William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Kama mzazi wako ni changudoa ...unafikiri ninatishika na huo usilamu wako hapa...
- Sophia simba ni mpumbavu...ninasema hivi Sophia ni changudoa! tabia za kwenda kuzaa na waume wa marafiki zako kwa siri ni nini maana yake?
-- I understand kwamba na hivi vitisho vyako unaujua uchafu wa binafsi wa Mama Kilango, sasa uweke hapa unajua watuwazima hatutishiani nyau na mimi ninaendelea na wa Sophia, pole pole kwa nafasi yangu!
Respect.
FMEs!
Mkuu nashukuru kwa kunionyesha na kuionyesha JF jinsi ulivyolelewa na kukuzwa...hayo yote uliyoandika juu hapo,yanaonyesha aina ya MALEZI ULIYOPATA NA WALIYOPATA WAZEE WAKO, si tu,umejiaibisha na kupoteza heshima yako kwa waliokuwa wakikuheshimu,bali pia umewatia aibu na kuwavua nguo wazee wako ndani ya JF kwa kuufunua utovu wao wa malezi kwako, mtoto aliyelelewa kiungwana,nikiamni kuwa watanzania ndivyo wanavyowalewa watoto wao,hawezi kumtukana mzazi wa mwenzie matusi ya nguoni...kwani utupu wa mzee wa mwenzako ni kama wa mzee wako...na wazee wanapogombana na kukashifiana mtoto hawezi kuingilia ugomvi huo unless nayeye awe amekuzwa kiutovu wa adabu.
- Nothing but nonsense, ulifikiri unaweza kutukana watu hapa ukaachiwa? Malezi yangu na yako have nothing to do na JF, hizi lectures labda upeleke huko kwenu na familia yako, ya kujiabisha unayajua sana kama siku ile Kikwete alivyokuchafua vipi yale yalikuwa malezi bora on your part mbona Rais wa nchi alikuabisha mbele ya wananchi wewe mtu uliyelelewa na malezi bora? Bwa! ha! ha!
- Acha hizi mkuu unasema wewe umelelewa na malezi bora kwa sababu unalilia kumtetea waziri asiye na heshima na waume wa marafiki zake? Bwa! ha! Sophia alikudanganya ndugu yangu yule ni mkatoliki sio Muisilamu kama unavyoamini.
Mkuu, nakuhakikishia kuwa,tena wala sina wasiwasi...nayajuwa machafu ya Kilango,na sitakosa kitu kuyasema hapa...ila kwa kuwa sikupata malezi ya kiutovu wa adabu kama yako..nitanyamaza na kuwa mjinga...nitunze na kuheshimu uungwana wangu na waungwana wenzangu. Namheshimu Kilango kama ninavyomheshimu mama yangu mzazi,hata kama nayajuwa machafu yake sitamsuta kidole,whatsover...kwa kuwa najuwa hata mimi si mkamilifu, namheshimu Mzee Malecela....hata kama sasa tunatofautina kiitikadi bado namheshimu,na nauzuwia mdomo wangu kumtusi yy na mkewe ili nilinde heshima yangu na wazee wangu, kumtusi yy ni kama kuwatusi wazee wangu.MKUU MM SIKULELEWA HIVYO...I want my parents to be proud the way they brought me up,
I do not comment on religious matters...
Haya ww endelea kunitukana...mimi mbuzi, mzazi wangu changudoa...jengine?
- Matusi umeanza mwenyewe, sasa umegeuka kuwa na malezi bora Bwa! ha! ha! acha wewe hizi, waziri wa Takukuru anatakiwa kuwa mfano bora kwa taifa na wananchi, sasa kama yeye mwenyewe hana maadili binafsi anaweza hata kuiba waume wa wenziwe na hata kuzaa nao, unasema huyu anaweza kutufaa kuwa kiongozi wa taifa tena wa Takukuru?
- Lets cut the chase, kama kwa kuwa na haya mawazo ninakuwa sina malezi bora so be it and I love it, JF ninasimamia masilahi ya taifa na wananchi tena ni kazi ninayojitolea silipwi na mtu, ishu yoyote hapa nina-approach kwa kutafuta what is in it of masilahi ya taifa na wananchi wake, sina tabia za chuki na wivu wa kijinga na viongozi wala members humu ndani, ninasimamia ukweli sijawahi kukwepesha ukweli kumtetea anybody, kama kuna ushahidi kuwa wapiganaji ni mafisadi sina tatizo kukubali, lakini sio maneno ya mtaani kuyageuza ishus za taifa kwenye hilo utanisamehe!
- Again Sophia amesema mengi sana, sasa what is in it kwa taifa ndio muhimu kwangu, kwanza Sohpia anatakiwa ku-establish kwamba Jeetu ni legally proven fisadi, ambapo Sophia anatakiwa kueleza kwa nini hajamfikisha kwenye sheria, pili Sophia anatakiwa kutuelimisha wananchi sheria inasema nini kuhusu miachango ya harusi kwa viongozi, na pia sheria inasema nini kuhusu michango ya kampeni za urais, ndio ninaweza kuwahukumu Malecela na Mkewe na Jeeetu pia, otherwise Sophia anakuwa kichaaa kama alivyoelezwa na Malecela, na hii sasa inakuwa mbaya by the fact kwamba Sophia ni waziri wa ofisi ya rais, hii ya ukichaa inamuweka wapi Rais ambaye ni bosi wa kichaa Sophia?
Respect.
Field Marshall Es!