Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

[Hamna kitu cha kufanya tuanze upyaa kabisa..tuwe tuna concentrate na service delievry na kuleta maendeleo nchini?

Nashindwa hata kuelewa tuanze wapi, inakatisha tamaa.[/QUOTE]

Pa kuanzia ni kila mmoja wetu kuweka dhamira ya dhati ya kubadilika, kuanzia jinsi tunavyofikiri mpaka tunavyoenenda. Taifa limepoteza mwelekeo, na mamilioni ya watanzania bado wanaimani kuwa mtu mmoja anayelala pale magogoni na kipenzi chake, wanatosha kushughulikia mambo yote ya msing ktk taifa hili.Haiwezekani na hata tukiamua kulazimisha iwezekani; hakika haitakuwa. Lakini kama tutasimama kila mmoja kwa nafasi yake, kuanzia wauza vitumbua kando ya barabara mpaka wanaoshindia kwenye viyoyozi (kwenye magari yao mpaka maofisini); na kila mmoja wetu akawa na dhamira iliyonyeupe ndani yake. Hakika tutarekebisha ubabaishaji unaozidi kujikita ktk taifa hili.

Mambo yanayofanyika ndani ya nchi hii kwa nyakati hizi, ninahisi hata shetani anashangaa wapi umetoka ujasili wa namna hii. Tuanza kujihoji kila mtu kwa nafasi yake, ni kwa jinsi gani tumechangia hali ilivyo leo -wengine tumeshiriki kuwasifa wanaoiba mali ya umma kuwa ni wajanja; na wale wanaofuata utaratibu kuwa ni wajinga, wamepewa nafasi wameshindwa kuitumia. Wengine kwa maamuzi mabaya au takrima ya Shs 3,000 (ambayo ni sawa na wastani wa Shs 1.65 kwa siku kwa muda wa miaka mitano) tumeshiriki kuwaweka viongozi madarakani; orodha hakika ni ndefu. Lakini wakati na majira ni sasa ya kutafuta mabadiliko ndani ya nafsi zetu kisha nje yetu. Hapo tutakuwa tumeinza safari salama.
 
Binafsi nilianza kumpuuza Mengi yapata miaka 10 sasa. Na tokea wakati huo niliachana na vyombo vyake vya habari nikabakiza gazeti la the Gurdian tu maana huko kusutana hakukuwa vile. Mengi huyu amewahi kuwa chanzo cha migogoro si tu kati yake na baadhi ya watu mmoja mmoja bali pia hata makundi. Na hii ndio huonyesha yeye ni mtu wa aina gani. Ajabu ni kwamba wengi ndio wanagundua uwezo wa huyu mtu. Mengi amefanya vibaya kupupia siasa kwa kuvizia. Huyu bwana ni undercover kwenye politics. Ni mtu ambaye anauma na kupulizia. Anaelezea uanachama wake CCM lakini upo uwezekano pia ni mfadhili wa vyama vingine vya siasa. Hoja ya kutamka yeye ni CCM wkt huu ilikuwa haina mantiki. Kwa kujitangaza yeye ni CCM anateka kutueleza amechemsha kwenye vita vya ufisadi na amejinasua rasmi kwenye ngozi ya kondoo ya upinzani. Namtazama Mengi kama mtu mnafiki asiye mkweli na anayependa popularity na finally aonewe huruma. Anataka watu waanze maskini Mengi kaonewa!!! Mengi anafahamika vyema na yeye km mwanachama wa ufisadi, na kutoaminika kwake. Ni mjanja wa kuongea na kuonyesha sympathy ya kinafiki.
Lakini pia ni vyema kuitazama CCM kwa macho yoote. CCM sasa ingekuwa ni nguo basi ingekuwa ni nguo kuukuu au iliyojaa viraka. Maana ni chama chenye watu wa kila aina. Wao pia wanatakiwa wajipambanue hasa wanamalengo gani na wananchi wa Tanzania ingawa sasa hivi imeshakuwa ni late kwao.
Kwa mtazamo wangu, muda si mrefu kuna watu watafukuzwa chamani na wakinusurika basi hawatarudi tena bungeni.
Kwa ujumla mzunguko wa yoote haya ni;
Siasa kuchanganywa na biashara (Mengi, Rostam et al.)
Siasa+Biashara+ Umiliki wa vyombo vya habari( na hili ndio tatizo maana !!!!
 
Minyukano ya mafisadi inawaamsha wenye mali- Under free and fair election 2010 CCm will get less tha 40% of Votes and MPs:- But because they are "referee-players" The won't lose a match
 
Ninaamini yale tunayoyafanya huwa yanaonyesha sisi ni kina nani.Huyu mama sidhani kama ni kiongozi.Anaaibisha waliompa huo wadhifa maana ni mropokaji, mgomvi, mtukanaji etc. Kitu kibaya anabehave as if she is Invisible kama alivyo Robot wa JF!!!

Hii wizara anayoiongoza ni wizara nyeti mno na tupende tusipende inabeba mzigo mzito wa direction ya Taifa letu.Sasa kama amekaa mtu ambaye anafikiria kutafuta umbeya tu tutarajie nini?

Hatuko hapa tulipo kwa bahati mbaya.Tumejifikisha na kwa bahati mbaya badala ya kutumia nguvu zetu kusonga mbele tunapigana vikumbo wenyewe kwa wenyewe!Tunayo nafasi ya kujirekebisha na kusonga mbele kwa kuachana na watu wasio na sifa za kuwa viongozi!!

Tusubiriye mkuu wa kaya atafanya nini na huyu mama.
 
Lazima Mzee Mengi amechanganyikiwa. Hii taarifa haina maana yeyote kwani Watanzania wanajua kuwa yeye ni CCM na hata mwaka 1995 TV yake iliweka mikanda ya mauaji ya Rwanda na kuwaambia watanzania kuwa wapinzani wataleta vita.

Amefanya kosa kubwa sana kujitetea kwa habari za magazeti wakati yaliyozungumzwa ndani ya kikao cha wabunge ni ya ndani na hata hayo magazeti hayatoi sources na kuandika kwa mujibu 'mtoa habari wetu'. Anawachingea wabunge wake ndani ya bunge.

Kama hakuna anachotaka kisiasa, basi hii ni press conference mbovu kuliko zote ambazo Mengi amefanya maana haina maana yeyote kwake na hata kwa chama chake cha CCM.

Mwisho, ana mamlaka gani ya kusema Waziri Simba kabla ya kuongea kwenye vikao vya CCM awasiliane kwanza na Idara ya Usalama?

Too low and ridiculous. Iacheni CCM ivunjike! Why holding it? Mengi acha siasa kwa wanasiasa. Fanya biashara na tumia fedha zako kusaidia mabadiliko ya nchi na sio kurutubisha mizizi ya CCM.

Na wewe Zitto usiwe unakurupuka , amempa ushauri kuwa awe anawasiliana na idara .. labda kwa ajili ya kupata taarifa sahihi.. mf asingeweza kusema mengi sio mwanachama wa CCm kamam angekuwa na taarifa sahihi. Pia kwa kiongozi kama wewe uwe unachagua maneno...... unapenda sana sanan kuwaita watu wajinga........
 
When and how? Did i miss the memo? when did that happen?
You have to start reading all the JF topics kuhusu mengi + IPP media.. Now that is your job, isnt mine...By the way, what is wrong with that? what is wrong with wanting to make changes?
I never said there is something wrong with wanting changes, ila you can not pretending doing something for community wakati unajinufaisa mwenyewe


There only shame i see here is your language skills. It would have been easier for you to use the language you know best - swahili.
well, Good for you, you can identify all the spelling mistakes and yah I am proud with any language I write and speak. You are typical those people … (its better you finish this statement urself)


Bado hujasema makosa ya Mengi hapa ni yapi exactly zaidi ya name calling.
Well i can summarize that for you! if you cant analyse them, then pole..


Kwa matumizi yako ya lugha ya kingereza, unajionyesha usivyo na authority kabisa ya kusahihisha kilichofanywa na mengi kuhusu communication. Labda ungetumia pia muda kujifunza vizuri lugha unayojaribu kutumia. Haaaa so fun, try hard next time. I have other things to learn than language... wee jamaa naona ni typical another... tulionao TZ... what is the problem someone to use English on their comments? hauelewi? No, kama uelewi mbona umenijibu? So what is the problem here? Help me to understand



Kama watu kama wewe wakimuona Mengi kuwa hana brain at all, basi Mengi yuko fine tu.
I am not suprised with your comment at all.. You are entitled to your opinion. Ni hii ndio typical mind zetu za Miafrica... tunashindwa kuona beyond money, na ndio maana tutaendelea kuwa used na mitumwa kwenye our own lands
 
Haya ndo aliyoyakemea Nyerere!...Mtu kuiweka serikali mfukoni...unasema upupu wako tuuu, maana una uhakika kuwa mkubwa umemshika mfukoni!
What a nonsense..watu kulipana kodi za wavujajasho while wanakaa kuongea mambo ya kishambenga just as if there is no more to do for the country!
We are stinking!
 
Kuna tetesi, JK kwenye baraza jipya la mawaziri huenda Sophia Simba akachukua nafasi ya Pinda kwenye Uwaziri Mkuu!
 
I am not suprised with your comment at all.. You are entitled to your opinion. Ni hii ndio typical mind zetu za Miafrica... tunashindwa kuona beyond money, na ndio maana tutaendelea kuwa used na mitumwa kwenye our own lands

As you are very well Future-Tanzania.

Umeweka opinion zako, nami nikaweka zangu. Nimekupa tu ushauri kutumia lugha unayoielewa vizuri (ya kiswahili) maana ulikuwa unachinja lugha ya wengine.

Hayo ya kuishi beyond money ni maoni yako ambayo hayahusiano na uwezo wangu binafsi wa kifedha au kazi ninayoifanya kujiingizia kipato.
 
Kuna tetesi, JK kwenye baraza jipya la mawaziri huenda Sophia Simba akachukua nafasi ya Pinda kwenye Uwaziri Mkuu!

Ha ha ha ha,

Mkuu umemuwahi Game Theory. Alitaka yeye ndiye aivunje hii habari (break the news).
 
Na wewe Zitto usiwe unakurupuka , amempa ushauri kuwa awe anawasiliana na idara .. labda kwa ajili ya kupata taarifa sahihi.. mf asingeweza kusema mengi sio mwanachama wa CCm kamam angekuwa na taarifa sahihi. Pia kwa kiongozi kama wewe uwe unachagua maneno...... unapenda sana sanan kuwaita watu wajinga........

Zitto ndivyo alivyo.

Washauri wake wanamwambia kuwa yeye kwa sasa anaongoza kwenye opinion poll ya REDET kwa hiyo yeye ana akili kuliko watu wote Tanzania sasa hivi.

Zitto ana audacity ya kuhoji vitendo vya Mengi wakati yeye mwenyewe wakati wa uchaguzi wa chadema uliopita alivujisha siri za vikao vya ndani vya chadema na akatumia muda mwingi hapa na kwenye vyombo vya habari kuipondea chadema na viongozi wake.

Kwa nini huo ushauri anaompa Mengi asingeutumia miezi michache iliyopita?
 
Kuna tetesi, JK kwenye baraza jipya la mawaziri huenda Sophia Simba akachukua nafasi ya Pinda kwenye Uwaziri Mkuu!
hahahahahahahaha, alafu atapitishwa na bunge la spika Sita au la spika gani?
 
As you are very well Future-Tanzania.

Umeweka opinion zako, nami nikaweka zangu. Nimekupa tu ushauri kutumia lugha unayoielewa vizuri (ya kiswahili) maana ulikuwa unachinja lugha ya wengine.

Hayo ya kuishi beyond money ni maoni yako ambayo hayahusiano na uwezo wangu binafsi wa kifedha au kazi ninayoifanya kujiingizia kipato.

So what is your problem for me to use English? you couldn't understand? if u couldnt how did u manage to answer me back? About money, yah that is very true. You will never never hear in USA or UK businessmen/women are so much into politics kama TZ na africa! why kwasababu wananchi wako open minded..sio kama sisi. Mengi anatake publicity kwa kupretend kusaidia wanyonge na watu kama mimi na wee we cant be critical analyser to see that!!! If he really want to change Tanzania why can’t he make his mind to separate politics and his business? Why? And why should he use his money power to make ministers life harder? Wee niambie ministers wangapi wamengombana na mengi? Na kwanini? Na kama sio angekuwa na kiburi cha hela na back up ya Mafisadi angetoa hii speech kweli? SD maybe you should start to analyse things in bright day and outside ushabiki. Mimi nilikuwa mshabiki sana wa mengi until today and I don’t think I will have anyone to change my mind.
 
Mkuu huu mtizamo wako una mashaka. umetumia kipimo gani kufikia hili hitimisho? simply kwa sababu hukubaliani naye kwa alichokisema? Surely, you can do better than this. Cant you?

Masanja,

Masanja, That is my opinion, na my arguments here ni kwamba mengi anapata wapi kiburi cha kuweka PC speeach kama hiyo? na je kama kila mtu anayesaidia chama akiwa na power ya kumake maisha ya ministers harder je tutafika kupata yaho maendeleo ambayo Mengi amekuwa akijifanya kuyaleta Tanzania?
 
So what is your problem for me to use English? you couldn't understand? if u couldnt how did u manage to answer me back?

Hell yes.

About money, yah that is very true. You will never never hear in USA or UK businessmen/women are so much into politics kama TZ na africa! why kwasababu wananchi wako open minded..sio kama sisi.

The last time i checked, George Bush and Arnold (will be back) of CA were very rich guys before they became governors.

Mengi anatake publicity kwa kupretend kusaidia wanyonge na watu kama mimi na wee we cant be critical analyser to see that!!! If he really want to change Tanzania why can’t he make his mind to separate politics and his business?

How do you separate (what is this anyway) politics and business?

Why? And why should he use his money power to make ministers life harder?

Why should he not?

Wee niambie ministers wangapi wamengombana na mengi? Na kwanini? Na kama sio angekuwa na kiburi cha hela na back up ya Mafisadi angetoa hii speech kweli?

Tell me, how many?

SD maybe you should start to analyse things in bright day and outside ushabiki. Mimi nilikuwa mshabiki sana wa mengi until today and I don’t think I will have anyone to change my mind.

How do you analyse things in bright day? is this a joke or what?
 
Binafsi nilianza kumpuuza Mengi yapata miaka 10 sasa. Na tokea wakati huo niliachana na vyombo vyake vya habari nikabakiza gazeti la the Gurdian tu maana huko kusutana hakukuwa vile. Mengi huyu amewahi kuwa chanzo cha migogoro si tu kati yake na baadhi ya watu mmoja mmoja bali pia hata makundi. Na hii ndio huonyesha yeye ni mtu wa aina gani. Ajabu ni kwamba wengi ndio wanagundua uwezo wa huyu mtu. Mengi amefanya vibaya kupupia siasa kwa kuvizia. Huyu bwana ni undercover kwenye politics. Ni mtu ambaye anauma na kupulizia. Anaelezea uanachama wake CCM lakini upo uwezekano pia ni mfadhili wa vyama vingine vya siasa. Hoja ya kutamka yeye ni CCM wkt huu ilikuwa haina mantiki. Kwa kujitangaza yeye ni CCM anateka kutueleza amechemsha kwenye vita vya ufisadi na amejinasua rasmi kwenye ngozi ya kondoo ya upinzani. Namtazama Mengi kama mtu mnafiki asiye mkweli na anayependa popularity na finally aonewe huruma. Anataka watu waanze maskini Mengi kaonewa!!! Mengi anafahamika vyema na yeye km mwanachama wa ufisadi, na kutoaminika kwake. Ni mjanja wa kuongea na kuonyesha sympathy ya kinafiki.
Lakini pia ni vyema kuitazama CCM kwa macho yoote. CCM sasa ingekuwa ni nguo basi ingekuwa ni nguo kuukuu au iliyojaa viraka. Maana ni chama chenye watu wa kila aina. Wao pia wanatakiwa wajipambanue hasa wanamalengo gani na wananchi wa Tanzania ingawa sasa hivi imeshakuwa ni late kwao.
Kwa mtazamo wangu, muda si mrefu kuna watu watafukuzwa chamani na wakinusurika basi hawatarudi tena bungeni.
Kwa ujumla mzunguko wa yoote haya ni;
Siasa kuchanganywa na biashara (Mengi, Rostam et al.)
Siasa+Biashara+ Umiliki wa vyombo vya habari( na hili ndio tatizo maana !!!!

Umenena mambo ya maana, kwanini Mengi anajieleza wakati huu yeye ni CCM? wakati anagombana na RA mbona hakusema?
 
Masanja, That is my opinion, na my arguments here ni kwamba mengi anapata wapi kiburi cha kuweka PC speeach kama hiyo? na je kama kila mtu anayesaidia chama akiwa na power ya kumake maisha ya ministers harder je tutafika kupata yaho maendeleo ambayo Mengi amekuwa akijifanya kuyaleta Tanzania?

Kwani wewe umepata wapi kiburi cha kuuliza kiburi cha mengi? Ukitoa jibu la swali hili, utagundua kuwa ndiyo hiyo hiyo sababu iliyomfanya mengi afanye hii PC.
 
Jamani inasikitisha sana unapokumbana na hoja na aina ya viongozi tulionao ukilinganisha na wakati tulionao, kwa kweli tunapiga bla bla ambazo kamwe hazitatusaidia hata kupiga nusu hatua ya maendeleo ya nchi hii, hivi kwa nini? ina maana kila mtu awe bingwa wa kuongea? kutenda je? mbona hatutoi mawazo ya namna gani tutaondokana na giza? umasikini? na mengine mengi tuliyonayo, watanzania wa sasa sijui tukoje, nafikiri kuna laana inakuja!
 
Back
Top Bottom