f de solver
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,339
- 1,834
Hivi wakuu wengine mnapata hata nguvu za kununua lukuTANESCO je, kuna tatizo la kununua umeme kwa mtandao tena leo? Kila mtandao ninaojaribu kutumia kununua patupu
Mie nimekata tamaa nipo morogoro eneo dumila yaan umeme ni shida sana unakata mno yaani kwa siku unaweza waka lisaa limoja tu