TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #13,161
Ndugu mtejaKwakweli mmetutesa sana TANESCO Kagera wiliya Muleba kata IKONDO leo siku ya pili tunalala gizani na shughuli za kiuchumi zinakwama kukaa gizani cijui ndo mmeona kunatufaa hata sikukuu hatjaifaidi yani Kama tupo kisiwani miaka 61 ya uhuru umeme Bado ni tatizo ni aibu kubwa sana tuhurumieni jamani TANESCO
Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, Shirika linaomba radhi kwa adha iliyojitokeza kutokana na kukosekana kwa umeme. Jitihada zinaendelea ili kuboresha huduma zetu.Tunaomba uvumilivu wako wakati unasubiri huduma tafadhali
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
^SK