Kiberega
Member
- Feb 11, 2008
- 18
- 1
Narudia tena kusema Mh. Rais ana kigugumizi kuwawajibisha kina Hosea na wengineo kwa vile anajua wataumbuana kama alivyosema Hosea "....kama ni kuumbuana hata mimi naweza sana".
Sasa waacheni waumbuane, wafitiniane, wafichiane maovu; mwishowe tuwatoe kama wote wanaogopana. Watanzania, muda umefika tuchague chama kingine ili tujue mengi waliyoyaficha kwa kulindana na kuogopana; kumekucha! Kususia uchaguzi siyo suluhisho la matatizo yetu, ufumbuzi uko kwenye maamuzi yetu wenyewe!
Sasa waacheni waumbuane, wafitiniane, wafichiane maovu; mwishowe tuwatoe kama wote wanaogopana. Watanzania, muda umefika tuchague chama kingine ili tujue mengi waliyoyaficha kwa kulindana na kuogopana; kumekucha! Kususia uchaguzi siyo suluhisho la matatizo yetu, ufumbuzi uko kwenye maamuzi yetu wenyewe!