Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Mataga huyo asikuchoshe.Kamanda, pumzika ukipata nguvu najua utarejea uwanja wa mapambano.
Mataga huyo asikuchoshe.Kamanda, pumzika ukipata nguvu najua utarejea uwanja wa mapambano.
Usiniulize maswali ya kijinga.Kwanini usihamie CCM mkuu?
Mataga mama yako.Mataga huyo asikuchoshe.
Mataga mnaanza kuparurana sasa.Nyumbu baba yako.
Kweli Mbowe ndio amekiua Chama
Sababu Mbowe aliwapa MaDED mamlaka kusimamia chaguzi...
Mbowe ndio aliwateua MaDC...
Mbowe ndio amiri jeshi mkuu ambaye majeshi yote yanamtii...
View attachment 1769179
Tetetete,Usiniulize maswali ya kijinga.
Kamanda uliyechoka , niliwahi kushauri, ukapumzike uchovu ukiisha rejea ukamanda.Nilisema, we mtetee huku yeye anapiga mabil ya pesa. We unaambulia jojo.
Kwani upo wapi ukitaabika wakati huu Etweege.Bavicha wamejaa vinyesi kichwani
Mkuu tumelalamika sana atuachie chama chetu, amegeuza mtaji.Mbona enzi za jiwe hamkua mnamshambulia huyu Kiongozi?
Ili ukiuwe kama Le professorerMkuu tumelalamika sana atuachie chama chetu, amegeuza mtaji.