TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Ile nidhamu wanayoitoa wahusika nadhani itakuwa imeboreshwa sitegemei Vijana waJKT kugoma tena.Hamna nidhamu,Hamna uzalendo
Ile nidhamu wanayoitoa wahusika nadhani itakuwa imeboreshwa sitegemei Vijana waJKT kugoma tena.Hamna nidhamu,Hamna uzalendo
Naunga mkono hojaKumekuwa na tabia za hivi karibuni, kwamba ili upate nafasi za kazi kwa vyombo vya ulinzi na usalama, mojawapo ya sifa ya waombaji ni kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa. Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa.
Hivi toka lini vijana wote waliohitimu kidato cha sita waliitwa wote kujiunga na jeshi la kujenga Taifa? Ina maana hata wale ambao hawakuchaguliwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, pasipo hiari yao, wameondolewa sifa za kuwa watumishi wa vyombo hivi vya Ulinzi na Usalama.
Kufanya kigezo cha kupitia mafunzo ya JKT kama moja ya sifa ya kupata kazi Polisi, Magereza, Uhamiaji na TAKUKURU ni ubaguzi wa wazi kwa watu ambao hawakuchaguliwa kujiunga na vyombo hivyo na pia ni mwendelezo wa upendeleo kwa watu waliopendelewa kujiunga na kozi hizi za JKT.
Uzalendo unafundishwaWaliopitia huko tena kwa miaka mingi wanafanya nini zaidi ya kuliibia taifa?
Uzalendo haufundishwi bali ni mtu anazaliwa nao.
Taahira huna uwezo wa kuelewaUzalendo ni kwenda JKT?
Mawazo ya kitaahira kabisa.
Mbona hatuoni matunda yakufundishwa sasa??Majizi makubwa ni hao hao waliopo mamlakani ambao walipita huko jkt tena mwaka mzima ama zaidi tofauti na siku hizi miezi mitatu kwa mujibu.Uzalendo unafundishwa
SijakuelewaHujui unachoongea sio kila za huko zinatumia nguvu nyingine ni akili tu sasa takukururu na matumizi ya nguvu wapi na wapi boss
Acha kukariri mkuu kwamba uzalendo unafundishwa.Mataifa ya ulaya hakuna habari za jkt kama huku kwetu lakini watu wanazipenda nchi zao kutoka mioyoni mwao na ufisadi aidha hakuna kabisa ama kwa asilimia chache.Uzalendo unafundishwa
Wanafundishwa shule kuipenda nchi yao,historia yao,akina milambo wao,utamaduni wao,hawawi wazalendo from no where,hapo isike humjui,abushiri humjui,gen mayunga humjui,twalipo humjuiAcha kukariri mkuu kwamba uzalendo unafundishwa.Mataifa ya ulaya hakuna habari za jkt kama huku kwetu lakini watu wanazipenda nchi zao kutoka mioyoni mwao na ufisadi aidha hakuna kabisa ama kwa asilimia chache.
Huku Africa ufisadi ni mkubwa sana na ndo tunaolazimisha watu wakajifunze uzalendo.Uzalendo upo moyoni mwa mtu sio
ufundishwa.
Mbona blaah blah nyingi mkuu.Jibu swali kama uzalendo unafundishwa mbona ufisadi hauishi tena watu wanaiba mchana kweupe.Wanafundishwa shule kuipenda nchi yao,historia yao,akina milambo wao,utamaduni wao,hawawi wazalendo from no where,hapo isike humjui,abushiri humjui,gen mayunga humjui,twalipo humjui
Hivi watu wengine huwa mnaelewa mkilewa au? Mleta mada kasema Wazi si vijana wote wanaohtimu form 6 wanachaguliwa kwenda JKT. Kwa hiyo kutumia dhana hiyo kama kigezo muhimu ni ubaguzi, halafu wewe unakuja unasema nendeni JKT utafikiri kwenda huko Mtu anajipeleka.Ndomana mkatakiwa muende,sababu mmepitia malezi ya kibwege Sana,mmelegea,Hamna nidhamu,Hamna uzalendo
Ila kiukweli, kama Nchi tunatatizo kubwa sana la watoa maamuzi. Kuna watu wamewekwa ktk nafasi mbalimbali za maamuzi, lakini ni zero kabisa. Sijui hili tatizo litakwisha lini...mie sijui.....Kumekuwa na tabia za hivi karibuni, kwamba ili upate nafasi za kazi kwa vyombo vya ulinzi na usalama, mojawapo ya sifa ya waombaji ni kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa. Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa.
Hivi toka lini vijana wote waliohitimu kidato cha sita waliitwa wote kujiunga na jeshi la kujenga Taifa? Ina maana hata wale ambao hawakuchaguliwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, pasipo hiari yao, wameondolewa sifa za kuwa watumishi wa vyombo hivi vya Ulinzi na Usalama.
Kufanya kigezo cha kupitia mafunzo ya JKT kama moja ya sifa ya kupata kazi Polisi, Magereza, Uhamiaji na TAKUKURU ni ubaguzi wa wazi kwa watu ambao hawakuchaguliwa kujiunga na vyombo hivyo na pia ni mwendelezo wa upendeleo kwa watu waliopendelewa kujiunga na kozi hizi za JKT.
Kiazi kweliNdomana mkatakiwa muende,sababu mmepitia malezi ya kibwege Sana,mmelegea,Hamna nidhamu,Hamna uzalendo
Unaonea mkuu, kuna miaka hitaji la kwenda JKT liliondolewa tangu 1994,na hata waliporejesha, walioitwa walikuwa wachache sana, tusiwahukumu kwa njia hizoNdomana mkatakiwa muende,sababu mmepitia malezi ya kibwege Sana,mmelegea,Hamna nidhamu,Hamna uzalendo
Una uhakika so vijana wote huenda jktHivi watu wengine huwa mnaelewa mkilewa au? Mleta mada kasema Wazi si vijana wote wanaohtimu form 6 wanachaguliwa kwenda JKT. Kwa hiyo kutumia dhana hiyo kama kigezo muhimu ni ubaguzi, halafu wewe unakuja unasema nendeni JKT utafikiri kwenda huko Mtu anajipeleka.
Kizazi chenye shida ni hiki ambacho miaka ya 2000 kilikua shule ya misingi,hawajitambui aiseeUnaonea mkuu, kuna miaka hitaji la kwenda JKT liliondolewa tangu 1994,na hata waliporejesha, walioitwa walikuwa wachache sana, tusiwahukumu kwa njia hizo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
NakaziaNaunga mkono hoja