chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 1,991
- 1,364
Naomba, msaada wa mawazo ni lipi nifanye;
Nililipia umeme new connection 2 poles, tangu tarehe 20/03/2022 hadi leo no connection.
Nikifuatilia naambiwa nisubiri, nipo jirani na office za TANESCO, (TANESCO kufika kwangu hakuna gharama za usafiri!
Niichukue hatua gani ukizingatia hii ni biashara, pesa yangu shirika linazarisha faida, mimi ninaingia gharama zingine za kununua mafuta ya taaa, kuchaji simu kwa jirani, kuangalia taarifa vyombo vya habari kwenye migahawa, inanikerela sana!
Nililipia umeme new connection 2 poles, tangu tarehe 20/03/2022 hadi leo no connection.
Nikifuatilia naambiwa nisubiri, nipo jirani na office za TANESCO, (TANESCO kufika kwangu hakuna gharama za usafiri!
Niichukue hatua gani ukizingatia hii ni biashara, pesa yangu shirika linazarisha faida, mimi ninaingia gharama zingine za kununua mafuta ya taaa, kuchaji simu kwa jirani, kuangalia taarifa vyombo vya habari kwenye migahawa, inanikerela sana!