STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

Mamndenyi namuonea huruma sana kaka yangu Vin Diesel maana huku kuruka ruka kwake ataishia kwenye mikono mibaya sana
Msalimie sana katibu kata wa kata ya mkata
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky kaka yako bado ni kijana sana mwache apime vina vya mashimo kwanza,
salamu zimefika kwa katibu kata,
hapa ni mahali pazuri kama nini uwepo wangu siujutii kabisa.

Mamndenyi namuonea huruma sana kaka yangu Vin Diesel maana huku kuruka ruka kwake ataishia kwenye mikono mibaya sana
Msalimie sana katibu kata wa kata ya mkata
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky kaka yako bado ni kijana sana mwache apime vina vya mashimo kwanza,
salamu zimefika kwa katibu kata,
hapa ni mahali pazuri kama nini uwepo wangu siujutii kabisa.

Mamndenyi ngoja tutampa mafundisho atulie kwenye ndoa yake maana atatanga mwisho atavipata vile vijidudu vibaya
 
Last edited by a moderator:
Sasa ivi nipo ofisini nasajili C.C.B members :coffee:
 
Mamndenyi hiyo ilikuwa ya yule jamaa wa kule kusini ila sijui kama inafanya kazi bana
Hahahaha kweli kuna siku Vin Diesel atarudi tuu
stevoh hicho chama chenu nina wasi wasi nacho kinaweza kosa wahusika
 
Last edited by a moderator:
snowhite ukiona shemejio Nicas Mtei anacheka cheka ujue ndo hivyo tena hana jibu
Makazi yake ya mwanza na safari yake ya kuja white party nililipia mimi na mjini anakaa kwa posho zangu
Blaki Womani mhhh Mama tuli sijui hata kaishia wapi maana alishindwa kuhimili haya mambo
snowhite mi sijasema ukicheka ndo umekubali ila ni dalili njema sana
We kubali tu proposal na utaona mambo yake.
Vin Diesel tabia zake ni za kipekee haziigiki zile aise

teh teh teh teh. Watoto hawajambo huko Kasulu?
 
Last edited by a moderator:
hii makitu ilinipita wapi! Kaizer i miss u soooooo much, mzima wewe?? sikusomi mtaa wa pili ujue! usifanye hivyo bana!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom