajiriwa na walio ajiriwa ( ajira walitangaza ni 13,000 lakini wameajiri 9,000 +, je kama kibali cha ajira kilikua ni cha watu 13,000 hao watu wengine wameajiliwa wapi au wanabana matumizi?).

3. Mchakato sio wazi na shindani (non competitive and lack of transparent). Hawakusema wametumia kigezo gani kuajiri waliowaajiri na kuwaacha wengine kati ya wengi walio omba hizo ajira.

4. Uzembe na Uvivu. hii imejidhihirisha wazi kabsa kwa jina moja kujitokeza mara 196 inamaana wameprint tu na kuzitoa wameshindwa kuyapitia hayo majina na pia kushindwa kuweka namba kwenye majina hayo ili watu washindwe kutambua idadi halisi.

5. Kutoainisha majina kama mahitaji yalivyokua yakionesha kwenye tangazo la kazi yaani kwa taaluma mbali mbali kama lab technician 10 na majina yao haya au walimu daraja la 111 A 150 na majina yao haya wa 111 C. 670 na majina yao. Kuliko kuyachanganya na kufanya mkanganyiko kwa waliomba na jamii kwa ujumla.

6.Wasi wasi wa utendaji wao wa kazi na kazi yao kwa ujumla ( kwa waombaji )

View attachment 1637469
View attachment 1637470
View attachment 1637471
Mimi imenishangaza kwa kweli maana nimetoa macho we kila page Abdallah huyo! Wengi wameachwa bila sababu na wana uwezo mkubwa Nina ndg zangu pure science hawakupata nafasi
 
Umeleta screenshot ambayo imeandikwa 2 of 196, unajua maana yake?

Kama hujui, jua kuwa Hilo jina lipo mara 196 ila hapo ulikuwa kwenye sehemu ya 2 lilipoonekana Kati ya mara hizo 196.

Kama hujaelewa, sema niongeze sauti.
Dohhhhh
 
Hapa kazi tu!!!!!

Serikali imetuambia tuache kutegemea vya kupewa tuchape kazi!
Nyie nani aliwaambia mkijipendekeza kujitolea mtapewa ajira?

Eti mnalalamika Abadallah kuajiriwa mara 196 acheni uvivu nyie chapeni kazi.

Mmeambiwa kila mtu achape kazi nyie badala ya kuchapa kazi mnajitolea? Mnaijua serikali ya wanyonge nyie?

MKUU KASHASEMA, AWAMU HII HAKUNA RAHA, NI MWENDO WA MASTRESS MAKUBWA MAKUBWA TU MPAKA MFEE WOTEEEEE!!!

HAPA KAZI TU, #MITANOTENA.

CCM HOYEEEEEEEE!
 
Hii nchi mambo hajawahi kuwa serious hata kidogo , mchakato mzima wa uombaji wa hizi ajira ulijaa matatizo kibao ,

Aya , baada ya mchakato ule watu toka mwezi wa tisa mbaka mwezi huu wa kumi na moja mwishoni walikaa wanasubilia wakiwa na hope kwamba watakapo release majina may be matatizo madogo madogo hayatakuwepo ukirejea na muda waliotumia .
But , at the end of the day , huu ndyo upupu waliotuletea , kweli mtu kaomba eti degree kasoma basic mathematics na history ?. Hichi ni nini ?

Despite that , system ilitaka waombaji waorodheshe masoma mawili tu , but i have seen some of the dudes with more than two subjects . forget about that name that have been appeared several times . ukweli hii umeoneshe huko tamisemi kuna watu wa ovyo ovyo wasio kuwa makini na kazi wazifanyazo. Tuanzie huku Tamisemi Mfumo mzima huko tamisemi inabidi ufumuliwe , huku tamisemi inaelekea kuna wapumbavu wengi sana wanaotuharibia kazi na kuharibu juhudi za mheshimiwa raisi.


Mwisho , niseme tu kama taifa lisije kaa likafikiria kuwa vijana watakuja kaa eti wajegenge upendo na uzalendo na nchi hii kutoka na mambo ya ovyo ovyo kama haya yanayofanyika . maana kada ya ualimu ni kada inayogusa vijana wengi toka familia za chini hivyo kutokana na mambo haya wanyonge wengi wameumizwa .
Halafu watu wenye umakini tupo mtaani tu.
 
Hjjawahi kusikia mtu ana PhD lakini anasomea certificate ya kitu kingine?
Mbona unaonekana Kama c mtanzania mwezutu vile!
Hivi mnajua criteria za kupata certificate. From the initial step huwezi kwenda mbele kama hujaclear form four sijui nini mnashindwa kuelewa
 
"Najaribu kuwaza kwa sauti ,huyo muhusika anapoenda kureport kwa mkurugenzi wa halmashauri(sehemu kituo chake cha kazi kilipo ,kiutaratibu anatakiwa aende akiwa na vyeti vyake original kikiwemo cheti chake cha taaluma,,nawaza tu huyu mtu atasubmit nini???? Ukishafikiria kote huku hapa ndo utajua wala hayo sio makosa ,ni planned issue kabisa,,
Watawnda na kadi ya kijani
 
Back
Top Bottom