Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
- Thread starter
- #41
Yeye ndio amekiendeleza? Au hizo hela za pipi anazokupa ndio zinakutoa akili?Ili ukiuwe kama Le professorer
Yeye ndio amekiendeleza? Au hizo hela za pipi anazokupa ndio zinakutoa akili?Ili ukiuwe kama Le professorer
Kwani pale kijani baada yakugeuka jangwa kwani ulishapata posho yeyote.Huna akili, yeye ndio amekiendeleza? Au hizo hela za pipi anazokupa ndio zinakutoa akili?
Bogus.ngoja waje wanaomtetea utaambiwa wewe ni ccm lakini ndiyo hali halisi ya DJ
nyie ndiy mliologwa kabisa ndiyo mnaompigia makofi akifanya mavi yake kwenye chama mbowe ni janga la chamaKufilisika kukianzia kichwani inabidi tuzidishe maombi.
Hata hujui unachoandika. Anayekutuma atume wenye akili kidogo basi!
Chama sio kabila, unaweza anzisha cha kwako. Fanya kama alivyofanya ZZK kwa kuanzisha ACTMkuu tumelalamika sana atuachie chama chetu, amegeuza mtaji.
sawa kabisa hizi ndiyo siasa za tanzania upinzani hamna kitu ni saccos za kina mbowe tu hizoHua nasema kila siku humu.
Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.
Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?
Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.
Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.
Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?
Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.
Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
CCM KUMEOZA LAKINI UPINZANI KUNATOA FUNZA.....Hua nasema kila siku humu.
Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.
Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?
Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.
Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.
Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?
Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.
Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
Wewe kamanda ubwabwa wa kijani tuachie chama chetu! "ford ranger" ndio gari ya kutishia royal family yenye mpunga kuliko ukoo wako wote!!!? Wewe ni wa jiwe na una frustrations huna pa kwenda! hillllllloooooooooooooo!!Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Acha tabia za kumchokonoa Mwenyekiti wetu wa kudumu wa chamaHuyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Dada usipokuwa makini hii issue ya Mbowe itakufanya ukose mtoto, tafuta mume wacha kuhangaika unapoteza muda.We mpuuzi mkubwa.
Mpeleke PolisiHuyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Fisadi ni yule aliye lisababishia taifa kupata hasara ya 150 billion tshs ktk kipindi cha miaka 5.Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Jiwe alipiga matrilion tukianza na 1.5 trillionNilisema, we mtetee huku yeye anapiga mabil ya pesa. We unaambulia jojo.
Kavurugwa baada ya babake jiwe kusepa zakeKufilisika kukianzia kichwani inabidi tuzidishe maombi.
Hata hujui unachoandika. Anayekutuma atume wenye akili kidogo basi!
Babako na mamako ndiyo wahusikaBavicha wamejaa vinyesi kichwani
We mtetee wakati mwenzako anapiga mabil ya shiling.Babako na mamako ndiyo wahusika
Kama jiwe alivyopiga 1.5 trillionWe mtetee wakati mwenzako anapiga mabil ya shiling.