Tanesco nimelipia umeme mkoa wa Dsm, wilaya Ilala toka tarehe 10/7/2017 mpaka Leo sijafungiwa umeme tatizo nini
Tunahitaji kujua kiasi alicholipia pamoja na kujua kama kuna nguzo inahitajika au laaa ili kutoa majibu stahiki
TANESCO "Tunayaangaza maisha"
Asante, kama kazibyako haina nguzo TANESCO tutakujengea umeme ndani ya siku 30 za kazi.Nimelipia 1,284000/= ambazo Ni Mita 4,sihitaji nguzo maana nguzo zipo tiari
Tunaomba namba yakonya simu tufike mara moja mpendwa mtejaTumewapigia simu mnasema mnakuja ila Hadi sasa hamjatokea tunaomba muje muirekrbishe maana mvua ikinyesha madhara yanaweza kutokea
This is an EmergencyTumewapigia simu mnasema mnakuja ila Hadi sasa hamjatokea tunaomba muje muirekrbishe maana mvua ikinyesha madhara yanaweza kutokea
Tunaomba namba yako ya mita mkuuNyumba ninayoishi tuna kawaida ya kununua umeme wa elfu kumi tunapata 26 ambazo ndani ya wiki nne au chini ya hapo zinaisha na matumizi yetu ni tv pamoja na kuwasha na kuzima (taa) usiku lakini kuna wengine ambao wao hununua umeme wa bei hiyo hiyo (elfu kumi) na wanapata units nyingi zaidi
Naomba ufafanuzi juu ya tofauti hizo
24210200614
Tafadhali fika ofisi ya eneo lako utapewa fomu ujaze kisha ukaguzi utafanyika kama utakidhi vigezo ndio ytahamishiwa tarif utakayoomba24210200614
SawaTafadhali fika ofisi ya eneo lako utapewa fomu ujaze kisha ukaguzi utafanyika kama utakidhi vigezo ndio ytahamishiwa tarif utakayoomba
Sent using Jamii Forums mobile app