saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,173
- 6,157
hizo ndio akili za wapinzani wa Serikali. Ila wako wachache sana hawana madhara. Ndugai mi nimempenda sana anautendea haki mhimili wa bunge, angefaa hata kuwa Rais wa nchi hii awashughulikie vizuri wapuuzi km kina Gwajima. Gwajima ni hatari kwa usalama wa nchi hii kwa sasa. NNa wasiwasi hata na uraia wake. Mtu anamdharau Rais wa nchi, anasema uwongo wa wazi, anamfitini Rais na watu wake, anawachonganisha wananchi na Serikali yao. Jambo la wazi ni kwamba Gwajima ni mbaguzi, ni mkabila hakumpenda Mh. Samia awe Rais. Swali kwanini vyombo vya ulinzi na usalama vinamchekea? na Chama je? Au ni kwasababu wakuu wengi wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa?Matusi yote hayo ni kwa Ndugai?