issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
mnaoulizia ni nyie ambao hamkuchanga na mlikuwa mnatuzodoa kuwa hatutafanikiwa kukamilisha michangoWe jitoe akilitu.
Juzi hapa mmeonyeshwa jinsi mzee wa Miga anavyo tifua minyamachoma pembeni ya beberu, nyie mnakula marage 7dys kila wiki alafu utasikia mnaambiwa mumchangie nauli arudi nyumbani, mambo kamahayo ndio watu wanaulizia chenchi zao ilizitumike.