Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Ni mkeo mdogo, kwani AshaDii alikumimina?
Unfit? Una hakika? Utasemaje huwa huli kitu fulani kabla hujaonja?
Afu usiseme naongea, sema tunaongea maana na ww unajibu
Kongosho,
Dont show so much of care & love to anyone
Bcoz it creates a non curable pain when they start avoiding u.
Copy:Baba V
Just
He he he he, he he he he he he, hehehehehehehehe
Dont take jf too seriously
dah! Haya bana, hadi kuhangaika kufukua "Bi ya self'?
Kweli wanawake mna kazi
Wee, utanipeperushia ndege wangu ujue?
Nshamwaga mtama wangu wote hapa
Eti ehh, hayo ni ya kawaida tu.
Endelea tu kutiririka mpaka kieleweke...nishaanza kuona dalili njema, mtoto kashang'ata kucha zote za mkono wa kushoto!
Endelea tu kutiririka mpaka kieleweke...nishaanza kuona dalili njema, mtoto kashang'ata kucha zote za mkono wa kushoto!
He he he he, nahamia PM
Maana hukawii kunisanulia 'Shemale'
He he he he, nahamia PM
Maana hukawii kunisanulia 'Shemale'
Yamekuwa hayo? Hivi siku hizi ndivyo utongozaji ulivyo? It is just a talk down.
ndio ushaelekea kibra hivyo teh teh teh!!!
btw: watu8 anachit na kuchat nothing serious
ndio ushaelekea kibra hivyo teh teh teh!!!
btw: watu8 anachit na kuchat nothing serious
Vin Diesel unasemaje?????????
"Kweli hii ni Chit Chat, Baba V nimeomba kutajwa yamenikuta"
Have a good day, guys.