Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,669
- 4,893
Hawa jamaa tangu wameweka yale Maharage kule uongozini maisha ya Wadanganyika yamekua mashakani sana, yani mtaani ni vilio vya kuunganishiwa umeme, hivi kuna shida gani? watu wanalipia umeme miezi hadi minne hawaunganishiwi, January anajitambua kweli?
Bora Kalemani alikua ana afadhali, wadanganyika poleni sana
Bora Kalemani alikua ana afadhali, wadanganyika poleni sana