Monseur
JF-Expert Member
- Dec 5, 2016
- 655
- 522
Ndugu mpendwa mteja wetu
Tunaomba utapatie swali ambalo halijajibiwa tulifanyie kazi.Tupo kukuhudumia wewe muda wote
Kuna eneo la Mtaa wa Kigogo Kati wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salam liliwekwa nguzo zenye taa miaka takriban mitano iliyopita! Jambo la kushangaza ni kwamba umeme uliwashwa siku moja tu kwa majaribio na tangu wakati huo haujawashwa tena, hadi baadhi ya nguzo zimeanza kuoza na zitaanguka wakati wowote!
Tatizo ni nini? Kwa nini umeme haujawahi kuwashwa kwa kipindi chote hicho? Ina maana hamna kitengo cha Survey kugundua dosari?