TANESCO naomba ufafanuzi wa Gharama za LUKU per unit pamoja na mchanganuo wa Tariff nimejaribu kupitia previous text sijaona ule ufafanuzi wenu clearly.
 
Tanesco tunaomba mtuambie ni nini tumewakosea sisi wananchi ya Kata ya Mbingu kuhusu Umeme maana awamu ya pili ilikuwa ni kuunganisha kutoka Mngeta hadi Idete na mmekamilisha laini kubwa na zile za mitaani mmesha ziweka mbaka transfomer mmesha weka cha kushangaza mmewasha umeme baadhi ya kata lakini kata ya Mbingu amjawasha na mnakuja mnatuambia inabidi tuwape pesa ina mana mnataka rushwa??

Mheshimiwa Raisi na Tanesco mkoa, tunaomba tusaidie sisi wapiga kura wako huku tunanyanyasika sana na hawa Tanesco wilaya ya Kilombero.
 
Tanesco mkoa wa Lindi mna matatizo sana,umeme mda wote unakatika na kurudi ata mara 15 Kwa siku,tena wakati mwingine tunakaa ata nusu siku bila umeme,mwanzo mlisema kituo cha mahumbika kikamilike sasa hivi sijui mtasingizia nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlitoa matangazo ya kazi, mkafanya interview Na wahusika, natumain mshapata mliowahitaji Je kazin mtawaita lini, Asante
 
Tunaomba kufahamu umeme kata ya Mbingu, wilaya ya kilombero- Morogoro mbona umeme aujawashwa wakati kata zingine umewashwa na nguzo zipo na transfomer zipo pia ila cha kushangaza viongozi Tanesco wilaya wanataka rushwa.
 
Tanesco tunaomba mtuambie ni nini tumewakosea sisi wananchi ya Kata ya Mbingu kuhusu Umeme maana awamu ya pili ilikuwa ni kuunganisha kutoka Mngeta hadi Idete na mmekamilisha laini kubwa na zile za mitaani mmesha ziweka mbaka transfomer mmesha weka cha kushangaza mmewasha umeme baadhi ya kata lakini kata ya Mbingu amjawasha na mnakuja mnatuambia inabidi tuwape pesa ina mana mnataka rushwa?? Mheshimiwa Raisi na Tanesco mkoa, tunaomba tusaidie sisi wapiga kura wako huku tunanyanyasika sana na hawa Tanesco wilaya ya Kilombero.
Tunaweza kupata namba zako za mawasiliano mkuu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Tanesco mkoa wa Lindi mna matatizo sana,umeme mda wote unakatika na kurudi ata mara 15 Kwa siku,tena wakati mwingine tunakaa ata nusu siku bila umeme,mwanzo mlisema kituo cha mahumbika kikamilike sasa hivi sijui mtasingizia nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuu,

Tunalifuatilia na tutakupa mrejesho

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Tunaweza kupata namba zako za mawasiliano mkuu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Ya nini sasa? nyinyi njoeni eneo husika Kata ya Mbingu, wilaya ya Kilombero- mkoa Morogoro ili mtupe majibu ni lipi linalofanya umeme usiwashwe hiyo kata wakati sehemu zingine zote tayali.
 
Tanesco, kiukweli nimefadhaika sana baada ya kufata process zote za kufungiwa umeme na baadae kukamilisha malipo
Baada ya kutajiwa gharama na kukamilisha malipo ndani ya siku iyo iyo na kungojea kufunguwa umeme ndani ya siku 30 za kazi badala yake imegeuka kuwa kero tu,

badala ya kupewa huduma yangu stahiki naambiwa nisubiri mpaka pale vitu vitakapopatikana wakati siku 30 zimeshayoyoma mnanitumia sms za kukatisha tamaa kabisa

Mbona wakati mnachukua pesa yangu imeingia faster kwenye account yenu ila umeme kwangu ndo imekuwa kero kiasi ichi

Sent using Jamii Forums mobile app
Malalamiko yangu ayo hapo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio sms yenu mmenitumia kwenye simu yangu

HABARI NDUGU MTEJA TUNAOMBA RADHI KWA KUKUCHELEWESHEA KUPATA HUDUMA YA KUUNGANISHIWA UMEME, KUTOKANA NA UHABA WA VIFAA. TUNAFANYIA KAZI SUALA HILI PINDI TUTAKAPO PATA VIFAA TUTAKUPIGIA SIMU KWA AJILI YA KUKUJENGEA! ASANTE KWA KUWA MILIVU.. NI SHIRIKA LA UMEME TANESCO KINONDONI KUSINI [MBEZI].

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina miezi 6 tangu nihamie Temeke vertenary kwa mhindi, hakuna siku umeme haujakatika, kila ukiwapigia simu watu wa Emergency wanakuambia wanashughulikia, why kila siku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom