William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Katika hilo, Selelii alisema, "Sophia Simba huyu ni mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT). Pia ni waziri anayesimamia utawara bora," chanzo cha habari ndani ya kamati kinanukuu Selelii. Anasema,
"aliyoyasema hapa hayakustahili kutolewa katika kikao hiki. Haya ni maneno yanayopaswa kutolewa kwenye kitchen party. Nimemsikiliza kwa makini, mheshimiwa Simba amezungumza mambo binafsi yanayohusu mtu binafsi," alisema.
Mbili, Selii alisema,
"Sophia Simba amesema hapa kuwa Lowassa ni mwanamme namba moja. Ni mwanamme wa shoka. Akimaanisha kwamba wanaume wote akiwamo rais, waziri mkuu, wabunge na madiwani siyo kitu. Mimi sikubaliani naye. Labda kama mwanamme wa shoka katika masuala mengine," alisema kwa kujiamini.
- Very interesting! Bwa! ha! ha!
- Imean rais kamtuma mengi ya kusema, duh Rais bwana!
es!
"aliyoyasema hapa hayakustahili kutolewa katika kikao hiki. Haya ni maneno yanayopaswa kutolewa kwenye kitchen party. Nimemsikiliza kwa makini, mheshimiwa Simba amezungumza mambo binafsi yanayohusu mtu binafsi," alisema.
Mbili, Selii alisema,
"Sophia Simba amesema hapa kuwa Lowassa ni mwanamme namba moja. Ni mwanamme wa shoka. Akimaanisha kwamba wanaume wote akiwamo rais, waziri mkuu, wabunge na madiwani siyo kitu. Mimi sikubaliani naye. Labda kama mwanamme wa shoka katika masuala mengine," alisema kwa kujiamini.
Mwanakijiji,
Kaka, hapa umechemka. Hujasoma alama za nyakati.
Waziri Sofia Simba ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya RAIS, Utawala Bora! Upo hapo?
Taasisi zote za Utawala Bora (Good Governance), ziko chini yake. Ina maana, hata ripoti za TAKUKURU hazimfikii RAIS bila kupitia kwake, achambue nini RAIS anasoma, na nini hasomi.
Sasa wewe unadhani Sofia ALIKURUPUKA tu na kubwata aliyoyabwata, BILA KUPATA RIDHAA ya RAIS?
Ametoa ujumbe, kwa niaba ya RAIS. Alipata idhini ya RAIS, bila hivyo angekuwa anajichinja KISIASA. Ujumbe ni wa RAIS mwenyewe, si wa Sofia. Habari ndiyo hiyo, MESSAGE SENT AND DELIVERED!
Nadhani mpaka sasa umenisoma.
Ntazidi KUCHOKONOA tu! WACHEME, WACHICHEME, shauri yao!
Hahahaha!
- Very interesting! Bwa! ha! ha!
- Imean rais kamtuma mengi ya kusema, duh Rais bwana!
es!