Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Hehehehe! Jamani mbavu zangu! Kumbe nchi hii tunaongozwa na walevi!
 
1630489846245.png
 
Hii siyo bure, ubongo wa Ndugai umeoza. Ni hatari kwa taifa kuendelea kuwa na spika kama huyu. Ataleta laana kwa taifa. cc Mshana. Kilangila.
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo

Mgogo wa Kongwa, Mihanyenye? Hii story mbona ni wewe tu ndio unaijua. Unatumia biblia yako peke yako? Au wale tour guides wa kiyahudi walikuuzia habari za kufikirika?
They never accepted Chris..pengine mpaka kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom