Sikuandika ili nikushawishi, unfortunately. So hakuna shida kama hujashawishika.
Nimeandika pure fact. TRA wanaweza kutengeneza mfumo unaoutaka na wakatoa bure. Haya ni maamuzi ya CG na timu yake.
Nilichosema ni kuwa TRA wako sahihi kuishia kwenye API kwa sababu lengo lao ni kukusanya kodi na sio kukusaidia wewe kutunza kumbukumbu zako.

Kwa wale wanaotumia manual work au Excel, EFD machines zipo kwa ajili ya kodi. Na wale ambao wanatumia mifumo ku automate kazi yao, TRA wametoa API ya ku connect na kuepuka EFD Machine.

Kiufupi TRA wamefanya kazi yao vizuri na hata wakiishia hapo hakuna atakayelalamika.

Huu ndio ukweli na uhalisia hata kama hutaki kuukubali!
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 Sasa kama hutaki kunishawishi mbona unajibizana na mimi? Strange! Mimi wabongo nawajua kuliko. Hapa kuna dalili za upigaji wa kijinga kabisa. Si ajabu ukakuta unamhusisha hata huyo CG na timu yake unayemsema. Lakini juwa kuwa maisha ya ''ujanja ujanja'' kama haya kwa zama hizi yanaweza kuwa na matokeo yasiyotarajiwa. Muda utaamua na nitajaribu kwa kadiri niwezavyo kuona mwisho mwisho wa sakata hili.
 
Sina cha kufanya kama upeo wako ni mdogo. Na mda wote unahisi unaibiwa tu.

Sikatai kuhusu TRA kuja kutoa bure wakiamua au huenda wanatoa bure ila bado hawajapita dukani kwako kukupa, lakini kuwa mwerevu kua hapa sio mahala pake, nilifungua huu uzi kwaa ajili ya watu wanotaka huduma leo hii, wewe ungetumia busara kufungua uzi wako na kuomba vyote unavyotaka ufanyiwe bure na TRA huko. Hizo konakona unazoongelea kwangu hazipo lasivyo wateja wangu ambao ni wana JF wangerudi kulalamika humu.

Labda useme muda utaongea nini? Maana umeshindwa kuelewa hii huduma rahisi unaishia kusema muda utaongea bila kufafanua... Mimi sio TRA kama una tatizo nao au kuna vitu vya bure unataka unajua kwa kuwapata.
Huduma au huu ni upigaji kama upigaji mwingine wowote! Kama kukataa upigaji wa kijima kama huu ndiyo kuwa na upeo mdogo basi wacha niendelee kuwa nao. Mimi Bongo naijua nje ndani na usijaribu kuni-manipulate mimi. Endelea na hao hao mapopomaa unaowahudimia lakini nakuhakikishia watu wenye akili huwapati.
 
Wapi nimesema 50,000 nyingi then ku conclude kuwa nina ufinyu mkubwa wa fikra? Nafikiri ni heri ujikite tu kwenye technical side, sales/marketing waachie wengine. Hata hivyo, mpe mtu yeyote option ya ku download bure app, badala ya kulipa 50k, uone kama hatakimbilia bure, other factors constant.

TRA hawatoi EFD machine bure. Baniani mbaya kiatu chake bora. Nitakuwa mteja wenu soon.
Umenena kweli, huyu @ewkonzo au Eliya Konzo aliteleza
 
Wapi nimesema 50,000 nyingi then ku conclude kuwa nina ufinyu mkubwa wa fikra? Nafikiri ni heri ujikite tu kwenye technical side, sales/marketing waachie wengine. Hata hivyo, mpe mtu yeyote option ya ku download bure app, badala ya kulipa 50k, uone kama hatakimbilia bure, other factors constant.

TRA hawatoi EFD machine bure. Baniani mbaya kiatu chake bora. Nitakuwa mteja wenu soon.
Kweli naomba radhi ni kweli kama kuna option ya kutokulipa watu wengi wataifata hiyo
 
Huduma au huu ni upigaji kama upigaji mwingine wowote! Kama kukataa upigaji wa kijima kama huu ndiyo kuwa na upeo mdogo basi wacha niendelee kuwa nao. Mimi Bongo naijua nje ndani na usijaribu kuni-manipulate mimi. Endelea na hao hao mapopomaa unaowahudimia lakini nakuhakikishia watu wenye akili huwapati.

Kua na upeo mdogo ni jambo la kawaida, unaweza ukawa umesomea udocta ila upeo wako kwenye tehama ukawa mdogo kwaiyo usihisisi hata kwa sekunde kuwa nimekutusi.

Kingine ufahamu usio wa kweli kuhusina na hii huduma hutaki kuusema wazi ila unautumia kutoa kauli tata. Ambazo japokua wewe umeamua kutochukua unawapotosha wengine , Mimi nipo tayari kutengua kauli kuhusu upeo wako mdogo kwenye hili ukijibu swali lolote kati ya haya.
  • unaelewa nini mpaka sasahivi kuhusu huu?
  • wapi unahisi kuna upigaji?
  • maana ya neno ya API?
  • Time will tell what na to whom?
Huna haja ya kutoa jibu sahihi ukijibu tu mimi natengua kauli sababu walau nitajua unachanganya nini.
 
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 Sasa kama hutaki kunishawishi mbona unajibizana na mimi? Strange! Mimi wabongo nawajua kuliko. Hapa kuna dalili za upigaji wa kijinga kabisa. Si ajabu ukakuta unamhusisha hata huyo CG na timu yake unayemsema. Lakini juwa kuwa maisha ya ''ujanja ujanja'' kama haya kwa zama hizi yanaweza kuwa na matokeo yasiyotarajiwa. Muda utaamua na nitajaribu kwa kadiri niwezavyo kuona mwisho mwisho wa sakata hili.
Enjoy your day!
 
Kua na upeo mdogo ni jambo la kawaida, unaweza ukawa umesomea udocta ila upeo wako kwenye tehama ukawa mdogo kwaiyo usihisisi hata kwa sekunde kuwa nimekutusi.

Kingine ufahamu usio wa kweli kuhusina na hii huduma hutaki kuusema wazi ila unautumia kutoa kauli tata. Ambazo japokua wewe umeamua kutochukua unawapotosha wengine , Mimi nipo tayari kutengua kauli kuhusu upeo wako mdogo kwenye hili ukijibu swali lolote kati ya haya.
  • unaelewa nini mpaka sasahivi kuhusu huu?
  • wapi unahisi kuna upigaji?
  • maana ya neno ya API?
  • Time will tell what na to whom?
Huna haja ya kutoa jibu sahihi ukijibu tu mimi natengua kauli sababu walau nitajua unachanganya nini.
Nakumbiaje.... wewe endelea kuishi ''kijanja janja'' kuna siku utakumbuka ninachokuambia hapa.
 
Nakumbiaje.... wewe endelea kuishi ''kijanja janja'' kuna siku utakumbuka ninachokuambia hapa.
Ambwene Konzo Limited ni kampuni iliyosajiliwa kisheria.. VFD zote zinatolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa mujibu wa sheria.
 
Enjoy easy money from fools!
Ila we jamaa huwa unachekesha sana. Mtu akipitia posts zako ataona. Mtu fulani unajiona unajua kila kitu, yaani wengine hawajui ila ni wewe tu.

Utawabeza na kuwaita kila majina. Utakosoa kila kitu na kila mahali. Huwa huna jema ndugu. Hili ni tatizo. Yawezekana hujui ila una tatizo la kulifanyia kazi.

That being said, I earn legitimate and legal income. If you think smart people who pay for satisfactory service rendered to them are fools and that hard earned money is easy, you might want to check with Milembe Hospital. They might have a patient in you.

Sorry, but just hard truth. Your subsequent replies are hereby ignored. Enjoy your stay in my ignore list!
 


AMBWENE KONZO LIMITED inakuwezesha kutumia vfd yako ya bure toka TRA kwenye simu,kompyuta,pos au kuunga na mfumo wako ulionao kwa ghrama ndogo ya elfu hamsini tu za kitanzania kwa mwaka mzima. Huna haja ya kununua mashine.


VFD zote hazifanyi kazi sawa hakikisha unachukua kwetu!!

Baki umearifiwa tufate kwenye Wavuti, Instagram, Facebook na Twitter

Biti la ottrack.
 



AMBWENE KONZO LIMITED inakuwezesha kutumia vfd yako ya bure toka TRA kwenye simu,kompyuta,pos au kuunga na mfumo wako ulionao kwa ghrama ndogo ya elfu hamsini tu za kitanzania kwa mwaka mzima. Huna haja ya kununua mashine.


VFD zote hazifanyi kazi sawa hakikisha unachukua kwetu!!

Baki umearifiwa tufate kwenye Wavuti, Instagram, Facebook na Twitter

Biti la ottrack.
 
Sikiliza Biti kali sana toka kwa Otrack huku unajifunza kutoa risiti.....
Kazi na Dawa

 
Unasubiri nini?

Anza kutoa risiti zako kisasa

HAMIA KWETU3.png
HAMIA KWETU4.png
HAMIA KWETU2.png

HAMIA KWETU.png



Jiunge Leo, Wasiliana nasi
pos@konzo.co.tz
+255625869399

badili #ETR #FD #EFP #FP yako na #VFD yetu
 
Back
Top Bottom