TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Kamati ya Bunge ya Bujeti watembelea mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi Kinyerezi I na II
12677524f469ad27aa22ac4b395a5995.jpg
d861faa38a99e3ad98f79f04ef6bb50b.jpg
5e8803ea39c9d0ea8ba7326ac09a8e08.jpg
6d9ec659d1b6a1fd17136d801f6eee60.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Tanesco kwakweli mnakera sana kuanzia humu mpaka kwenye uhalisia....nimewapa malalamiko yangu hapo juu ila mnayapotezea...mnajibu ya watu wengine ambayo ni mepesi mepesi..kuweni na uungwana basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco mnenipitishia waya za HT kwenye nyumba yangu nimekwenda mkuranga kulipot baada ya muda wakaleta nguzo ili waamishe wakaoneshwa pa kuhamishia lakini hao wakalazomish wapitishe sehemu ya mtu mwingine wanayotaka wao sasa mwenyewe kagoma cha kushangaza wanalazimisha waya zibaki hapo hapo kwangu ishafika mahali siwaelewi sasa kilichobaki najiandaa kwenda mahakani nikaone sheria ya kulazimisha kupitisha HT nyumban kwa mtu mumetoa wapi tena waya ziko chini chini si mnataka kuniuwa na familia yangu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco mnenipitishia waya za HT kwenye nyumba yangu nimekwenda mkuranga kulipot baada ya muda wakaleta nguzo ili waamishe wakaoneshwa pa kuhamishia lakini hao wakalazomish wapitishe sehemu ya mtu mwingine wanayotaka wao sasa mwenyewe kagoma cha kushangaza wanalazimisha waya zibaki hapo hapo kwangu ishafika mahali siwaelewi sasa kilichobaki najiandaa kwenda mahakani nikaone sheria ya kulazimisha kupitisha HT nyumban kwa mtu mumetoa wapi tena waya ziko chini chini si mnataka kuniuwa na familia yangu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba namba yako ya simu ili tuliwasilishe kwenye ngazi ya ufatiliaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco, kiukweli nimefadhaika sana baada ya kufata process zote za kufungiwa umeme na baadae kukamilisha malipo
Baada ya kutajiwa gharama na kukamilisha malipo ndani ya siku iyo iyo na kungojea kufunguwa umeme ndani ya siku 30 za kazi badala yake imegeuka kuwa kero tu,

badala ya kupewa huduma yangu stahiki naambiwa nisubiri mpaka pale vitu vitakapopatikana wakati siku 30 zimeshayoyoma mnanitumia sms za kukatisha tamaa kabisa

Mbona wakati mnachukua pesa yangu imeingia faster kwenye account yenu ila umeme kwangu ndo imekuwa kero kiasi ichi

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio sms yenu mmenitumia kwenye simu yangu

HABARI NDUGU MTEJA TUNAOMBA RADHI KWA KUKUCHELEWESHEA KUPATA HUDUMA YA KUUNGANISHIWA UMEME, KUTOKANA NA UHABA WA VIFAA. TUNAFANYIA KAZI SUALA HILI PINDI TUTAKAPO PATA VIFAA TUTAKUPIGIA SIMU KWA AJILI YA KUKUJENGEA! ASANTE KWA KUWA MILIVU.. NI SHIRIKA LA UMEME TANESCO KINONDONI KUSINI [MBEZI].

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba kujua garama zote za kuunganishiwa umeme nyumba iko karibia na nguzo means nguzo haitaitajika total cost za tanesco
 
Uzinduzi wa miradi ya Rea awamu ya III mkoa wa Lindi

b5624bbf9a6e8e6849cd4fbd40d110eb.jpg
1c94d417ca829bff20fdd53986692599.jpg
4634e61b2436c7b64b2d36837b6719e7.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Uzinduzi wa miradi ya Rea awamu ya III mkoa wa Lindi

b5624bbf9a6e8e6849cd4fbd40d110eb.jpg
1c94d417ca829bff20fdd53986692599.jpg
4634e61b2436c7b64b2d36837b6719e7.jpg


TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Kampeni ya niulize nikujuze inatarajiwa kuanza rasmi mkoa wa Mwanza

Taarifa zaid kuhusu lini na wapi bila kusaau huduma zinazotelewa itapatikana hapa kwenye kurasa huu
79742b0570475b3e1d6c1e51e22c283f.jpg


Kwenye picha upande wa kushoto ni ndugu Flaviana Moshi Afisa Uhusiano na wateja mkoa wa Mwanza na upande wa kulia ni Msaidizi Afisa Uhusiano na wateja mkoa wa Mwanza

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Asante, kama kazibyako haina nguzo TANESCO tutakujengea umeme ndani ya siku 30 za kazi.


Ndugu mteja kama umelipia mwezi wa saba bado siku 30 za kazi hazijaisha, tutaifuatilia kazi yako

Asante

TANESCO "Tunayaangaza maisha"

Mna maana gani mnaposema siku 30 hazijaisha toka tarehe 10/7/2017 mpaka Leo tarehe 22/8/2017? au nyie mnahesabu tofauti?
 
86 Reactions
Reply
Back
Top Bottom