Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Mtake radhi mwanakijiji
Hata siku moja sitofanya hilo kwa hili sakata, alisaidia sana kumlevya kimama cha watu, na sasa amemgeuka! Siasa za online impact yake tunaiona kwa bi Simba!

Shame kwa Mwanakijiji na Kiredio chake
 
Kumaliza hapa ni kupumuliwa au nini?

Huna haja ya kuomba attention ya yeyote yule, the minute umesema kuwa unapumuliwa na ZItto na Omarilyas ilitosha kuvuta attention ya wana JF.

Rule number 4; (a) Usizushe wala kusema uongo, wala usiweke maneno yako kinywani mwa mtu.
(b) Do not talk and translate words doltishly, people will regard you as a looser.

Hii kozi inahitaji kujishusha na unapoona pana uma, basi chukulia kama challenge
Mpaka saa hizi sijatukana zaidi ya kukupa rule nne muhimu za kuishi JF

Do you need rule number 5, or are you tired?, if you need you can just ask indirectly, will definitely give you one!
 
Kwamba mama simba inabidi akapimwe akili, right?
Kwamba CCM hawana wajibu wa kimaadili kujinadi kuwa kuna kundi la kupambana na ufisadi wala kujidai kuwa kupapambana na ufisadi ni msimamo wa chama kwa ujumla...wakati wote wananuka ufisadi...nani anaakili nani hana...hizo ni hoja za kujipapatua kutokana na ukweli may be.
 
Rule number 4; (a) Usizushe wala kusema uongo, wala usiweke maneno yako kinywani mwa mtu.
(b) Do not talk and translate words doltishly, people will regard you as a looser.

Hii kozi inahitaji kujishusha na unapoona pana uma, basi chukulia kama challenge
Mpaka saa hizi sijatukana zaidi ya kukupa rule nne muhimu za kuishi JF

Do you need rule number 5, or are you tired?, if you need you can just ask indirectly, will definitely give you one!

doltishly kwa maana ya kupumuliwa na Zitto au na masanilo? Kwani vipi, unataka kuanza kutukana? Karibu sana maana hapa vichaa wanakutana na ukichaa.
 
Lugha zingine bwana ... Ugonjwa wa akili ni ugonjwa na ni majaaliwa. Watu wengi tu wana majirani, watoto, ndugu etc. wenye magonjwa ya akili. Sasa mtu mzima kama huyu anapotumia ugonjwa kama kejeli haipendezi.

Siyo kwamba namtetea Simba

- Sophia akapimwe kwanza, then tutahakikisha kama madai yake ni ya kweli au sio, kumbuka Malecela anamjua Sophia kuliko wewe na mimi, sasa mzee kama yule akisema waziri ana kichaa sio jambo dogo sana, hasa ukizingatia huyu ni waziri wa ofisi ya rais!

- Na Rais mwenyewe ameyasikia haya, ninasubiri kuona mwisho wa huu mchezo, wallahi ngoma inogile sasa!

Respect.


FMEs!
 
Mh. Sophia Simba wala sio mgonjwa wa akili, ila sema siasa imemzingua.
 
Kwamba CCM hawana wajibu wa kimaadili kujinadi kuwa kuna kundi la kupambana na ufisadi wala kujidai kuwa kupapambana na ufisadi ni msimamo wa chama kwa ujumla...wakati wote wananuka ufisadi...nani anaakili nani hana...hizo ni hoja za kujipapatua kutokana na ukweli may be.

Kwa hiyo inabidi mama simba akapimwe akili, right?
 
Juni, kwahiyo ni sahihi hapa kusema hata huyo aliyempa cheo huyo Mh. Simba anahitaji kwenda Milembe?
Mkuu,
Insanity is among the defences of criminal responsibility...CCM wote ni majizi tu...na wizi ni kosa la jinai...wanajida kupakaziana wazimu ili watanzania waone kuwa madai wanayozushiana si ya kweli....hwenda wote ni vichaa lakini walipokuwa wanashirikiana na mafisadi(akina Jeetu Patel) hawakuwa vichaa bali na akili zao.
 
Daniel Mjema, Dodoma na Ramadhan Semtawa
Kilango alifafanua kwamba Simba ni waziri mwenye dhamana ya utawala bora ambaye ana vyombo vya uchunguzi chini yake kama Takukuru, lakini akashangaa kutovitumia.
Source - Mwananchi

Jamani tunachojadili nini hasa? Ni nani mwenye jukumu la kushughulikia mafisadi? Napenda kuamini kuwa Sofia s ni waziri mwenye dhamana ya kuchukua kukumu hilo. Lakini kama yeye anawajua mafisadi kwa nini asichukue hatua? amewataja mafisadi lakini mbona hajawachukulia hatua wakati taarifa na ushaidi tayari anao? Tuna lia na suala la madawa ya kulevya, mbona hajachukua hatua wakati anawajua kwa majina? Binafsi naungana na mwanakjj kwamba alitakiwa ajiuzuru maana nashindwa kujua utawala bora anaousimamia.
Suala la rushwa ktk rada kila leo linaandikwa kwenye vyombo vya habari mbona hajawahi kujitokeza na kutoa hiyo taarifa ya kusafishwa hao watu ambao wengine kam Chenge walijiuzuru?
Si watetei wanaojiita wapiganaji wa vita vya ufisadi lkn nadhani tatizo kubwa liko kwa yule anayejihita si fisadi (Sofia) ambaye anawajua mafisadi na ana madaraka ya kuchukua hatua dhidi ya mafisadi na wauuza madawa ya kulevya lkn hachukui hatua!! We really need some changes!! Mkulu nchi imemshinda.
 
Juni, kwahiyo ni sahihi hapa kusema hata huyo aliyempa cheo huyo Mh. Simba anahitaji kwenda Milembe?

Splendid!

You see, this is real JF, na your post is superb, if JF will have people like you kwa nini tusiringe bwana

SOLOMON DAVID, take this desa la comment na angalia comment zako, kama hutazichoma moto!

ala kumbe ni internet
 
Mpambe ni nini kwa Kiingereza?
Tafuta kwenye google.... kuna zaidi ya lugha sabini mle ikimewo Kiswahili. At the end of day Mwanakijiji akapimwe akili Mirembe ama Kidongo chekundu na huyo Simba
 
Mkuu,
Insanity is among the defences of criminal responsibility...CCM wote ni majizi tu...na wizi ni kosa la jinai...wanajida kupakaziana wazimu ili watanzania waone kuwa madai wanayozushiana si ya kweli....hwenda wote ni vichaa lakini walipokuwa wanashirikiana na mafisadi(akina Jeetu Patel) hawakuwa vichaa bali na akili zao.

Kwa hiyo mama simba ni insane?

Hiyo "criminal responsibility" ya mama simba imeanza leo au kwa muda sasa
 
Daniel Mjema, Dodoma na Ramadhan Semtawa


"Simba ni mgonjwa, ana matatizo ya akili kichwani, namshauri apelekwe au aende Mirembe akapimwe akili na kupata matibabu kabla hajarudi Dares Salaam."


Mzee Malecela ambaye ni mjumbe wa kudumu wa Kamati Kuu na makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, alisema Simba atafanya kosa kama atarudi Dar es Salaam bila kwenda Mirembe kupima akili na kupata matibabu.


"Asirudi Dar es Salaam bila kupita Mirembe kupima akili, kwa maana atakuwa amepoteza fursa ya kujua matatizo aliyonayo kichwani kwake," alisisitiza.

"Kama Mheshimiwa Simba alikuwa na ushahidi wa tuhuma nzito kama hizo tangu mwaka 2005 kama ambavyo anataka Watanzania waamini, bado haiingii akilini ni kitu gani kilichomfanya asitoe taarifa hizo katika vyombo vya dola,” alihoji Kilango. Source - Mwananchi

Kwako Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Bwana Jakaya Mirisho Khalfan Kikwete,

Je una jibu hapa? Je utachukua hatua gani? Ulimtumia Sophia kufanya "Check" sasa Malecela na Mengi wote wamekujibu kwa kukupiga "Check" je una lipi la kuja?

Au hii itakuwa "Check mate"?
 
Splendid!

You see, this is real JF, na your post is superb, if JF will have people like you kwa nini tusiringe bwana

SOLOMON DAVID, take this desa la comment na angalia comment zako, kama hutazichoma moto!

ala kumbe ni internet

Ah,

Hivi bado upo? umemaliza?
 
I find this whole thing very disgusting!! Is CCM the only alternative? Kila mtu (fisadi na wanaosema wanapambana na ufisadi) wanadai waachiwe CCM yao, CCM ndio nini? Ni wakati mwafaka wa kuondokana na habari za uchama, badala yake tuangalie Taifa. Hao akina Mengi ni lazima wang'ang'anie kuwa ccm? wanaweza kuendeleza mapambano nje ya ccm, na labda wanaweza kushawishi na wengine kutoka na kufanya upinzani uwe imara, lakini kama wote wanang'ang'ania wanatupa mashaka huenda kuna maslahi yao wanayalinda huko ndani ya ccm.
 
Back
Top Bottom