minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 475
- 847
Naam
"jino kwa jino"Tunajifuza nini kutoka hapa
Ni sawa lakini kuna uongo umeongea hapa ndugu. Yaani nikiona naendelea kuishi nijue kuna watu wamepoteza uhai wao ili mimi niishi? Hapa umepoyonga mzeeAngalia na tafsiri hii hapa
" Ukiona unaendelea kuishi ujue kuna watu wamepoteza uhai kwaajili ya maisha yako. Mfano halisi Kunawazee wetu wamepoteza maisha kwaajili ya kulifanya Taifa hili liwe huru. Mfano halisi wa pili, leo hii kuna manesi na madaktari wanakufa kwaajili ya kupambania maisha yetu.
sas hiv ni kufunik yale yot yalitokea kipnd Cha nyuma kufng na kukaza kamb kujiandaaa ten na mwak unaokujKweli kabisa mkuu
Ngoja niseme AMEN.Unaweza ukawa mtu yoyote wakati wowote
" There's no patch for human stupidity" ~Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official languages, Swahili or English.
Karibu
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
If we don't change, we don't grow
If we don't grow, we aren't really living
The only human institution which rejects progress is the cemetery
The world hates change, yet it is the only thing that has brought progress
Change is inevitable - except from a vending machine
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
PIA SOMA:
-------------