STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

Vin Diesel shamba kuna mafuriko nimebana kwa katibu kata ndo kanipa kasimu katochi ili nipitie jf.
Talaka nimeipata lakini simu imeisha chaji, nitaisoma vizuri baadae umeme ukirudi na ikibidi nitatafuta hifadhi hapa hapa kijijini.

Mamndenyi nimemtuma shamba...hatakuja jukwaani mpaka baada ya mavuno june...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
nilishaanza kuona dalili za ile chemba ya uvumilivu kufuli zishakatwa....

HA ha ha ha, umeona eeh
Ana kifua cha senene, hakibebi kisadolini

Wa hivi kuwasongesha kibra laini
 
Ha ha ha, dah sijui kalog off

Afu na kompyuta kaiweka kwenye friza?

mtu mzima akikubali huwa hasemi NDIO....we hapo komaa tu na hiyo namba ya simu, halaf usisahau kupeleka na maua....
 
Baba V mwambie Vin Diesel atume tu hiyo talaka nami niwe huru
huku shamba.

Umem deport kwenye mashamba ya miti ili ujirushe vizuri na vimwana eeh!, afu kwenye ripoti ya kuvunjika kwa ndoa ya C6 na charminglady jina lako limeonekana mara nyingi sana, nasubiri Nicas Mtei aniletee ripoti ya Mwanza alikoenda kufuatilia suala hili. I will come back to you
 
Last edited by a moderator:
yupo sana binti wa watu hajiwezi, jicho nusu duara anakusubiri huruma zako weye uende kulifumbua....hiyo steji aliyofikia mbona kompyuta ni nzito sana!!!

Ha ha ha, dah sijui kalog off

Afu na kompyuta kaiweka kwenye friza?
 
Mamndenyi subiri basi la kijiji likija anasema ameituma kwa usafiri huo maana kwenu eti hata po box huna kabisa
 
Last edited by a moderator:
nakupendaje mpenzi wa mimi...najiona mwenye bahati kuwa wako mwandani!!!

mungu ni mwema sana darling watu8, hakika alichounganisha mungu mwanadamu asitenganishe, najiona mwenye bahati kuwa mke wako.
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky usijali huku niko mikono mizuri tu ya katibu kata
ni kama rais hapa kijijini,
talaka itafika bila shaka,
hata hivyo siijutii.

Mamndenyi subiri basi la kijiji likija anasema ameituma kwa usafiri huo maana kwenu eti hata po box huna kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom