Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Kwa hiyo mama simba ni insane?

Hiyo "criminal responsibility" ya mama simba imeanza leo au kwa muda sasa
Kilango anasema madai ya mama simba yapo muda mrefu...sasa hatujuwi,aseme yeye ni lini walianza kushirikiana na fisadi papa Jeetu Patel na nani alianza kuwa mshikaji kati yake yy na mumewe.
 
Kwako Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzanka Bwana Jakaya Mirisho Khalfan Kikwete,

Je una jibu hapa? Je utachukua hatua gani? Ulimtumia Sophia kufanya "Check" sasa Malecela na Mengi wote wamekujibu kwa kukupiga "Check" je una lipi la kuja?

Au hii itakuwa "Check mate"?
Mhe. Kikwete akikaa kimya katika hili basi kuna kasoro kubwa katika serikali yake. So far hakuna baya as he tried kuweka sawa mfumo wa sheria.
 
kumbe bado hujajua kama ni uongo au ni kweli wakati umesema kuwa ccm wote mafisadi? mafisadi wanaweza kusema ukweli?
Mkuu,ww unaamini kuwa hawa wote wanasema ukweli na panapoambiwa wanasema uwongo ww huamini kuwa pana chembe ya ukweli?
Ndo walivyo wezi,Mkuu, wanakuwa wababaifu wababaifu.
 
Kilango anasema madai ya mama simba yapo muda mrefu...sasa hatujuwi,aseme yeye ni lini walianza kushirikiana na fisadi papa Jeetu Patel na nani alianza kuwa mshikaji kati yake yy na mumewe.

je alichosema mama simba ni cha ukweli? mafisadi wanaweza kusema ukweli? mbona wakwepa hili swali?
 
Mkuu,ww unaamini kuwa hawa wote wanasema ukweli na panapoambiwa wanasema uwongo ww huamini kuwa pana chembe ya ukweli?
Ndo walivyo wezi,Mkuu, wanakuwa wababaifu wababaifu.

wewe unaamini vipi, wanaweza kusema ukweli?
 
je alichosema mama simba ni cha ukweli? mafisadi wanaweza kusema ukweli? mbona wakwepa hili swali?
Nashukuru kwa kukubali kuwa CCM wote ni MAFISADI kwa hiyo Kilango na Malecela &co. are not exceptions...swali litakuwa limejibika.
wewe unaamini vipi, wanaweza kusema ukweli?
wanaweza kujificha ficha tu kama paka,kichwa tu lakini migongo tunaiyona.
 
Tafuta kwenye google.... kuna zaidi ya lugha sabini mle ikimewo Kiswahili. At the end of day Mwanakijiji akapimwe akili Mirembe ama Kidongo chekundu na huyo Simba

M-pm basi kuliko kulialia hapa...unaniambia mimi nifanyeje sasa?
 
Nashukuru kwa kukubali kuwa CCM wote ni MAFISADI kwa hiyo Kilango na Malecela &co. are not exceptions...swali litakuwa limejibika.

wanaweza kujificha ficha tu kama paka,kichwa tu lakini migongo tunaiyona.

Kwa hiyo unakubaliana na mzee malecela kuwa mama simba akapimwe akili kule mirembe, right?
 
Kwa hiyo unakubaliana na mzee malecela kuwa mama simba akapimwe akili kule mirembe, right?
Mkuu nakubaliana naye kuwa nayeye hakosi kuwamo katika kundi la wagonjwa wa akili kwa nini kamuachia JK amchague mtu katka wizara nyeti, wakati akijuwa kuwa hana akili, si kwakuwa wagonjwa wa akili wanajuwana bana?
Mkuu, In vinho veritas...tuseme madai ya mama simba ni ya kiwazimu,wazimu ni kama ulevi na penye ulevi hapakosi ukweli.
 
Kwa hiyo unakubaliana na mzee malecela kuwa mama simba akapimwe akili kule mirembe, right?

JAMANI WASISAHAU NA UTI WA MGONGO...WAKATI MWINGINE UTI WA MGONGO UNAKUFANYA KUCHWA KUWA ABNORMAL....WASIACHE HILO
MSHAURI
 
Mkuu nakubaliana naye kuwa nayeye hakosi kuwamo katika kundi la wagonjwa wa akili kwa nini kamuachia JK amchague mtu katka wizara nyeti, wakati akijuwa kuwa hana akili, si kwakuwa wagonjwa wa akili wanajuwana bana?
Mkuu, In vinho veritas...tuseme madai ya mama simba ni ya kiwazimu,wazimu ni kama ulevi na penye ulevi hapakosi ukweli.

Kwa hiyo sasa, mama simba akapimwe akili mirembe. Au unataka kwenda zaidi kutaka mkuu wa nchi naye akapimwe akili?
 
M-pm basi kuliko kulialia hapa...unaniambia mimi nifanyeje sasa?
Mtu mwenyewe keshajitambulisha kama ni wa kijijini... sina muda wa kump as long anakesha hapa JF....

Ijumaa leo na huku ni usiku, wacha niende kusahau shida za JF...!
 
Mkuu nakubaliana naye kuwa nayeye hakosi kuwamo katika kundi la wagonjwa wa akili kwa nini kamuachia JK amchague mtu katka wizara nyeti, wakati akijuwa kuwa hana akili, si kwakuwa wagonjwa wa akili wanajuwana bana?
Mkuu, In vinho veritas...tuseme madai ya mama simba ni ya kiwazimu,wazimu ni kama ulevi na penye ulevi hapakosi ukweli.

- Mkuu sio siri na wewe unahitaji kupimwa huko na mama huyo usimuache aende peke yake!

Respect.


FMEs!
 
Kwa hiyo sasa, mama simba akapimwe akili mirembe. Au unataka kwenda zaidi kutaka mkuu wa nchi naye akapimwe akili?
Nina mashaka na mjumbe mmoja wa kudumu wa NEC ambaye naye anakuwa kama mshauri wa Mw'kiti wa Chama cha Mapinduzi...huwenda nayy zake si sawa sawa..mpka anajuwa kuna wagojwa wa akili na bado hamshauri chamen kuchukuwa hadhari?
 
Kwa hiyo unakubaliana na mzee malecela kuwa mama simba akapimwe akili kule mirembe, right?

JAMANI WASISAHAU NA UTI WA MGONGO...WAKATI MWINGINE UTI WA MGONGO UNAKUFANYA KUCHWA KUWA ABNORMAL....WASIACHE HILO
MSHAURI

ha ha haha,

mbavu zangu jamani. Hii ya uti wa mgongo ni kali kuliko zote hapa leo JF.
 

- Mkuu sio siri na wewe unahitaji kupimwa huko na mama huyo usimuache aende peke yake!

Respect.


FMEs!
CCM ndo mlivyo hamtaki kuambiwa ukweli mkiambiwa ukweli mnaanza kuzusha vitu vya ajabu ajabu...huenda bado nina mashaka na jibu la Malecela...labda anazeeka vibaya kama nayy...si sawa na mam simba kwa fikra zake.
 
Nina mashaka na mjumbe mmoja wa kudumu wa NEC ambaye naye anakuwa kama mshauri wa Mw'kiti wa Chama cha Mapinduzi...huwenda nayy zake si sawa sawa..mpka anajuwa kuna wagojwa wa akili na bado hamshauri chamen kuchukuwa hadhari?

inaonekana kama hutajibu hili swali. Labda nibadili swali - unataka mama simba aende mirembe kupimwa akili kabla hajarudi toka dodoma au apimwe zanzibar kama alivyoshauri kibunango?
 
CCM ndo mlivyo hamtaki kuambiwa ukweli mkiambiwa ukweli mnaanza kuzusha vitu vya ajabu ajabu...huenda bado nina mashaka na jibu la Malecela...labda anazeeka vibaya kama nayy...si sawa na mam simba kwa fikra zake.

kwani wewe mkuu umetoka lini ccm?
 
Safi sana Mzee tingatinga dume la mbegu wengine wote ni mitamba! umetuonyesha jambo. kwa kweli yatubidi tujadili, sasa kama mkubwa wa nchi anaweza kuteua kichaa au mjinga kuwa waziri tena akae nae ikulu, inastua sana ndo maana wengine wanasema uteuzi wa mkubwa uwe questinable! ndo maana tunapata maamuzi yenye kigugumizi ndo tunaibiwa kwa sababu uwezo wa kufikiri, kutambua, ku analyse kwa baadhi ya mawaziri na watendaji wetu ni wa kubabaisha kama wapiga lamri
 
Nina mashaka na mjumbe mmoja wa kudumu wa NEC ambaye naye anakuwa kama mshauri wa Mw'kiti wa Chama cha Mapinduzi...huwenda nayy zake si sawa sawa..mpka anajuwa kuna wagojwa wa akili na bado hamshauri chamen kuchukuwa hadhari?

- Waziri wa ofisi yako anapoambiwa ana kichaa, maana yake ni kubwa sana, sasa ni wakati wa Rais na Sophia kuchukua ushahidi walionao na kuwafikisha kwenye sheria, Mzee na mkewe Mama Kilango na kuthibitisha kwamba Sophia waziri wake sio kichaa, au? Ingekwua mimi ndiye Rais, by saa hizi Mama na mzee wangekua Segerea tayari maana ningechukua ushahidi alionao na kuwarundika mara moja, waziri wangu hawezi kuwa kichaa anapofanya kazi yake yaani ya taifa, unless otherwise!

- Hapa the burden ipo kwa Rais na waziri wake wa Takukuru, ndio maana ninasema hii ngoma sasa inaogile nasubiri kuona miwsho wake! Hivi Kikwete yupo au amesafiri?

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom