OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,819
- 106,572
Kwa hiyo walianzisha tahasusi bila kuwa na takwimu za walimu? Hii nchi inaongozwa na watu hopeless
Wa kuhesabu ! ππππ
Bukoba kuna waislamu?
Kujenga makanisa au misikiti ni jambo zuri sana.Mimi nilichoona hapo kwenye hiyo barua, mbali na maudhui yahusuyo barua hiyo; ni kwamba barua imeanza na Namba 2. Namba moja imekwenda wapi? Haikutakiwa kuonekana na wasomaji ndani ya JF, au ni mwandishi kaisahau?
Pili, hao wanaoomba ruhusa ya kufanya utafiti hapo hawajatajwa kwenye barua hiyo, je, nao ni siri wasijulikane
Haya maswala ya dini yamekuwa mengi sana siku hizi huko serikalini. Hili siyo jambo zuri kwa nchi ambayo inaruhusu watu washiriki ndani ya dini yoyote bila kuhusisha dini hizo katika maswala ya kiserikali. Sasa hata serikali inajenga makanisa, hii siyo ajabu?
Mmmh !2025 , Aache tanganyika iongozwe na watanganika
Wwe ndo huelewi kabisaDah! Ndugu yangu, ni wazi hukielewi unachozungumza.
Hakuna kitu chochote !Kuna kitu kinatafutwa muda sio mrefu kitatoa majibu
MkuuKabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.
Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.
Mwenye kufahamu basi atufafanulie.
View attachment 2985918
Ni kweli kabisa .usitegemee watakuwana akili
Waislamu wakiendekezwa wataharibu hii nchi, kwanini wasihesabiane huko miskitini na madrasa?
Vyombo vya ulinzi fanyeni kazi yenu.
Dini ya mudi ndio chanzo cha ugaidi duniani
Ni kweli waisalamu kote duniani ni watu wa kudhibitiwa kwa nguvu, maana ukicheka nao unakaribisha ugaidi.
Ndiyo maana unaona Guantanamo ilianzishwa kwa ajili yao. Ndiyo maana unaona Palestine wanateketezwa na Israel bila kuangalia sura zao, umri wao na jinsia yao ili Hamas isije kufufuka tena.
Wanataka kujenga misikiti mingine zaidi.Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.
Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.
Mwenye kufahamu basi atufafanulie.
View attachment 2985918
Huna akili!....upeo wako mdogo sanaHaya mambo siyo ya kuulizia mbona ni kawaida tu?Takwimu ni muhimu katika maisha ya mwanadamu.
Kwa upande sikubaliani na mawazo yako, upande naukubali.Kujenga makanisa au misikiti ni jambo zuri sana.
Tena Mimi ningekuja mkuu wa nchi ningekenga misikiti na makanisa sambamba na Shule .
Ushoga ,ugaidi na Biashara za madawa ya kulevya na Biashara haramu za binadamu zinatokana na misaada Toka Ulaya na Uarabuni kupitia misaada ya Ujenzi wa Nyumba za Ibada.
Hata Waislam wanafarakana kutokana na misaada ya kujengewa misikiti Toka Uarabuni.
Ningekua Rais misaada yote lazima ipitie serikalini . Kama hawataki tutajenga Kwa nguvu zetu wenyewe.
Magufuli alidhibiti ugaidi Kwa kudhibiti pesa Toka nje na Biashara haramu za m as dawa ya kulevya mana ndizo zinazofadhili ugaidi .
And that's what differentiates a leader from all other sycophants.Huwa watendaji wetu wanaangalia nani yupo juu.
That is bad practice.
Hayo masomo yanafundishwa kama professional studies, dini au lugha?Wanafunzi hawa waliopo mashuleni kuanzia primary mpaka secondary hasa katika shule hizi za umma wana utaratibu wanafundishwa masomo ya dini either bibble knowledge au Islamic knowledge, wa shule ya msingi wanafundishwa ijumaa (au siku nyingine yoyote iliyoamuliwa na shule) masomo hayo ya dini, kila dini hutuma walimu wao inaowaamini kwenda kuwafundisha watoto hao masuala yanayohusu dini zao, hawa wa secondary hufundishwa pia masomo hayo ya dini na huyafanyia mpaka mtihani wa taifa masomo hayo yaani bible knowledge na islamic knowledge.
Na ukumbuke hakuna walimu waliograduate bachelor of education in islamic knowledge au bible knowledge isipokuwa walimu wanaowafundisha hawa watoto wanajitolea. Sasa kama kuna michepuo ya dini imeanzishwa, kuna ubaya gani watu wa dini husika kuomba kwenda kuwatambua walimu wenye dini fulani na watoto wa dini fulani ili kuweka pengine kuweka utaratibu wa jinsi ya kuwafundisha na kuwaandaa au pengine kuwaomba tu walimu waliotayari na wenye uwezo wa kufundisha masomo hayo washiriki katika kufundisha?
Mkurugenzi hana kosa alichofanya ni kuruhusu hao watu na kuomba wapewe ushirikiano sidhani kama kuna kosa au shida yoyote.
Shule za kiislam zipo why wasiende huko wakapeleke mitaala yao na kuanza kufundisha. Na wanafunzi wa shule mchanganyiko waendelee kupata masomo ya kawaida?Sijaona ubaya wa hii barua, kwani kuna ubaya gani kujua idadi ya wanafunzi na walimu wa dini ya kiislamu katika shule za msingi na sekondari ili taasisi husika zipate kujua kuwa kuna uwiano wa kutosha au kutahitajika walimu wa ziada ili watoto wa kiislamu wapate mafundisho ya dini yao kwa uhakika. Mimi ningeomba zoezi hilo lifanywe nchi nzima ili taasisi kama Bakwata ipate kutayarisha walimu na masomo yenye tija kwa watoto wa kiislamu, masomo ya dini kwa watoto wa kiislamu yamekuwa ni mtihani kutokana na wanafunzi kutumia muda mwingi kwenye elimu ya sekula, bora vijana wafuatwe hukohuko mashuleni ili wapate somo la dini japo mara moja kwa wiki.
Sasa waliotoa huo waraka unajua wana dhamira gani?na kwa nini hakiingia rais kutoka upande huo tu ndo sarakasi hizi zinaanzaga?Hakuna kitu chochote !
Waislamu na Wakristo wa Nchi hii ni ndugu tangu Nyinyi nyote humu jf hamjazaliwa !
Kwahiyo hawawezi kuja kugombanishwa kwa sababu zozote zile !
Mtagombana kwenye siasa zenu huko lakini kwenye Dini hamtawapata wa kugombana ! π
Ndio maana tunasema hizo Sarakasi zao wapenda mifarakano ni za bure tu !Sasa waliotoa huo waraka unajua wana dhamira gani?na kwa nini hakiingia rais kutoka upande huo tu ndo sarakasi hizi zinaanzaga?
Wewe ndo unawaza ivyo ila wenzio wanataka tanzania iwe nchi ya kidini kabisa ndo maana wanataka idadi yao iwe verified kabisa ili maamuzi yafanyike kidini.Chakushangaza kuna watu hawana dini ila hawana purukushani nyingi na wako wengi ila hawana matatizoNdio maana tunasema hizo Sarakasi zao wapenda mifarakano ni za bure tu !
Watu wanataka Katiba mpya bora ! π
Mambo ya Dini yeyote atakaye tawala ni sawa tu maana hakuna atakayeletewa chakula nyumbani kwake kutoka kwa mtawala wa Dini yake !
Wakubwa wanapogongeana glass za Champagne πΎ huwa hawaulizani Dini zao !
Sisi akina Kalimanzila ndio tunajifanya watu wa Dini sana π π ππ
Kazi bure kabisa ! Mimi hawanipati huko ! π π