marigy
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 341
- 402
Aya kinundu [HASHTAG]#ndugu[/HASHTAG] yangu wa kyela....... Nipo dar.. Kunyrrez hamna umeme mda huu, hata juzi hapa mjin kulikuwa hamna umeme bila shaka huu umeme ni wamgaoKyela hamna kitu mkuuu
Aya kinundu [HASHTAG]#ndugu[/HASHTAG] yangu wa kyela....... Nipo dar.. Kunyrrez hamna umeme mda huu, hata juzi hapa mjin kulikuwa hamna umeme bila shaka huu umeme ni wamgaoKyela hamna kitu mkuuu
unazi utakuja kutuua,umeme bwerere Tanzania ipi?Old forest mbona umeme bwerere tu
Mkuu si nishasema hapo Old forest au?unazi utakuja kutuua,umeme bwerere Tanzania ipi?
Jamaa wameamua kumjibu!!! Unaboa ofisi wanayopatia Ridhiki !!!! Hawawezi kukuacha hivihivi!!!! Ila tunaoumia ni sisi wananchi!!! Magu hawezi kuwaomba msamaha Kwa kubomoa ofisi yao.
Wito: Magu waombe msamahama tanesco ili wapunguze makali ya mgao!!!
samahani mkuu,hiyo old forest sikuionaMkuu si nishasema hapo Old forest au?
Keki zilikuwa kwenye oven ndo hasara tayari hiyo.sasa najiuliza ni Tanzania gani ya viwanda tunayo ihubiri?toka juzi wanakata umeme tena masaa mengi....mhhh mm naona kama mambo sio mazuri huko.na hatujasikia taarifa yoyote toka Tanesco.yaan ndo tumejiajiri kwa hivi vitu vidogo vidogo but umeme sasa imekua issue
Huu si mgao bali kuna shida kwenye grid ya taifa,Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
Mkuu huwa ni Totoro sio Tororo.....
.....giza tororo Atown