Hua nasema kila siku humu.

Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.

Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?

Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.

Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.

Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?

Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.

Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
sawa kabisa hizi ndiyo siasa za tanzania upinzani hamna kitu ni saccos za kina mbowe tu hizo
 
Hua nasema kila siku humu.

Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.

Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?

Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.

Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.

Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?

Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.

Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
CCM KUMEOZA LAKINI UPINZANI KUNATOA FUNZA.....
 
Mashabiki wa vyama hawana tofauti na mashabiki wa mpira unweza kujiuliza huyu anatetea Chama hiki mwingine Chama kile na hawaelewani lakini ukienda jukwaa la michezo unawakuta wanashabikia timu moja na wanaelewana balaa wanaitetea timu kwa nguvu zote lakini wakija kwenye siasa wanapishana tena.

Siasa ni mchezo usiotabirika kabisa.
 
Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Wewe kamanda ubwabwa wa kijani tuachie chama chetu! "ford ranger" ndio gari ya kutishia royal family yenye mpunga kuliko ukoo wako wote!!!? Wewe ni wa jiwe na una frustrations huna pa kwenda! hillllllloooooooooooooo!!
 
Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Acha tabia za kumchokonoa Mwenyekiti wetu wa kudumu wa chama
 
Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Mpeleke Polisi
 
Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Fisadi ni yule aliye lisababishia taifa kupata hasara ya 150 billion tshs ktk kipindi cha miaka 5.
 
Back
Top Bottom