Eneo gani na namba yako ya simu mpendwa mteja,je huwa unapata taarifa zetu za kazi ya uboreshaji miundombinukwanza hakikisheni umeme haukati ovyo ovyo!
kwa wastani umeme hukatika mara 4 kwa wiki ni sawa na wastani wa masaa 16 kwa mwezi, unaweza kupata jawabu la hasara tunayopata haswa kwa wenye viwanda vidogo. tasco tanescoo!!!
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja,Kwanza niwashukuru kwa kujizatiti na kuamua kufungua akaunti ili kurahisisha zaidi huduma na kuwafikia watumiaji.
Mimi ni mkazi wa Temeke kata ya Buza mtaa wa kwa lulenge lakini hapa mtaani kwetu kuna shida kubwa sana ya kukatika umeme pasipo kua na sababu za msingi. Weekend tunakosa umeme siku nzima jumamosi na jumapili ukiuliza vipi kuna mgao? Majibu ni hakuna. Mpaka hivi sasa tupo njia panda. Kila siku ni lazima umeme ukatike lakini mbaya zaidi ni eneo la mitaa ya kwa lulenge tu lakini maeneo ya jirani huduma wanaendelea kupata kama kawaida. Hili tatizo ni la muda mrefu takribani miezi 4 sasa. Tunaomba ufafanuzi chanzo cha tatizo ni nn? Alafu pili marekebisho ya kulitatua hili tatizo yatafanyika lini? Na tutegemee yatachukua muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
You can visit our official website through www.tanesco.co.tzPersonally I dont trust government institution in social network.
Why dont you launch your own websites
Are'nt you a threat posed by gov to threaten users?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa tarif 4,Julai mwaka jana nikarudishwa tarif 1 kwa kuwa nilikuwa nanunua umeme wa sh.10,000 kwa mwezi. Nilienda ofisi za TANESCO mkoa,nikaambiwa nitarudishwa tarif 4 na system. Lakini ni zaidi ya mwaka sasa sijarudishwa tarif 4 japo matumizi yangu kwa mwezi ni chini ya unit 75. Je,nifanye nini kurudishwa tarif 4?Tarif 1 wanaotumia umeme chininya 75 unitd kwa mwezi na zaidinya hapo mpaka 7500 units ni tarif 1
Sheria inakutaka ununue umeme wa tsh 9150 ambao ninujit 75 kwa mwezi wewe ulikuwa unanunua unit 77 hivyo ulivuka takwa hilo na sasa upo tarif inayoendana na matumizi yakoNilikuwa tarif 4,Julai mwaka jana nikarudishwa tarif 1 kwa kuwa nilikuwa nanunua umeme wa sh.10,000 kwa mwezi. Nilienda ofisi za TANESCO mkoa,nikaambiwa nitarudishwa tarif 4 na system. Lakini ni zaidi ya mwaka sasa sijarudishwa tarif 4 japo matumizi yangu kwa mwezi ni chini ya unit 75. Je,nifanye nini kurudishwa tarif 4?
habari za kaziShirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu
HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA
Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219
Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098
Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361
Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386
Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110
Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779
Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8
Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590
Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330
Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061
Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672
Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180
Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728
Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133
Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868
Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120
Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668
Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200
IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makauu.
Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;
LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO
Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani
Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Ukitaka umeme kwanza hakikisha nguzo za kusambaza umeme zimefika eneo lako kisha mtafute mkandarasi aliyesajiliwa akufanyia kazi ya kutandaza nyaya ndani ya nyumba yako (wiring) kisha uje na kitambulisho utapewa fomu bure ofisi yeyote ile hapa nchini kisha tutakufanyia vipomo ( survey) na kukuambia kwa barua ulipe kiasi gani, ukilipa unafungiwahabari za kazi
nina swali moja kidogo hivi nikitaka kuvuta umeme kwenye nyumba yangu nini haswa mnahitaji kutoka kwangu kama mteja mtarajiwa? mnafanya vipi na watu wa ardhi kuhusu kupeleka umeme sehemu zilizopimwa na ambazo hazijapimwa? vipi kuhusu maeneo ambayo hayatakiwi kujengwa au yaliyojengwa kwenye hifadhi ya barabara,mito nakadhalika kwani ni mnapeleka umeme?
Kwahiyo natakiwa kufanya nini ili nirudi tarif 4? Maana matumizi yangu ni chini ya unit 75. Au ndo siwezi kurudishwa tena tarif 4?Sheria inakutaka ununue umeme wa tsh 9150 ambao ninujit 75 kwa mwezi wewe ulikuwa unanunua unit 77 hivyo ulivuka takwa hilo na sasa upo tarif inayoendana na matumizi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ushukuru hata umepewa taarifa mkuu? Wangekaa kimya jeHii ndio sms yenu mmenitumia kwenye simu yangu
HABARI NDUGU MTEJA TUNAOMBA RADHI KWA KUKUCHELEWESHEA KUPATA HUDUMA YA KUUNGANISHIWA UMEME, KUTOKANA NA UHABA WA VIFAA. TUNAFANYIA KAZI SUALA HILI PINDI TUTAKAPO PATA VIFAA TUTAKUPIGIA SIMU KWA AJILI YA KUKUJENGEA! ASANTE KWA KUWA MILIVU.. NI SHIRIKA LA UMEME TANESCO KINONDONI KUSINI [MBEZI].
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji nipate sms za kunifariji au nipate huduma yangu stahikiSi ushukuru hata umepewa taarifa mkuu? Wangekaa kimya je