sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,567
- 11,486
Ni hulka ya mtu asiyejiamini ndio maana anaamini katika kubadili badili watu na kuweka wake. Mbona kina condoleza rice, theresa may, madeline albright walishika nafasi kubwa za juu na walikuwa wakisimama kuongea wanaongea kama viongozi wa nchi hawaongei kama wanawake.Kama bado ana portion ya fikra yakinifu anatakiwa mambo ya kijinsia kuwaachia mazuzu wa mitandaoni.
Kama rais kujikita kwenye mambo hayo ni fedheha kwa taasisi ya urais