..naona Kilango,Malecela,na Mengi, wameamua kumaliza suala hili kisiasa.
..kwa upande wangu ningependa wawe open kwa kukanusha kampeni zao kuchangiwa na Jeetu Patel.
..zaidi ningependa watoe vielelezo kuhusu watu waliowachangia ktk kampeni zao.
..pia kama kuna uwezekano wampeleke Sophia Simba mahakamani na kumdai fidia kwa kuwachafua.
NB:
..mchangiaji Pasco alidai Sophia Simba alimtuhumu Mama Kilango kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya. naomba wenye habari za ndani ya kikao hicho wathibitishe au kukanusha kama kweli Sophia alitoa madai hayo.
..kwa upande wangu ningependa wawe open kwa kukanusha kampeni zao kuchangiwa na Jeetu Patel.
..zaidi ningependa watoe vielelezo kuhusu watu waliowachangia ktk kampeni zao.
..pia kama kuna uwezekano wampeleke Sophia Simba mahakamani na kumdai fidia kwa kuwachafua.
NB:
..mchangiaji Pasco alidai Sophia Simba alimtuhumu Mama Kilango kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya. naomba wenye habari za ndani ya kikao hicho wathibitishe au kukanusha kama kweli Sophia alitoa madai hayo.