- Hapana hii sio siri, nimekuambia hivi mimi ninamfahamu sophia, wewe unamsikia, ninafahamu kwamba ana mtoto jela ambaye amefungwa maisha kule California, ana mwingine ambaye yuko Canada anaumwa sana lakini hana medical Isurance anasota ile mbaya huku mama ni waziri wa mafisadi, mmoja yuko South Africa anahesabu siku tu za kuishi na mwingine pia ni mgonjwa yupo Dar na wote ninawajua baba zao, now what is your problem na kumjua Sophia na watoto wake! na sihitaji DNA kuyajua haya!
- Ni mi-Id yako ndiyo inakusuta mwenyewe, na ni utoto kwa mtumzima kama wewe!
- Baaada ya kuongea na wanaohusika, wamesema Jeetu hakufadhili harusi lakini huenda alichangia hawajui kwa sababu walichangia wengi sana ndani na nje ya Tanzania. Sihitaji kuwa Malecela na wewe huhitaji kuwa Sophia kumlilia Maleceala na mkewe!au wewe ni Sophia mkuu? Bwa! ha! ha!
- Hayatoshi kumsafisha na nani hasa na kwa ushahidi gani? Mbona unaweweseka, hivi toka lini Rais anachagua viongozi wake kwa ushauri wa makamu wa CCM? Hivi ni lini chadema waligundua kuwa Zitto hajakomaa kisiasa si pale tu alipotaka kugombea nafasi kubwa zaidi, sasa unashangaa nini Malecela kumuona Sophia ni kichaa sasa?
- Sophia ni kichaa, maisha yake yako wazi sana na hilo, maneno yake, uongozi wake, yaani kila kitu chake kiko wazi kwamba ni kichaa isipokuwa kwako wewe tu, na sababu tinaijua inatokea kwenye Meremeta na Kiwira, pole sana msaidie akapimwe kichaa kwanza!
- Now you are talking kwamba huyu mama sio kichaa na inaeleweka sababu, lakini kwa sisi wenye akili timamu huyu mama hafai hata kuwa waziri maana ni kichaa, na sitaki kuamini kwamba na wewe ni kama yeye!
- Mkuu taifa haliongozwi na filimbi za mtaani, waziri wa serikali tena toka ofisi ya Rais anatakiwa kuongea na ushahidi, yaani facts akiongea midundiko kwenye kamati ya Mwinyi, ndio anakuwa kichaaa, Bwa! ha! ha! wewe unatoka familia ya kifisadi sasa Sophia lazima awe mzima sana, au? ila kwa wale tusiotoka kwenye familia za kifisadi kama wewe huyu mama ni kichaaa anahitaji kutibiwa kama anavyotibiwa kila wakati kule South Africa, ameshakuambia huwa anakwenda kutibiwa nini kila mwisho wa mwezi na kwa gharama ya nani? Bwa! ha! ha! kwamba unawajua watoto wa Mwalimu hilo sikatai maana majuzi nilikuona nao, sio siri lakini Sophia sijui kama unamjua!
Respect.
FMEs!