Mamndenyi namuonea huruma sana kaka yangu Vin Diesel maana huku kuruka ruka kwake ataishia kwenye mikono mibaya sana
Msalimie sana katibu kata wa kata ya mkata
Msalimie sana katibu kata wa kata ya mkata
Last edited by a moderator:
Mamndenyi namuonea huruma sana kaka yangu Vin Diesel maana huku kuruka ruka kwake ataishia kwenye mikono mibaya sana
Msalimie sana katibu kata wa kata ya mkata
Mamndenyi ngoja tutampa mafundisho atulie kwenye ndoa yake maana atatanga mwisho atavipata vile vijidudu vibaya
snowhite ukiona shemejio Nicas Mtei anacheka cheka ujue ndo hivyo tena hana jibu
Makazi yake ya mwanza na safari yake ya kuja white party nililipia mimi na mjini anakaa kwa posho zangu
Blaki Womani mhhh Mama tuli sijui hata kaishia wapi maana alishindwa kuhimili haya mambo
snowhite mi sijasema ukicheka ndo umekubali ila ni dalili njema sana
We kubali tu proposal na utaona mambo yake.
Vin Diesel tabia zake ni za kipekee haziigiki zile aise
Mamndenyi hiyo ilikuwa ya yule jamaa wa kule kusini ila sijui kama inafanya kazi bana
Hahahaha kweli kuna siku Vin Diesel atarudi tuu
stevoh hicho chama chenu nina wasi wasi nacho kinaweza kosa wahusika
na wewe pia, hivi mpo?? nimewamissini mjue!Nicas Mtei huku wazima aise hakuna mbaya vumbi tuu linatupiga mpaka mwisho
Kaka shemeji, mie najua nikisema suuuuu, hali ya bahari inapata tsunami.
Nakusalimia lakini tu.
cacico ni best tumekutana juzi kwenye function....tatizo wewe ya dar huyajui....... Madame B ni patner kwenye kuandaa party....angekuwa wangu asingeenda love connect... Kipipi aka peremende hujui ni mtu wangu wa nguvubsana.... lara 1 ni ........ King'asti huyo hapo muulize yeye nani yangu......
Jamani Baba V, picha si hiyo kwenye Avatar, nyingine ipi?
Sasa ivi nipo ofisini nasajili C.C.B members :coffee: