stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,106
Umeamua kujisajili huko kwa kasi eeh!!, naskga na Marry Hunbig nae kajisajili, ni kweli!?'
we naona unanchokonoa chokonoa ee!
Last edited by a moderator:
Umeamua kujisajili huko kwa kasi eeh!!, naskga na Marry Hunbig nae kajisajili, ni kweli!?'
Mamndenyi hiyo ilikuwa ya yule jamaa wa kule kusini ila sijui kama inafanya kazi bana
Hahahaha kweli kuna siku Vin Diesel atarudi tuu
stevoh hicho chama chenu nina wasi wasi nacho kinaweza kosa wahusika
Mhhh kweli Vin Diesel wote hao hamkukutana barabarani ila umejitafutia na kujisevia
Mi hapo siongezi neno aise
Nimekumiss sana kyanaKyoMuhaya, kuna kaka anaitwa Marry Hunbig anakusalimia
hahaha hamna mpendwa. Hujambo dia
yaani nilikuwa nakuwaza muda si mrefu na nikakuona kule kwenye uzi wa wema....u hali gani King'asti
Sijambo shosti mzima wewe? Habari ya Tanga? Hivi bado ukikanyaga kifuu cha nazi kinakuuliza.....wanikayagia nini??..lol
Mkuu Baba V ndoa yangu ndo basi tena,nimeamua naoa kakifaranga under twenty this time kawe kananipasha msuri,narudia kusema 'gari bovu huvutwa na gari zima',sitaki wanawake nzee mimi.
Copy: The secretary kwa ajili ya kuja kutoa msimamo wako
Hehehe, usije ukanilipisha rent kwa kuishi mawazoni mwako kaka-shemeji. Mie bukheri, najenga taifa langu changa lililodumazwa na mafisadi.
heee, :confused2:rafiki naomba usiniweke kwenye list ya huyu fataki. Mie kwenye malovey sinaga kubip. Nikimkamata huyu atamsahau hadi mamake mzazi:shut-mouth:. Huyu ni kaka-shemeji yangu. Na :mwaaah: Sana, kiundugu zaidi. Tatizo lake tu :majani7:
Copy: The secretary kwa ajili ya kuja kutoa msimamo wako
na wewe wakaa yaeda chini?....