Mtu anamaliza form Four 2019 halafu 2020 anapangwa na serikali kama mwalimu, bado tuna safari ndefu aisee
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Conection sizungumziii barua nazungumzia watu na watu wao! Hzo barua gersha ndugu!..
5 tena!Hahahah! Tanzania ya Viwonder bhana
Hata mimi nimeshangaaView attachment 1637468
TAMISEMI HAWAKUONYESHA UMAKINI KWENYE MCHAKATO WA AJIRA ZA WALIMU ?
Mimi kama mdau wa elimu hapa nchini nimekuwa nikifatilia mchakato mzima wa hizi ajira za ualimu yaani tokea kuomba mpaka kutangazwa kwake na haya ndio machache niliyo yagundua;
1.Mfumo wa kuomba ajira yaani OTEAS ulizidiwa pale pale mwanzo na kufanya ugumu katika kuomba ajira hizo kwa zaidi ya siku 15.
2. Udanganyifu wa idadi ya watakao ajiriwa na walio ajiriwa ( ajira walitangaza ni 13,000 lakini wameajiri 9,000 +, je kama kibali cha ajira kilikua ni cha watu 13,000 hao watu wengine wameajiliwa wapi au wanabana matumizi?).
3. Mchakato sio wazi na shindani (non competitive and lack of transparent). Hawakusema wametumia kigezo gani kuajiri waliowaajiri na kuwaacha wengine kati ya wengi walio omba hizo ajira.
4. Uzembe na Uvivu. hii imejidhihirisha wazi kabsa kwa jina moja kujitokeza mara 196 inamaana wameprint tu na kuzitoa wameshindwa kuyapitia hayo majina na pia kushindwa kuweka namba kwenye majina hayo ili watu washindwe kutambua idadi halisi.
5. Kutoainisha majina kama mahitaji yalivyokua yakionesha kwenye tangazo la kazi yaani kwa taaluma mbali mbali kama lab technician 10 na majina yao haya au walimu daraja la 111 A 150 na majina yao haya wa 111 C. 670 na majina yao. Kuliko kuyachanganya na kufanya mkanganyiko kwa waliomba na jamii kwa ujumla.
6.Wasi wasi wa utendaji wao wa kazi na kazi yao kwa ujumla ( kwa waombaji )
View attachment 1637469
View attachment 1637470
View attachment 1637471
Mimi imenishangaza kwa kweli maana nimetoa macho we kila page Abdallah huyo! Wengi wameachwa bila sababu na wana uwezo mkubwa Nina ndg zangu pure science hawakupata nafasiView attachment 1637468
TAMISEMI HAWAKUONYESHA UMAKINI KWENYE MCHAKATO WA AJIRA ZA WALIMU ?
Mimi kama mdau wa elimu hapa nchini nimekuwa nikifatilia mchakato mzima wa hizi ajira za ualimu yaani tokea kuomba mpaka kutangazwa kwake na haya ndio machache niliyo yagundua;
1.Mfumo wa kuomba ajira yaani OTEAS ulizidiwa pale pale mwanzo na kufanya ugumu katika kuomba ajira hizo kwa zaidi ya siku 15.
2. Udanganyifu wa idadi ya watakao ajiriwa na walio ajiriwa ( ajira walitangaza ni 13,000 lakini wameajiri 9,000 +, je kama kibali cha ajira kilikua ni cha watu 13,000 hao watu wengine wameajiliwa wapi au wanabana matumizi?).
3. Mchakato sio wazi na shindani (non competitive and lack of transparent). Hawakusema wametumia kigezo gani kuajiri waliowaajiri na kuwaacha wengine kati ya wengi walio omba hizo ajira.
4. Uzembe na Uvivu. hii imejidhihirisha wazi kabsa kwa jina moja kujitokeza mara 196 inamaana wameprint tu na kuzitoa wameshindwa kuyapitia hayo majina na pia kushindwa kuweka namba kwenye majina hayo ili watu washindwe kutambua idadi halisi.
5. Kutoainisha majina kama mahitaji yalivyokua yakionesha kwenye tangazo la kazi yaani kwa taaluma mbali mbali kama lab technician 10 na majina yao haya au walimu daraja la 111 A 150 na majina yao haya wa 111 C. 670 na majina yao. Kuliko kuyachanganya na kufanya mkanganyiko kwa waliomba na jamii kwa ujumla.
6.Wasi wasi wa utendaji wao wa kazi na kazi yao kwa ujumla ( kwa waombaji )
View attachment 1637469
View attachment 1637470
View attachment 1637471
DohhhhhUmeleta screenshot ambayo imeandikwa 2 of 196, unajua maana yake?
Kama hujui, jua kuwa Hilo jina lipo mara 196 ila hapo ulikuwa kwenye sehemu ya 2 lilipoonekana Kati ya mara hizo 196.
Kama hujaelewa, sema niongeze sauti.
Hii ndio tabu ya kuwa mwizi, kila kitu kitakwenda kwa mwendo wa kura,kiufupi ujanja ujanja ndio umetawala hakuna tena uhalisiaHahahah wanafikiri ajira ni kama kura feki unajijazia tu tani yako! 😁😁
Jitaje mara 100 kuwa wewe ni mtu bin ushuzi. Wewe unaleta ujinga kwenye ishu sensitive na crucial. Suala la kitaifa unaleta busara za hadhi ya familia. Uko sawa au ni wewe na hewa hamna tofauti?Huyo aliechapisha nae ni binaadam ana mapungufu yake hivo pengine amekosea tu
Halafu watu wenye umakini tupo mtaani tu.Hii nchi mambo hajawahi kuwa serious hata kidogo , mchakato mzima wa uombaji wa hizi ajira ulijaa matatizo kibao ,
Aya , baada ya mchakato ule watu toka mwezi wa tisa mbaka mwezi huu wa kumi na moja mwishoni walikaa wanasubilia wakiwa na hope kwamba watakapo release majina may be matatizo madogo madogo hayatakuwepo ukirejea na muda waliotumia .
But , at the end of the day , huu ndyo upupu waliotuletea , kweli mtu kaomba eti degree kasoma basic mathematics na history ?. Hichi ni nini ?
Despite that , system ilitaka waombaji waorodheshe masoma mawili tu , but i have seen some of the dudes with more than two subjects . forget about that name that have been appeared several times . ukweli hii umeoneshe huko tamisemi kuna watu wa ovyo ovyo wasio kuwa makini na kazi wazifanyazo. Tuanzie huku Tamisemi Mfumo mzima huko tamisemi inabidi ufumuliwe , huku tamisemi inaelekea kuna wapumbavu wengi sana wanaotuharibia kazi na kuharibu juhudi za mheshimiwa raisi.
Mwisho , niseme tu kama taifa lisije kaa likafikiria kuwa vijana watakuja kaa eti wajegenge upendo na uzalendo na nchi hii kutoka na mambo ya ovyo ovyo kama haya yanayofanyika . maana kada ya ualimu ni kada inayogusa vijana wengi toka familia za chini hivyo kutokana na mambo haya wanyonge wengi wameumizwa .
Akili yako inafanana na uandishi wako.
Hujui hata nimemjibu nani na nimejibu nini. Jamii forum ingekua ina expose tu sura za watu maana wajinga ni wengiAcha ujinga wewe sijui umesoma wapi wewe ? Yani umeshindwa hata kuelewa hapo juu. Ccm tawala milele.
Hivi mnajua criteria za kupata certificate. From the initial step huwezi kwenda mbele kama hujaclear form four sijui nini mnashindwa kuelewaHjjawahi kusikia mtu ana PhD lakini anasomea certificate ya kitu kingine?
Mbona unaonekana Kama c mtanzania mwezutu vile!
HahaahhahahahahahahahaaUyo mwamba atakua alisomea 007, kiufupi uyo ni james bond
Watawnda na kadi ya kijani"Najaribu kuwaza kwa sauti ,huyo muhusika anapoenda kureport kwa mkurugenzi wa halmashauri(sehemu kituo chake cha kazi kilipo ,kiutaratibu anatakiwa aende akiwa na vyeti vyake original kikiwemo cheti chake cha taaluma,,nawaza tu huyu mtu atasubmit nini???? Ukishafikiria kote huku hapa ndo utajua wala hayo sio makosa ,ni planned issue kabisa,,